Meseji ya kutakia usiku mwema
Usiku Ni “utulivu”
Usiku Ni “mzuri”
Usiku Ni”upole”
Usiku Ni “kimya”
Lakini Usiku
Haujakamilika
Bila..Kukutakia
Wewe..
U
S
I
K
U=m=w=e=m=a!
Usiku Ni “utulivu”
Usiku Ni “mzuri”
Usiku Ni”upole”
Usiku Ni “kimya”
Lakini Usiku
Haujakamilika
Bila..Kukutakia
Wewe..
U
S
I
K
U=m=w=e=m=a!
Nakupรฉndรค mpรจnzi wรจwรจ รนnรฅumuhimu mkubwa kwenye maisha
yangu kwani ukiniacha mpenzi utanisababishia kovu ambalo
halitapona .nakupenda sana
Mpenzi unawafahamu maadui wa mapenzi yetu ? Ni wale rafiki zako wanaokuletea maneno ya uongo, ndugu zako wanaotugombanisha na wachawi wanotuotea mabaya, tujihadhari tusiwape ushindi. Mapenzi yetu yadumu daima.
Fungua macho yako uone kopa za mahaba ninazokumwagia,
fungua mikono yako na upokee mapenzi yangu,
fungua simu yako uone ni jinsi gani ninavyokukumbuka japo
kwa kukutumia sms mpenzi wangu,
Nakutakia usiku mwema
Usimpende mtu tuu kwa sababu uko mpweke
Au kwa sababu ana pesa, kwa sababu upendo
Sio pesa wala siluhisho la matakwa yako.
Ukweli lazima nikwambiye kwa kuwa sina kimbilio nakupenda kijana mwenzio sijui kwanini hutaki kukisikia changu kilio, namwomba Mungu kila kukicha usikiye changu kilio, nakupenda na kama kukueleza hili nakukosea nisamehe kwani si langu kusudio,luv u mwaah.
mapenzi ni upepo,mimi sivumi na kupotea,mapenzi ni mahaba
sili nikamaliza,mapenzi ni raha kamwe cwez
kuipeza,nakupenda wewe pekee
Mapenzi ni nini? Wale wasiopenda huita majukumu, wale
wanaoyachezea huita mchezo, wale wasiokuwa nayo huita
ndoto, na wale wanaoelewa huyaita mwisho wa safari, na
mimi, mwisho wangu ni wewe.
Wanafiki tusiwaombee kifo daima na milele washuhudie penzi
letu linavyozidi kukua,na tunavyopambana na mapito.
Licha ya upole ulionao! Pia upendo wako ndio kishawishi cha kunifanya nikukumbuke siku zote. Jiulize! nina namba za watu wangapi ktk cmu yangu,na bado sijatamani kujua hali zao ila wewe! kwa kuwa, nakuthamini nakukujali, ndiyo maana nakutakia, SIKU NJEMA
Unaweza kutuma Ujumbe huu kwa Umpendaye hapa
sura yako haifutiki usoni mwangu kirahic,ingawa upo mbali
nami lkn penzi lako bado nalikumbuka,hakuna anayeweza
kukata kiu yangu zaidi yako,nakupenda mpenzi.
Mpenzi kila tunapokuwa chumbani huwa napenda kuwa mbunifu,
huwa najitahidi kuepuka udhaifu, ili
mapenzi yangu yasikukifu, ENDELEA KUFURAHIA MAPENZI YANGU.
Mchana mwema
upendo wa moyoni ndiyo dhati niliyoamini amini kwa haya
nisemayo nakupenda wewe ndiyo kaburi nitakalozikwa nalo
Katika ulimwengu wa mahusiano ya kimapenzi, mawasiliano madhubuti ni nguzo muhimu ya kudumisha uhusiano wenye nguvu na furaha. Uthibitisho wa upendo, hasa kwa njia ya maneno, hucheza jukumu muhimu katika kuimarisha hisia za usalama, kuridhika, na kujiamini kwa pande zote mbili zinazohusika. Nakala hii itaangalia umuhimu wa mawasiliano ya wazi na yenye ufanisi katika kudumisha upendo na kuondoa wasiwasi wowote wa kutokuwa na uhakika katika uhusiano. Tutazingatia nadharia ya Attachment Theory na Kanuni za Maslow’s Hierarchy of Needs ili kufafanua jinsi maneno ya upendo yanavyoweza kukidhi mahitaji ya kisaikolojia ya mpenzi.
Attachment Theory inasisitiza umuhimu wa usalama na uhakika katika mahusiano. Mpenzi anayepokea uthibitisho wa upendo mara kwa mara huhisi usalama na kujiamini katika uhusiano, na hivyo kupunguza wasiwasi wa kuachwa au kukataliwa. Maneno ya upendo, kama vile “nakupenda,” “nakuthamini,” au “nimefurahi kuwa na wewe,” yanaweza kutimiza haja ya usalama na kuimarisha kiambatisho chenye afya. Kwa upande mwingine, kutokuwepo kwa mawasiliano chanya kunaweza kusababisha wasiwasi na kusababisha matatizo katika uhusiano. Hii inahusishwa na kanuni ya Maslow’s Hierarchy of Needs, ambapo haja ya upendo na ushirikiano ni muhimu kwa ustawi wa kisaikolojia.
Ujumbe mfupi kama vile “Kipepeo kipeperushe kunipenda maamuz yako kamwe usijute, nakupenda mpz moyoni mwako unitulize. Nakupenda mpz,” ingawa unaonekana rahisi, unabeba uzito wa hisia kali. Utumizi wa lugha ya mfano, kama “kipepeo kipeperushe,” unaongeza uzuri na kina kwa ujumbe, ukionesha utulivu na upole wa hisia. Kurudiarudia maneno “nakupenda” kunasisitiza ukweli na nguvu ya hisia hizo. Kwa upande wa saikolojia, kurudia huku kunasaidia kuimarisha hisia hizo katika akili ya mpokeaji, na kutengeneza usalama na kuridhika.
Ili kuimarisha mahusiano, ni muhimu kuzidi kutumia lugha ya upendo kwa njia zenye ufanisi. Hii inajumuisha:
Katika uhusiano, mawasiliano ni muhimu sana kwa kudumisha uaminifu na kuridhika. Uthibitisho wa upendo kwa njia ya maneno huimarisha kiambatisho chenye afya na kukidhi mahitaji ya kisaikolojia. Utumizi wa lugha ya upendo, hata kwa njia fupi kama ujumbe wa simu, unaweza kuleta athari kubwa. Tunapendekeza kwamba wanandoa waweke muda wa mawasiliano ya wazi na yaaminifu. Kuelewa kanuni za mawasiliano yenye ufanisi, ikijumuisha kusikiliza kwa makini, kuelezea hisia kwa uwazi, na kuonyesha shukrani, kutaimarisha uhusiano. Utafiti zaidi unahitajika ili kuchunguza athari za aina mbalimbali za lugha ya upendo katika mahusiano mbalimbali, kulingana na tofauti za kitamaduni na kibinafsi. Mtazamo wa kina wa lugha ya upendo katika mazingira tofauti ya kitamaduni utaongeza uelewa wetu wa mahitaji ya kisaikolojia ya watu binafsi katika mahusiano. Hili litasaidia kubuni mikakati bora ya kuimarisha mahusiano yenye kudumu na yenye furaha.
Mapenzi ni matamu napia yana raha, wewe hauni ishi hamu,
siku zote wanipa raha, wewe kwangu ni mtu
muhimu, unaeng’aa moyoni mwangu kama nyota ya jaha.
“NAKUOMBA USINIACHE MPENZI WANgu
UPENDO ni ubeti wa maneno yaliyo tamkwa mpaka sasa hajulikan nani alietunga!
PENZI ni hadithi iliyocmuliwa lakin mpaka sasa hafahamik nan muhucka, ndio maana kila mwenye KUPENDA au KUPENDWA hana uhakika muda wote huhis anasalitiwa.
PENZI Ni kama jengo lilokosa nguzo muda wowote unahic litadondokaโฆ Ucnielewe vibaya ckukatazi KUPENDA au KUPENDWA, ila tazama wap UMEPENDA au UMEPENDWA!je eti nikweli kumpenda asie kupenda ni sawa na kusubiri boti airport
Raha ya ndege kichaka si tunduni asilani, Raha ya Ndege ujumbe nakupa mpelekee mwandani iwapo hukumkuta msubiri mlangoni, Usije ukaondoka hakuchinji asilani, Mwambie namkumbuka hatoki mwangu moyoni. ucku mwema
Unaweza kutuma Ujumbe huu kwa Umpendaye hapa
Ucku ulalapo jua kuna m2 akupendaye,mchana uwajibikapo
tambua yupo anayekuwaza ,jioni uwapo mazoezini jua yupo
anayekuonea wivu,hata uwapo kwenye kumbi za burudani
tambua mwenzio nakulilia,usitoe penzi kangu akilini hata
km upo mbali nami!moyoni mwangu hutafutika milele!
Kama mapenzi huweza kukimbiwa kwa kufumba macho yetu tu,
basi nisingefunika macho kabisa. Sitaki sekunde ipite bila
kukupenda wewe.
Katika maisha nimejifunza mambo mengi ikiwemo,. Kupendwa, kupenda, kusamehe, kuvumilia, lakini nimeshindwa kujifunza kukusahau wewe kwa sababu umekuwa ukinikumbuka sana.. nakutakia ASUBUHI NJEMA
Unaweza kutuma Ujumbe huu kwa Umpendaye hapa
Recent Comments