Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee, Bwana wetu;/ aliyetungwa kwa Roho Mtakatifu,/ akazaliwa na Bikira Maria,/ akateswa kwa mamlaka ya Ponsyo Pilato,/ akasulubiwa, akafa, akazikwa,/ akashukia kuzimu;/ siku ya tatu akafufuka katika wafu;/ akapaa mbinguni;/ amekaa kuume kwa Mungu Baba Mwenyezi;/ toka huko atakuja kuwahukumu wazima na wafu. Nasadiki kwa Roho Mtakatifu,/ Kanisa takatifu katoliki,/ ushirika wa Watakatifu,/ maondoleo ya dhambi,/ ufufuko wa miili,/ uzima wa milele. Amina.
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA
SALA YA JIONI
SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA
SALA YA KUTUBU
SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU
Majitoleo ya Asubuhi
SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I
KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU