Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina.
Ee Utatu Mtakatifu wa Mwenyezi Mungu, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, nasadiki kuwa upo hapa na mahali pote. Ee Mungu wangu, umeniumba, umenikomboa, umenifanya mkristo, umenizidishia neema zako hapa duniani, umenitayarishia makao yangu mbinguni, umenijalia na siku hii nikutumikie. Ee Mungu wangu! Nakuabudu, nakushukuru, nakuomba toba, nakupenda! Ee Mungu wangu, nakutolea roho yangu, na mawazo, na maneno, na kazi, na furaha, na mateso yangu: uyapokee unipe neema yako nisikutende leo dhambi!
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Rehema zake hudumu milele
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
๐๐๐ Mungu akufunike na upendo
๐โค๏ธ๐ Asante Mungu kwa uhai
๐โค๏ธ๐ Baraka za Mungu ziwe nawe