Mambo 7 ambayo mwanaume apaswi kumfanyia mke wake..
1. Usimpige.
2. Usimtukane na kumshushia heshima.
3. Usimfanye ajihisi hapendwi na anamkosi.
4. Usimbake.
5. Usimsaliti na kujionyesha kabisa kwamba una saliti.
6. Msikilize pale anapokua na stress, mpe muda wako, mkumbatie na mpe maneno ya faraja.
7. Mpe zawadi, hata kama ni ndogo kiasi gani kwake ni alama tosha.
Download Kitabu cha SIRI ZA MWANAMKE ili kuwafahamu zaidi Wanawake
-
Familia, Mapenzi na Mahusiano
📕Kitabu cha SIRI ZA MWANAMKE👧👗👠
Original price was: Sh7,500.Sh3,000Current price is: Sh3,000. Download Now
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write CommentsViews: 0
Recommended Posts
Jinsi ya Kuelewa na kushughulikia tofauti za kimaadili na mpenzi wako
Kuhamasisha Ushirikiano wa Kujenga na Kuunga Mkono Malengo ya Kila Mwanafamilia
Jinsi ya Kujenga furaha na uchangamfu katika uhusiano na mpenzi wako
Kuhamasisha Ushirikiano wa Kiroho na Kuunda Nafasi ya Ibada katika Familia
Kuimarisha Ushawishi wa Mwenzi katika Kufanya Mapenzi: Kuelewa na Kujibu Mahitaji yao
Kujenga Tabia ya Kusaidiana na Kushirikiana katika Familia