Mambo 7 ambayo mwanaume apaswi kumfanyia mke wake..
1. Usimpige.
2. Usimtukane na kumshushia heshima.
3. Usimfanye ajihisi hapendwi na anamkosi.
4. Usimbake.
5. Usimsaliti na kujionyesha kabisa kwamba una saliti.
6. Msikilize pale anapokua na stress, mpe muda wako, mkumbatie na mpe maneno ya faraja.
7. Mpe zawadi, hata kama ni ndogo kiasi gani kwake ni alama tosha.
Download Kitabu cha SIRI ZA MWANAMKE ili kuwafahamu zaidi Wanawake
-
Familia, Mapenzi na Mahusiano
📕Kitabu cha SIRI ZA MWANAMKE👧👗👠
Original price was: Sh7,500.Sh3,000Current price is: Sh3,000. Download Now
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Njia za Kupunguza Mizozo ya Kifedha katika Familia yako
Jinsi ya kumsaidia mpenzi wako katika kufikia malengo yake
Jinsi ya Kujenga na kudumisha maelewano na uvumilivu katika uhusiano na mpenzi wako
Kuhamasisha Ushirikiano wa Kifedha na Kuweka Mipango ya Pamoja katika Familia
Jinsi ya Kusaidiana na mpenzi wako katika kujenga na kudumisha mipango ya burudani na likizo
Jinsi ya Kukabiliana na Mazoea Mabaya katika Familia: Mabadiliko na Ukuaji
Jinsi ya Kuwa na Muda wa Ubunifu na Msichana Wako
Jinsi ya Kuelewa na kushughulikia tofauti za kiutamaduni na lugha na mpenzi wako