Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Nilinde tena siku hii, Niache dhambi nikutii, Naomba sana Baba wee, Baraka yako nipokee, Bikira safi ee Maria, Nisipotee unisimamie, Mlinzi Mkuu Malaika wee, Kwa Mungu wetu niombee, Nitake nitende mema tu, Na mwisho nije kwake juu, Amina.

Majitoleo ya Asubuhi
Date: August 17, 2015
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine

Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)
Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI
Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga... Read More

Kanuni ya imani
Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI
Malaika wa Mungu Mlinzi wangu mpenzi,
Ambaye upendo wake unanifanya niwepo hapa,
Uwe na...
Read More

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II
Yesu, Mungu wangu mpenzi,/ upo hapa katika Altare mbele yangu;/ na mimi napiga magoti mbele yako.... Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA
Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima
(Tumia rosari ya kawaida... Read More

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria
Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

SALA YA IMANI
Mungu wangu,
nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;Read More

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU
Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu, ulistahili kuitwa Msimamizi wa misioni katoliki za dunia yote... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA
Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ... Read More

Majitoleo kwa Bikira Maria
(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na...
Read More

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU
SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU
Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na M... Read More
Monica Adhiambo (Guest) on June 25, 2024
Dumu katika Bwana.
Francis Njeru (Guest) on June 23, 2024
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Agnes Sumaye (Guest) on April 27, 2024
πβ€οΈπ Bwana akujalie baraka
Lydia Mzindakaya (Guest) on November 1, 2023
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Grace Minja (Guest) on October 10, 2023
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Alex Nyamweya (Guest) on August 6, 2023
ππ Mungu akujalie amani
Elizabeth Mrema (Guest) on July 26, 2023
ππβ¨ Neema yako ni ya kutosha
Robert Ndunguru (Guest) on February 25, 2023
πβ€οΈβ¨ Mungu akujalie furaha
Agnes Sumaye (Guest) on February 11, 2023
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
James Malima (Guest) on February 4, 2023
Neema na amani iwe nawe.
Jane Muthui (Guest) on January 13, 2023
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Fredrick Mutiso (Guest) on December 12, 2022
Katika imani, yote yanawezekana
Thomas Mwakalindile (Guest) on October 22, 2022
πβ¨ Mungu atupe nguvu
Margaret Anyango (Guest) on September 28, 2022
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Alice Jebet (Guest) on July 27, 2022
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Alice Mwikali (Guest) on July 3, 2022
πβ¨ Mungu asikie maombi yetu
Lucy Mahiga (Guest) on April 12, 2022
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Diana Mallya (Guest) on February 28, 2022
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Peter Mwambui (Guest) on February 19, 2022
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Michael Mboya (Guest) on January 28, 2022
ππ Nakushukuru Mungu
Alice Mrema (Guest) on December 19, 2021
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Charles Mchome (Guest) on December 5, 2021
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Josephine Nekesa (Guest) on October 25, 2021
Amina
Catherine Naliaka (Guest) on October 20, 2021
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
John Kamande (Guest) on September 24, 2021
πβ€οΈπ Tumshukuru Mungu kwa yote
Daniel Obura (Guest) on August 23, 2021
ππ Mungu alete amani
Peter Otieno (Guest) on May 22, 2021
πβ€οΈ Mungu ni mlinzi wetu
Fredrick Mutiso (Guest) on May 19, 2021
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Wilson Ombati (Guest) on April 8, 2021
πβ€οΈβ¨ Asante Mungu kwa kila kitu
Anna Sumari (Guest) on April 1, 2021
ππ Nakusihi Mungu
Monica Nyalandu (Guest) on March 17, 2021
Neema ya Mungu inatosha kwako
Monica Lissu (Guest) on February 20, 2021
ππ Mungu wetu asifiwe
Joseph Mallya (Guest) on October 31, 2020
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Agnes Njeri (Guest) on October 20, 2020
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Agnes Sumaye (Guest) on October 5, 2020
Mungu akubariki!
Ann Wambui (Guest) on October 4, 2020
ππ Neema za Mungu zisikose
Alice Mwikali (Guest) on September 22, 2020
πβ€οΈπ Asante Mungu kwa uhai
Edith Cherotich (Guest) on September 18, 2020
πβ€οΈ Mungu ni mwaminifu
John Lissu (Guest) on September 12, 2020
πβ¨ Mungu atakuinua
Thomas Mtaki (Guest) on January 5, 2020
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Paul Ndomba (Guest) on December 27, 2019
Imani inaweza kusogeza milima
Brian Karanja (Guest) on December 23, 2019
Tumaini ni nanga ya roho
Joyce Aoko (Guest) on December 16, 2019
πβ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku
Richard Mulwa (Guest) on December 9, 2019
πβ¨π Mungu atajibu maombi yako
Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 7, 2019
πβ€οΈ Mungu ni mkombozi
Agnes Njeri (Guest) on October 13, 2019
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Anna Sumari (Guest) on October 8, 2019
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Patrick Kidata (Guest) on October 8, 2019
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Jane Muthui (Guest) on October 2, 2019
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Stephen Malecela (Guest) on August 13, 2019
πβ¨ Neema ya Mungu iwe nawe
Michael Mboya (Guest) on July 19, 2019
πβ€οΈπ Baraka za Mungu ziwe nawe
James Kawawa (Guest) on July 14, 2019
Rehema zake hudumu milele
Diana Mumbua (Guest) on July 1, 2019
πππ
Victor Malima (Guest) on April 14, 2019
Mwamini katika mpango wake.
Philip Nyaga (Guest) on March 21, 2019
πβ€οΈ Mungu akubariki
David Kawawa (Guest) on September 20, 2018
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Lucy Mahiga (Guest) on May 30, 2018
Baraka kwako na familia yako.
Joyce Aoko (Guest) on May 9, 2018
πβ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike
George Mallya (Guest) on January 3, 2018
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Agnes Lowassa (Guest) on December 10, 2017
Mwamini Bwana; anajua njia