Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji mwema
Kwa ajili ya warithi wa Mitume; Bwana, uwape wawe na uangalifu uliojaa upendo kwa mapadre wao
Kwa ajili ya Maaskofu wako waliochaguliwa na Roho Mtakatifu; Bwana, uwabakishe karibu na kondoo wako
Kwa ajili ya wachungaji wako; Bwana, uwafundishe kutumikia kuliko kutafuta kutumikiwa
Kwa ajili ya waungamishi na washauri wa kiroho; Bwana, uwafanye kuwa vyombo visikivu kwa Roho wako Mtakatifu
Kwa ajili ya mapadre wanaotangaza neno lako; Bwana, uwawezeshe kushirikisha Roho wako na Uzima wako
Kwa ajili ya mapadre wanaosaidia utume wa walei; Bwana, uwatie moyo wa kuwa mifano bora
Kwa ajili ya mapadre wanaofanya kazi na vijana; Bwana, uwajalie wawakabidhi vijana kwako
Kwa ajili ya mapadre wanaofanya kazi kati ya watu fukara; Bwana, uwajalie wakuone na wakutumikie kupitia hao
Kwa ajili ya mapadre wanaoangalia wagonjwa; Bwana, uwajalie wawafundishe thamani ya mateso
Kwa ajili ya mapadre fukara; - Uwasaidie ee Bwana
Kwa ajili ya mapade wagonjwa; - Uwaponye ee Bwana
Kwa ajili ya mapadre wazee; - Uwapatie tumaini la raha ee Bwana
Kwa ajili ya mapadre wenye huzuni na walioumizwa; -Uwafariji ee Bwana
Kwa ajili ya mapadre wanaohangaishwa na wale wanaosumbuliwa; - Uwape amani yako ee Bwana
Kwa ajili ya mapadre wanaodharauliwa na wanaonyanyaswa; - Uwatetee ee Bwana
Kwa ajili ya mapadre waliokata tamaa; - Uwatie moyo ee Bwana
Kwa ajili ya wale wanaosomea upadre; - Uwape udumifu ee Bwana
Kwa ajili ya mapadre wote; - Uwape uaminifu kwako na kwa Kanisa lako ee Bwana
Kwa ajili ya mapadre wote; - Uwajalie utii na upendo kwa Baba Mtakatifu na kwa maaskofu wao ee Bwana
Kwa ajili ya mapadre wote; - Uwajalie waishi katika umoja na maaskofu wao ee Bwana
Tunawaombea mapadre wote; - Wawe wamoja kama Wewe na Baba mlivyo wamoja ee Bwana
Tunawaombea mapadre wote; - Waishi na kuendeleza haki yako ee Bwana
Tunawaombea mapadre wote; - Washirikiane katika umoja wa ukuhani wako ee Bwana
Tunawaombea mapadre wote, wakiwa wamejawa na uwepo wako; - Waishi maisha yao ya useja kwa furaha ee Bwana
Tunawaombea mapadre wote; - Wajalie ukamilifu wa Roho wako na uwageuze wafanane nawe ee Bwana
Kwa namna ya pekee, ninawaombea mapadre wale ambao kwa njia yao nimepokea neema zako. Ninamwombea padre aliyenibatiza na wale walioniondolea dhambi zangu, wakinipatanisha na Wewe na Kanisa lako.
Ninawaombea mapadre ambao nimeshiriki Misa walizoadhimisha, na walionipa Mwili wako kama chakula. Ninawaombea mapadre walionishirikisha Neno lako, na wale walionisaidia na kuniongoza kwako. Amina.

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Robert Okello (Guest) on July 14, 2024
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Victor Kamau (Guest) on May 31, 2024
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
James Mduma (Guest) on May 14, 2024
πβ€οΈπ Asante Mungu kwa uhai
Joy Wacera (Guest) on February 24, 2024
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Joseph Njoroge (Guest) on February 8, 2024
Baraka kwako na familia yako.
Anthony Kariuki (Guest) on December 30, 2023
Dumu katika Bwana.
Esther Nyambura (Guest) on August 27, 2023
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Francis Mtangi (Guest) on May 21, 2023
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Peter Mugendi (Guest) on April 28, 2023
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Moses Kipkemboi (Guest) on April 8, 2023
ππ Nakusihi Mungu
Ruth Kibona (Guest) on March 21, 2023
ππ Mungu alete amani
Monica Nyalandu (Guest) on October 10, 2022
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Carol Nyakio (Guest) on August 31, 2022
πππ
Nancy Komba (Guest) on July 11, 2022
Neema na amani iwe nawe.
Joseph Kitine (Guest) on June 7, 2022
Rehema hushinda hukumu
James Kawawa (Guest) on June 4, 2022
πβ¨ Mungu atupe nguvu
Grace Njuguna (Guest) on April 1, 2022
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
David Kawawa (Guest) on February 12, 2022
Nakuombea π
Joseph Mallya (Guest) on January 26, 2022
πβ€οΈπ Tumshukuru Mungu kwa yote
Rose Mwinuka (Guest) on January 18, 2022
πβ€οΈπ Bwana akujalie baraka
Grace Wairimu (Guest) on December 18, 2021
ππ Mungu wetu asifiwe
Joyce Aoko (Guest) on December 10, 2021
Rehema zake hudumu milele
Alice Wanjiru (Guest) on August 6, 2021
ππ Namuomba Mungu akupiganie
Victor Kimario (Guest) on July 22, 2021
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Charles Mboje (Guest) on May 28, 2021
πβ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike
Irene Makena (Guest) on April 6, 2021
Nguvu hutoka kwa Bwana
Benjamin Kibicho (Guest) on February 12, 2021
Endelea kuwa na imani!
Charles Wafula (Guest) on December 24, 2020
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Betty Kimaro (Guest) on December 22, 2020
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Anna Mahiga (Guest) on November 2, 2020
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
John Malisa (Guest) on July 31, 2020
Katika imani, yote yanawezekana
Joseph Kitine (Guest) on February 12, 2020
Mungu ni mwema, wakati wote!
Joyce Nkya (Guest) on February 10, 2020
Amina
Thomas Mwakalindile (Guest) on October 16, 2019
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Joseph Kawawa (Guest) on August 22, 2019
Neema ya Mungu inatosha kwako
Simon Kiprono (Guest) on August 5, 2019
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Robert Okello (Guest) on July 23, 2019
ππ Mbarikiwe sana
Faith Kariuki (Guest) on July 18, 2019
ππ Neema za Mungu zisikose
Lydia Wanyama (Guest) on March 30, 2019
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Anna Mchome (Guest) on March 22, 2019
πβ€οΈ Mungu akubariki
Stephen Malecela (Guest) on March 9, 2019
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Paul Kamau (Guest) on November 2, 2018
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Susan Wangari (Guest) on October 23, 2018
Mwamini Bwana; anajua njia
Rose Lowassa (Guest) on October 10, 2018
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Nancy Akumu (Guest) on September 20, 2018
Tumaini ni nanga ya roho
David Sokoine (Guest) on September 19, 2018
πβ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku
Anna Mchome (Guest) on August 18, 2018
πππ
Victor Kamau (Guest) on July 12, 2018
Imani inaweza kusogeza milima
John Lissu (Guest) on May 5, 2018
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Faith Kariuki (Guest) on May 2, 2018
ππβ¨ Neema yako ni ya kutosha
David Kawawa (Guest) on March 20, 2018
ππβ€οΈ Nakuombea heri
Anna Mahiga (Guest) on January 5, 2018
πππ« Mungu ni mwema
Nora Kidata (Guest) on December 10, 2017
πβ¨π Mungu atajibu maombi yako
Fredrick Mutiso (Guest) on December 9, 2017
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Anna Malela (Guest) on December 1, 2017
πβ¨ Mungu asikie maombi yetu
Agnes Sumaye (Guest) on September 13, 2017
πβ€οΈ Mungu ni mwaminifu
Catherine Naliaka (Guest) on August 6, 2017
πβ€οΈ Mungu ni mlinzi wetu
Miriam Mchome (Guest) on July 29, 2017
πβ€οΈ Mungu ni mkombozi
Sarah Karani (Guest) on July 19, 2017
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Peter Otieno (Guest) on July 6, 2017
πβ¨ Neema ya Mungu iwe nawe