Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

Featured Image

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji mwema
Kwa ajili ya warithi wa Mitume; Bwana, uwape wawe na uangalifu uliojaa upendo kwa mapadre wao
Kwa ajili ya Maaskofu wako waliochaguliwa na Roho Mtakatifu; Bwana, uwabakishe karibu na kondoo wako
Kwa ajili ya wachungaji wako; Bwana, uwafundishe kutumikia kuliko kutafuta kutumikiwa
Kwa ajili ya waungamishi na washauri wa kiroho; Bwana, uwafanye kuwa vyombo visikivu kwa Roho wako Mtakatifu
Kwa ajili ya mapadre wanaotangaza neno lako; Bwana, uwawezeshe kushirikisha Roho wako na Uzima wako
Kwa ajili ya mapadre wanaosaidia utume wa walei; Bwana, uwatie moyo wa kuwa mifano bora
Kwa ajili ya mapadre wanaofanya kazi na vijana; Bwana, uwajalie wawakabidhi vijana kwako
Kwa ajili ya mapadre wanaofanya kazi kati ya watu fukara; Bwana, uwajalie wakuone na wakutumikie kupitia hao
Kwa ajili ya mapadre wanaoangalia wagonjwa; Bwana, uwajalie wawafundishe thamani ya mateso
Kwa ajili ya mapadre fukara; - Uwasaidie ee Bwana
Kwa ajili ya mapade wagonjwa; - Uwaponye ee Bwana
Kwa ajili ya mapadre wazee; - Uwapatie tumaini la raha ee Bwana
Kwa ajili ya mapadre wenye huzuni na walioumizwa; -Uwafariji ee Bwana
Kwa ajili ya mapadre wanaohangaishwa na wale wanaosumbuliwa; - Uwape amani yako ee Bwana
Kwa ajili ya mapadre wanaodharauliwa na wanaonyanyaswa; - Uwatetee ee Bwana
Kwa ajili ya mapadre waliokata tamaa; - Uwatie moyo ee Bwana
Kwa ajili ya wale wanaosomea upadre; - Uwape udumifu ee Bwana
Kwa ajili ya mapadre wote; - Uwape uaminifu kwako na kwa Kanisa lako ee Bwana
Kwa ajili ya mapadre wote; - Uwajalie utii na upendo kwa Baba Mtakatifu na kwa maaskofu wao ee Bwana
Kwa ajili ya mapadre wote; - Uwajalie waishi katika umoja na maaskofu wao ee Bwana
Tunawaombea mapadre wote; - Wawe wamoja kama Wewe na Baba mlivyo wamoja ee Bwana
Tunawaombea mapadre wote; - Waishi na kuendeleza haki yako ee Bwana
Tunawaombea mapadre wote; - Washirikiane katika umoja wa ukuhani wako ee Bwana
Tunawaombea mapadre wote, wakiwa wamejawa na uwepo wako; - Waishi maisha yao ya useja kwa furaha ee Bwana
Tunawaombea mapadre wote; - Wajalie ukamilifu wa Roho wako na uwageuze wafanane nawe ee Bwana
Kwa namna ya pekee, ninawaombea mapadre wale ambao kwa njia yao nimepokea neema zako. Ninamwombea padre aliyenibatiza na wale walioniondolea dhambi zangu, wakinipatanisha na Wewe na Kanisa lako.
Ninawaombea mapadre ambao nimeshiriki Misa walizoadhimisha, na walionipa Mwili wako kama chakula. Ninawaombea mapadre walionishirikisha Neno lako, na wale walionisaidia na kuniongoza kwako. Amina.


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Robert Okello (Guest) on July 14, 2024

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Victor Kamau (Guest) on May 31, 2024

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

James Mduma (Guest) on May 14, 2024

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Joy Wacera (Guest) on February 24, 2024

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Joseph Njoroge (Guest) on February 8, 2024

Baraka kwako na familia yako.

Anthony Kariuki (Guest) on December 30, 2023

Dumu katika Bwana.

Esther Nyambura (Guest) on August 27, 2023

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Francis Mtangi (Guest) on May 21, 2023

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Peter Mugendi (Guest) on April 28, 2023

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Moses Kipkemboi (Guest) on April 8, 2023

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Ruth Kibona (Guest) on March 21, 2023

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Monica Nyalandu (Guest) on October 10, 2022

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Carol Nyakio (Guest) on August 31, 2022

πŸ™πŸ™πŸ™

Nancy Komba (Guest) on July 11, 2022

Neema na amani iwe nawe.

Joseph Kitine (Guest) on June 7, 2022

Rehema hushinda hukumu

James Kawawa (Guest) on June 4, 2022

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Grace Njuguna (Guest) on April 1, 2022

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

David Kawawa (Guest) on February 12, 2022

Nakuombea πŸ™

Joseph Mallya (Guest) on January 26, 2022

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Rose Mwinuka (Guest) on January 18, 2022

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Grace Wairimu (Guest) on December 18, 2021

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Joyce Aoko (Guest) on December 10, 2021

Rehema zake hudumu milele

Alice Wanjiru (Guest) on August 6, 2021

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Victor Kimario (Guest) on July 22, 2021

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Charles Mboje (Guest) on May 28, 2021

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Irene Makena (Guest) on April 6, 2021

Nguvu hutoka kwa Bwana

Benjamin Kibicho (Guest) on February 12, 2021

Endelea kuwa na imani!

Charles Wafula (Guest) on December 24, 2020

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Betty Kimaro (Guest) on December 22, 2020

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Anna Mahiga (Guest) on November 2, 2020

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

John Malisa (Guest) on July 31, 2020

Katika imani, yote yanawezekana

Joseph Kitine (Guest) on February 12, 2020

Mungu ni mwema, wakati wote!

Joyce Nkya (Guest) on February 10, 2020

Amina

Thomas Mwakalindile (Guest) on October 16, 2019

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Joseph Kawawa (Guest) on August 22, 2019

Neema ya Mungu inatosha kwako

Simon Kiprono (Guest) on August 5, 2019

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Robert Okello (Guest) on July 23, 2019

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Faith Kariuki (Guest) on July 18, 2019

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Lydia Wanyama (Guest) on March 30, 2019

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Anna Mchome (Guest) on March 22, 2019

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Stephen Malecela (Guest) on March 9, 2019

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Paul Kamau (Guest) on November 2, 2018

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Susan Wangari (Guest) on October 23, 2018

Mwamini Bwana; anajua njia

Rose Lowassa (Guest) on October 10, 2018

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Nancy Akumu (Guest) on September 20, 2018

Tumaini ni nanga ya roho

David Sokoine (Guest) on September 19, 2018

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Anna Mchome (Guest) on August 18, 2018

πŸ™πŸ™πŸ™

Victor Kamau (Guest) on July 12, 2018

Imani inaweza kusogeza milima

John Lissu (Guest) on May 5, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Faith Kariuki (Guest) on May 2, 2018

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

David Kawawa (Guest) on March 20, 2018

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Anna Mahiga (Guest) on January 5, 2018

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Nora Kidata (Guest) on December 10, 2017

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Fredrick Mutiso (Guest) on December 9, 2017

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Anna Malela (Guest) on December 1, 2017

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Agnes Sumaye (Guest) on September 13, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Catherine Naliaka (Guest) on August 6, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Miriam Mchome (Guest) on July 29, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Sarah Karani (Guest) on July 19, 2017

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Peter Otieno (Guest) on July 6, 2017

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Related Posts

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo ... Read More

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu, ulistahili kuitwa Msimamizi wa misioni katoliki za dunia yote... Read More

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakukimbilia, ninakuja kwako katika mikono yako yenye huruma. Ndiwe ... Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na M... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)