Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, Aleluya. Utuombee kwa Mungu, Aleluya. Furahi shangilia, ee Bikira Maria, Alaluya. Kwani hakika Bwana amefufuka Aleluya. Tuombe. Ee Mungu, uliyependa kuifurahisha dunia kwa kufufuka kwake Bwana wetu Yesu Kristu, Mwanao: fanyiza, twakuomba, kwa ajili ya Bikira Maria, tupate nasi furaha za uzima wa milele. Tunaomba hayo kwa njia ya Kristu Bwana wetu. Amina.

Malkia wa Mbingu
Date: January 17, 2016
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine

Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU
(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU
Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

Litani ya Bikira Maria
- Bwana utuhurumie
- Bwana utuhurumie
- Kristo utuhurumie
- Bwana utuhurumie... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II
Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA
Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ... Read More

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI
Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga... Read More

Sala kwa wenye kuzimia
Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

SALA YA KUOMBEA FAMILIA
Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik... Read More

Majitoleo kwa Bikira Maria
(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na...
Read More

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU
Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kut... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA
Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli
Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More
Frank Macha (Guest) on June 24, 2024
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Nicholas Wanjohi (Guest) on May 24, 2024
Mwamini katika mpango wake.
Elizabeth Mrope (Guest) on May 15, 2024
πβ€οΈπ Tumshukuru Mungu kwa yote
Mariam Hassan (Guest) on May 1, 2024
πβ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku
Diana Mallya (Guest) on April 20, 2024
ππ Mbarikiwe sana
Janet Mbithe (Guest) on February 11, 2024
Nakuombea π
Grace Mushi (Guest) on December 28, 2023
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Nancy Kawawa (Guest) on December 26, 2023
ππβ€οΈ Nakuombea heri
Paul Kamau (Guest) on November 27, 2023
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Thomas Mtaki (Guest) on November 19, 2023
Nguvu hutoka kwa Bwana
Stephen Kangethe (Guest) on April 18, 2023
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Francis Njeru (Guest) on March 24, 2023
Tumaini ni nanga ya roho
Kevin Maina (Guest) on December 2, 2022
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Robert Okello (Guest) on September 18, 2022
Endelea kuwa na imani!
Kenneth Murithi (Guest) on August 11, 2022
πβ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike
Hellen Nduta (Guest) on July 11, 2022
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Catherine Naliaka (Guest) on June 20, 2022
πβ¨ Mungu atakuinua
Joyce Aoko (Guest) on February 4, 2022
ππ Nakushukuru Mungu
Grace Wairimu (Guest) on December 7, 2021
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Francis Njeru (Guest) on August 26, 2021
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Thomas Mwakalindile (Guest) on July 9, 2021
πβ€οΈπ Baraka za Mungu ziwe nawe
Andrew Mchome (Guest) on May 21, 2021
ππ Mungu wetu asifiwe
Elizabeth Mrema (Guest) on May 15, 2021
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Rose Waithera (Guest) on April 29, 2021
ππ Nakusihi Mungu
George Ndungu (Guest) on March 24, 2021
Neema na amani iwe nawe.
Victor Sokoine (Guest) on March 21, 2021
πππ« Mungu ni mwema
Edith Cherotich (Guest) on February 19, 2021
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Victor Malima (Guest) on January 23, 2021
πβ€οΈ Mungu ni mlinzi wetu
Samuel Were (Guest) on October 15, 2020
πβ¨π Mungu atajibu maombi yako
Janet Mbithe (Guest) on October 2, 2020
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Christopher Oloo (Guest) on September 7, 2020
πβ€οΈ Mungu ni mkombozi
Victor Kimario (Guest) on August 30, 2020
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Emily Chepngeno (Guest) on April 22, 2020
Sifa kwa Bwana!
Victor Sokoine (Guest) on April 4, 2020
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Joseph Njoroge (Guest) on February 20, 2020
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Fredrick Mutiso (Guest) on February 6, 2020
Amina
Andrew Mchome (Guest) on December 31, 2019
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Patrick Kidata (Guest) on December 14, 2019
ππ Asante kwa neema zako Mungu
David Ochieng (Guest) on November 17, 2019
πβ€οΈπ Asante Mungu kwa uhai
Janet Mbithe (Guest) on October 4, 2019
Mwamini Bwana; anajua njia
Grace Wairimu (Guest) on September 8, 2019
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Moses Mwita (Guest) on September 7, 2019
πβ€οΈβ¨ Asante Mungu kwa kila kitu
Tabitha Okumu (Guest) on August 31, 2019
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Charles Wafula (Guest) on June 15, 2019
ππ Neema za Mungu zisikose
John Lissu (Guest) on May 17, 2019
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Miriam Mchome (Guest) on March 7, 2019
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Elizabeth Mtei (Guest) on January 25, 2019
πβ€οΈ Mungu akubariki
Rose Amukowa (Guest) on October 16, 2018
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Andrew Odhiambo (Guest) on September 28, 2018
ππ Namuomba Mungu akupiganie
Lucy Mahiga (Guest) on September 6, 2018
Imani inaweza kusogeza milima
Janet Mbithe (Guest) on August 24, 2018
πππ Mungu akufunike na upendo
Betty Akinyi (Guest) on May 19, 2018
Wakati wa Mungu ni kamilifu
John Mwangi (Guest) on May 4, 2018
ππ Mungu alete amani
Victor Kimario (Guest) on April 9, 2018
Neema ya Mungu inatosha kwako
Bernard Oduor (Guest) on January 9, 2018
Rehema zake hudumu milele
Joseph Kitine (Guest) on January 9, 2018
πππ
Anna Mchome (Guest) on December 25, 2017
ππβ¨ Neema yako ni ya kutosha
Dorothy Majaliwa (Guest) on December 6, 2017
Rehema hushinda hukumu
Samson Tibaijuka (Guest) on October 18, 2017
Mungu ni mwema, wakati wote!
Agnes Lowassa (Guest) on July 8, 2017
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako