Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wako Mtakatifu, tunaomba pia kwa matumaini usimamizi wako. Kwa ajili ya mapendo uliyompenda nayo Bikira Mtakatifu, Mzazi wa Mungu, na kwa ajili ya tunza ya Baba, uliyomtunza nayo Mtoto Yesu, tunakuomba sana, utuangalie kwa wema, sisi tuliokuwa fungu lake Yesu Kristo, tuliokombolewa kwa damu yake, utusimamie katika masumbuko yetu, kwa enzi na shime yako.
Ee Mlinzi amini wa Jamaa Takatifu, uwakinge watoto wateule wa Yesu Kristo, ee Baba uliyetupenda mno, utuepusha na kilema chochote cha madanganyo na upotevu. Ee kinga yetu mwezaji,utusimamie huko juu mbinguni ulipo, tunaposhindana na wenye nguvu wakaao gizani. Kama vile siku za kale ukamwokoa Mtoto Yesu katika hatari ya kuuawa, na leo hivi, ulikinge Kanisa Takatifu la Mungu katika mitego ya adui, na katika shida yote, mtunze daima kila mmoja wetu, tupate mfano wako, tusaidie kwa msaada wako, kukaa na utakatifu maisha, kufa kifo chema, na kupokelewa mbinguni makao ya raha milele. Amina

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Lucy Mahiga (Guest) on June 25, 2024
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Richard Mulwa (Guest) on June 22, 2024
πβ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike
Joseph Njoroge (Guest) on May 28, 2024
ππ Asante kwa neema zako Mungu
Monica Nyalandu (Guest) on March 22, 2024
Neema na amani iwe nawe.
Charles Mboje (Guest) on January 26, 2024
Katika imani, yote yanawezekana
Peter Mwambui (Guest) on January 20, 2024
Rehema hushinda hukumu
Elizabeth Malima (Guest) on December 4, 2023
Nguvu hutoka kwa Bwana
Robert Okello (Guest) on November 8, 2023
Mungu ni mwema, wakati wote!
Lucy Wangui (Guest) on March 24, 2023
Tumaini ni nanga ya roho
Thomas Mtaki (Guest) on February 19, 2023
Baraka kwako na familia yako.
James Malima (Guest) on January 19, 2023
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Margaret Mahiga (Guest) on November 9, 2022
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
George Mallya (Guest) on September 6, 2022
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Rose Lowassa (Guest) on September 6, 2022
Mwamini Bwana; anajua njia
Ruth Wanjiku (Guest) on March 14, 2022
ππ Mbarikiwe sana
Victor Kamau (Guest) on February 18, 2022
ππ Namuomba Mungu akupiganie
Raphael Okoth (Guest) on February 13, 2022
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Stephen Kikwete (Guest) on February 2, 2022
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Anna Mahiga (Guest) on January 9, 2022
πβ¨ Mungu asikie maombi yetu
Benjamin Masanja (Guest) on November 21, 2021
πππ Mungu akufunike na upendo
Emily Chepngeno (Guest) on October 31, 2021
πβ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku
Edward Lowassa (Guest) on August 14, 2021
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Edith Cherotich (Guest) on July 25, 2021
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Susan Wangari (Guest) on May 22, 2021
πβ€οΈβ¨ Asante Mungu kwa kila kitu
Joseph Mallya (Guest) on May 17, 2021
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Joseph Kiwanga (Guest) on April 23, 2021
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Thomas Mtaki (Guest) on April 13, 2021
πβ€οΈπ Tumshukuru Mungu kwa yote
Lucy Mushi (Guest) on March 29, 2021
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Peter Tibaijuka (Guest) on March 3, 2021
ππ Neema za Mungu zisikose
Thomas Mwakalindile (Guest) on January 6, 2021
Neema ya Mungu inatosha kwako
Moses Mwita (Guest) on November 26, 2020
Nakuombea π
Samson Tibaijuka (Guest) on November 19, 2020
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Benjamin Kibicho (Guest) on October 13, 2020
πβ€οΈ Mungu akubariki
Samson Mahiga (Guest) on September 22, 2020
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Mary Njeri (Guest) on September 1, 2020
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Edward Lowassa (Guest) on June 20, 2020
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Francis Njeru (Guest) on April 11, 2020
ππ Mungu akujalie amani
Carol Nyakio (Guest) on January 11, 2020
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Michael Onyango (Guest) on December 21, 2019
πβ€οΈβ¨ Mungu akujalie furaha
Violet Mumo (Guest) on October 27, 2019
Mwamini katika mpango wake.
Mary Kendi (Guest) on October 26, 2019
πππ« Mungu ni mwema
Monica Nyalandu (Guest) on May 11, 2019
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
David Musyoka (Guest) on May 9, 2019
ππβ€οΈ Nakuombea heri
Alice Mwikali (Guest) on April 22, 2019
πβ¨ Mungu atakuinua
Paul Kamau (Guest) on January 20, 2019
πππ
Richard Mulwa (Guest) on January 18, 2019
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Violet Mumo (Guest) on January 18, 2019
πβ€οΈπ Asante Mungu kwa uhai
Joyce Mussa (Guest) on December 10, 2018
Imani inaweza kusogeza milima
Alex Nyamweya (Guest) on October 4, 2018
ππ Mungu alete amani
Stephen Mushi (Guest) on August 4, 2018
ππ Mungu wetu asifiwe
Victor Mwalimu (Guest) on July 27, 2018
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Anna Malela (Guest) on July 15, 2018
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Carol Nyakio (Guest) on July 15, 2018
πβ¨ Neema ya Mungu iwe nawe
Elizabeth Mrema (Guest) on June 29, 2018
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
John Kamande (Guest) on March 30, 2018
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Susan Wangari (Guest) on March 23, 2018
ππβ¨ Neema yako ni ya kutosha
James Mduma (Guest) on March 14, 2018
Dumu katika Bwana.
Jane Muthoni (Guest) on February 6, 2018
πβ€οΈπ Bwana akujalie baraka
Patrick Akech (Guest) on December 3, 2017
πππ
Elijah Mutua (Guest) on September 20, 2017
Ahadi za Mungu ni za kweli daima