Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Featured Image

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

β€œEe Yesu tupe moyo wako kama amana ya upendo wako na kimbilio letu, ili tupate pumziko salama wakati wa maisha yetu na faraja tamu saa ya kufa kwetu”.
Baba Yetu ……..
Salamu Maria ……. (mara tatu)
Nasadiki ………..

Kwenye chembe kubwa Sali (Badala ya β€˜Baba Yetu’):

β€œNinakuabudu, ninakutukuza na ninakupenda, Ee Moyo wa Yesu wangu mpenzi, uliopenywa na huzuni nyingi kwa ajili ya dhambi, ambazo zimekuwa zikitendwa hata leo, dhidi ya Sakramenti Takatifu sana ya Altare. Ninakutolea hapo kwa kuridhika, moyo wa Mama yako mpendevu, na mastahili ya watakatifu. Amina”.

Kwenye chembe ndogo sali (Badala ya β€˜Salamu Maria’):

β€œEe Moyo Mtakatifu wa Yesu, uwakao mapendo kwetu, washa nyoyo zetu kwa mapendo yako"

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mary (Guest) on July 21, 2024

Good

Lucy Mahiga (Guest) on July 14, 2024

Sifa kwa Bwana!

Andrew Mchome (Guest) on July 10, 2024

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Mary (Guest) on June 30, 2024

We thank you for the updates in these prayers

Melkisedeck Leon Shine (Master Admin) on July 11, 2024

Thank you.

You are always Welcome

Mary (Guest) on July 21, 2024

Okay

Janet Mbithe (Guest) on April 29, 2024

Nakuombea πŸ™

Janet Wambura (Guest) on March 28, 2024

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Josephine Nduta (Guest) on January 11, 2024

Neema na amani iwe nawe.

Alice Wanjiru (Guest) on November 18, 2023

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Stephen Mushi (Guest) on October 29, 2023

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Victor Mwalimu (Guest) on August 31, 2023

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Catherine Naliaka (Guest) on April 6, 2023

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Nora Kidata (Guest) on February 10, 2023

Mungu akubariki!

Betty Cheruiyot (Guest) on February 7, 2023

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Alice Wanjiru (Guest) on January 15, 2023

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Kenneth Murithi (Guest) on January 14, 2023

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Rose Mwinuka (Guest) on December 2, 2022

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Elizabeth Malima (Guest) on September 21, 2022

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Samson Mahiga (Guest) on June 22, 2022

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Joyce Aoko (Guest) on June 14, 2022

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Ruth Wanjiku (Guest) on May 23, 2022

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

David Nyerere (Guest) on May 14, 2022

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Ruth Kibona (Guest) on May 6, 2022

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Elijah Mutua (Guest) on March 22, 2022

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Thomas Mwakalindile (Guest) on January 30, 2022

Endelea kuwa na imani!

Charles Mchome (Guest) on December 17, 2021

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Grace Mushi (Guest) on December 9, 2021

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Rose Amukowa (Guest) on October 15, 2021

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Robert Okello (Guest) on July 6, 2021

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Agnes Sumaye (Guest) on June 18, 2021

Rehema zake hudumu milele

Irene Makena (Guest) on June 14, 2021

Mwamini katika mpango wake.

David Chacha (Guest) on May 22, 2021

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Monica Nyalandu (Guest) on May 8, 2021

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Mary Kendi (Guest) on May 6, 2021

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Peter Mugendi (Guest) on April 10, 2021

Amina

Diana Mallya (Guest) on July 3, 2020

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Nancy Akumu (Guest) on February 11, 2020

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Catherine Naliaka (Guest) on February 7, 2020

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Grace Majaliwa (Guest) on December 25, 2019

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Joseph Kawawa (Guest) on December 13, 2019

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Victor Mwalimu (Guest) on December 3, 2019

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Victor Kimario (Guest) on October 31, 2019

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Paul Ndomba (Guest) on August 12, 2019

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Christopher Oloo (Guest) on July 20, 2019

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Joseph Kitine (Guest) on July 12, 2019

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

David Sokoine (Guest) on June 16, 2019

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Jane Muthoni (Guest) on May 23, 2019

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Joyce Nkya (Guest) on March 30, 2019

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Michael Onyango (Guest) on February 17, 2019

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Betty Kimaro (Guest) on February 16, 2019

Imani inaweza kusogeza milima

Miriam Mchome (Guest) on January 5, 2019

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Paul Kamau (Guest) on October 12, 2018

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Betty Kimaro (Guest) on September 26, 2018

πŸ™πŸ™πŸ™

Raphael Okoth (Guest) on September 11, 2018

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Patrick Mutua (Guest) on August 20, 2018

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Faith Kariuki (Guest) on August 1, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Grace Majaliwa (Guest) on July 18, 2018

Tumaini ni nanga ya roho

David Kawawa (Guest) on June 13, 2018

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Miriam Mchome (Guest) on April 30, 2018

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Related Posts

SALA YA IMANI

SALA YA IMANI

Mungu wangu,

nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;Read More

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More

SALA YA JIONI

SALA YA JIONI

TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA


BABA YETU…………β... Read More

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu, ulistahili kuitwa Msimamizi wa misioni katoliki za dunia yote... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ... Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok... Read More