Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Featured Image

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida)

Mwanzo, kwenye Msalaba:

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.

Kwenye chembe ndogo za awali:

K: Ee Mungu utuelekezee msaada W: Ee Bwana utusaidie hima
W: Atukuzwe Baba na Mwana na Roho Mtakatifu,
Kama mwanzo na sasa na siku zote na milele. Amina.

Maria ametusaidia,
Maria anataka kutusaidia,
Maria anaweza kutusaidia,
Maria atatusaidia.

KATIKA KILA FUNGU SALI SALA ZIFUATAZO:

Kwenye chembe kubwa:

Atukuzwe Baba na Mwana na Roho Mtakatifu,
Kama mwanzo na sasa, na siku zote, na milele. Amina.

Maria ametusaidia,
Maria anataka kutusaidia,
Maria anaweza kutusaidia,
Maria atatusaidia.

Ee Maria Mama wa Msaada wa daima
Sikiliza maombi ya roho zetu
Unaweza kutusaidia katika mahitaji yetu
Ee Maria kwa matumaini twakuita wewe.

Kwenye chembe ndogo:

Kama unasali mwenyewe: β€œEe Maria, utusaidie! (mara kumi)
Kama mnasali zaidi ya mmoja kwa pamoja: K; Ee Maria, W: Utusaidie. (mara kumi)

MWISHO SALI SALA ZIFUATAZO:

Salamu Maria

Salamu Maria, umejaa neema, Bwana yu nawe, umebarikiwa kuliko wanawake wote, na Yesu Mzao wa tumbo lako amebarikiwa. Maria Mtakatifu, Mama wa Mungu, utuombee sisi wakosefu, sasa, na saa ya kufa kwetu. Amina. (mara tatu)

Tunaukimbilia

Tunaukimbilia ulinzi wako, ee Mzazi Mtakatifu wa Mungu, usitunyime tukiomba katika shida zetu, utuokoe siku zote, kila tuingiapo hatarini, ee Bikira Mtukufu na mwenye baraka,. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Janet Wambura (Guest) on July 10, 2024

Mwamini Bwana; anajua njia

Rose Mwinuka (Guest) on July 2, 2024

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Joy Wacera (Guest) on June 1, 2024

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Anna Mchome (Guest) on March 21, 2024

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Catherine Naliaka (Guest) on March 15, 2024

Rehema hushinda hukumu

Charles Wafula (Guest) on February 25, 2024

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Charles Mchome (Guest) on February 8, 2024

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Frank Sokoine (Guest) on December 19, 2023

Rehema zake hudumu milele

Charles Mchome (Guest) on September 29, 2023

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

George Tenga (Guest) on August 27, 2023

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Patrick Kidata (Guest) on August 24, 2023

Amina

Janet Sumari (Guest) on June 17, 2023

Mungu akubariki!

Andrew Mahiga (Guest) on May 26, 2023

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Ruth Wanjiku (Guest) on May 19, 2023

πŸ™πŸ™πŸ™

Ann Awino (Guest) on March 9, 2023

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Anna Malela (Guest) on March 9, 2023

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Moses Kipkemboi (Guest) on February 22, 2023

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Robert Ndunguru (Guest) on February 12, 2023

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Charles Mchome (Guest) on December 13, 2022

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Henry Mollel (Guest) on December 3, 2022

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Anthony Kariuki (Guest) on September 27, 2022

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Mary Mrope (Guest) on September 1, 2022

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Michael Onyango (Guest) on August 16, 2022

Mungu ni mwema, wakati wote!

Rose Waithera (Guest) on June 12, 2022

Sifa kwa Bwana!

Wilson Ombati (Guest) on May 19, 2022

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Alice Mrema (Guest) on April 19, 2022

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Kenneth Murithi (Guest) on January 27, 2022

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Mary Sokoine (Guest) on January 19, 2022

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Janet Sumaye (Guest) on August 27, 2021

πŸ™πŸ™πŸ™

Dorothy Nkya (Guest) on August 10, 2021

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Henry Mollel (Guest) on June 26, 2021

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Patrick Kidata (Guest) on May 16, 2021

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Stephen Amollo (Guest) on January 29, 2021

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Samuel Were (Guest) on August 19, 2020

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Alex Nakitare (Guest) on August 10, 2020

Tumaini ni nanga ya roho

Jane Malecela (Guest) on June 26, 2020

Dumu katika Bwana.

Lucy Wangui (Guest) on May 6, 2020

Katika imani, yote yanawezekana

Benjamin Kibicho (Guest) on March 23, 2020

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Jane Muthoni (Guest) on December 26, 2019

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

John Kamande (Guest) on October 10, 2019

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Mary Kendi (Guest) on August 30, 2019

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Stephen Kangethe (Guest) on July 26, 2019

Baraka kwako na familia yako.

Janet Sumari (Guest) on July 19, 2019

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Paul Kamau (Guest) on May 6, 2019

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Samuel Were (Guest) on May 2, 2019

Mwamini katika mpango wake.

Grace Njuguna (Guest) on April 17, 2019

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

David Ochieng (Guest) on December 12, 2018

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Elizabeth Mtei (Guest) on November 1, 2018

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Patrick Akech (Guest) on September 5, 2018

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Victor Sokoine (Guest) on July 21, 2018

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Christopher Oloo (Guest) on May 13, 2018

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Joseph Mallya (Guest) on April 17, 2018

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Alice Wanjiru (Guest) on March 14, 2018

Nguvu hutoka kwa Bwana

Alex Nakitare (Guest) on March 8, 2018

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Lucy Wangui (Guest) on March 1, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Edwin Ndambuki (Guest) on February 6, 2018

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Nora Lowassa (Guest) on January 27, 2018

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Rose Lowassa (Guest) on December 7, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Sharon Kibiru (Guest) on October 18, 2017

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Elizabeth Malima (Guest) on October 5, 2017

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Related Posts

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo ... Read More

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na ... Read More

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

Ee Yesu Mfungwa wa Upendo wa Mungu,/ ninapofikiri Upendo wako na jinsi ulivyojitolea kwa ajili ya... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)