Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima
(Tumia rosari ya kawaida)
Mwanzo, kwenye Msalaba:
Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.
Kwenye chembe ndogo za awali:
K: Ee Mungu utuelekezee msaada W: Ee Bwana utusaidie hima
W: Atukuzwe Baba na Mwana na Roho Mtakatifu,
Kama mwanzo na sasa na siku zote na milele. Amina.
Maria ametusaidia,
Maria anataka kutusaidia,
Maria anaweza kutusaidia,
Maria atatusaidia.
KATIKA KILA FUNGU SALI SALA ZIFUATAZO:
Kwenye chembe kubwa:
Atukuzwe Baba na Mwana na Roho Mtakatifu,
Kama mwanzo na sasa, na siku zote, na milele. Amina.
Maria ametusaidia,
Maria anataka kutusaidia,
Maria anaweza kutusaidia,
Maria atatusaidia.
Ee Maria Mama wa Msaada wa daima
Sikiliza maombi ya roho zetu
Unaweza kutusaidia katika mahitaji yetu
Ee Maria kwa matumaini twakuita wewe.
Kwenye chembe ndogo:
Kama unasali mwenyewe: βEe Maria, utusaidie! (mara kumi)
Kama mnasali zaidi ya mmoja kwa pamoja: K; Ee Maria, W: Utusaidie. (mara kumi)
MWISHO SALI SALA ZIFUATAZO:
Salamu Maria
Salamu Maria, umejaa neema, Bwana yu nawe, umebarikiwa kuliko wanawake wote, na Yesu Mzao wa tumbo lako amebarikiwa. Maria Mtakatifu, Mama wa Mungu, utuombee sisi wakosefu, sasa, na saa ya kufa kwetu. Amina. (mara tatu)
Tunaukimbilia
Tunaukimbilia ulinzi wako, ee Mzazi Mtakatifu wa Mungu, usitunyime tukiomba katika shida zetu, utuokoe siku zote, kila tuingiapo hatarini, ee Bikira Mtukufu na mwenye baraka,. Amina.
Janet Wambura (Guest) on July 10, 2024
Mwamini Bwana; anajua njia
Rose Mwinuka (Guest) on July 2, 2024
πβ€οΈ Mungu akubariki
Joy Wacera (Guest) on June 1, 2024
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Anna Mchome (Guest) on March 21, 2024
ππ Nakushukuru Mungu
Catherine Naliaka (Guest) on March 15, 2024
Rehema hushinda hukumu
Charles Wafula (Guest) on February 25, 2024
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Charles Mchome (Guest) on February 8, 2024
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Frank Sokoine (Guest) on December 19, 2023
Rehema zake hudumu milele
Charles Mchome (Guest) on September 29, 2023
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
George Tenga (Guest) on August 27, 2023
ππ Neema za Mungu zisikose
Patrick Kidata (Guest) on August 24, 2023
Amina
Janet Sumari (Guest) on June 17, 2023
Mungu akubariki!
Andrew Mahiga (Guest) on May 26, 2023
ππ Nakusihi Mungu
Ruth Wanjiku (Guest) on May 19, 2023
πππ
Ann Awino (Guest) on March 9, 2023
πβ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku
Anna Malela (Guest) on March 9, 2023
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Moses Kipkemboi (Guest) on February 22, 2023
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Robert Ndunguru (Guest) on February 12, 2023
πβ€οΈπ Tumshukuru Mungu kwa yote
Charles Mchome (Guest) on December 13, 2022
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Henry Mollel (Guest) on December 3, 2022
πβ€οΈ Mungu ni mwaminifu
Anthony Kariuki (Guest) on September 27, 2022
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Mary Mrope (Guest) on September 1, 2022
πππ Mungu akufunike na upendo
Michael Onyango (Guest) on August 16, 2022
Mungu ni mwema, wakati wote!
Rose Waithera (Guest) on June 12, 2022
Sifa kwa Bwana!
Wilson Ombati (Guest) on May 19, 2022
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Alice Mrema (Guest) on April 19, 2022
πβ¨ Mungu atupe nguvu
Kenneth Murithi (Guest) on January 27, 2022
πβ¨ Neema ya Mungu iwe nawe
Mary Sokoine (Guest) on January 19, 2022
ππ Mungu akujalie amani
Janet Sumaye (Guest) on August 27, 2021
πππ
Dorothy Nkya (Guest) on August 10, 2021
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Henry Mollel (Guest) on June 26, 2021
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Patrick Kidata (Guest) on May 16, 2021
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Stephen Amollo (Guest) on January 29, 2021
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Samuel Were (Guest) on August 19, 2020
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Alex Nakitare (Guest) on August 10, 2020
Tumaini ni nanga ya roho
Jane Malecela (Guest) on June 26, 2020
Dumu katika Bwana.
Lucy Wangui (Guest) on May 6, 2020
Katika imani, yote yanawezekana
Benjamin Kibicho (Guest) on March 23, 2020
ππ Namuomba Mungu akupiganie
Jane Muthoni (Guest) on December 26, 2019
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
John Kamande (Guest) on October 10, 2019
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Mary Kendi (Guest) on August 30, 2019
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Stephen Kangethe (Guest) on July 26, 2019
Baraka kwako na familia yako.
Janet Sumari (Guest) on July 19, 2019
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Paul Kamau (Guest) on May 6, 2019
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Samuel Were (Guest) on May 2, 2019
Mwamini katika mpango wake.
Grace Njuguna (Guest) on April 17, 2019
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
David Ochieng (Guest) on December 12, 2018
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Elizabeth Mtei (Guest) on November 1, 2018
ππβ¨ Neema yako ni ya kutosha
Patrick Akech (Guest) on September 5, 2018
πβ€οΈπ Asante Mungu kwa uhai
Victor Sokoine (Guest) on July 21, 2018
ππ Mungu wetu asifiwe
Christopher Oloo (Guest) on May 13, 2018
πβ€οΈπ Bwana akujalie baraka
Joseph Mallya (Guest) on April 17, 2018
ππ Mbarikiwe sana
Alice Wanjiru (Guest) on March 14, 2018
Nguvu hutoka kwa Bwana
Alex Nakitare (Guest) on March 8, 2018
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Lucy Wangui (Guest) on March 1, 2018
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Edwin Ndambuki (Guest) on February 6, 2018
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Nora Lowassa (Guest) on January 27, 2018
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Rose Lowassa (Guest) on December 7, 2017
πππ« Mungu ni mwema
Sharon Kibiru (Guest) on October 18, 2017
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Elizabeth Malima (Guest) on October 5, 2017
πβ¨π Mungu atajibu maombi yako