Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yesu./ Jina la yule msaliti aliyemwuza Yesu/ limewafanya wengi wakusahau./ Walakini Kanisa zima linakuheshimu/ na kukuomba kama Msaidizi katika mashaka makubwa,/ na katika mambo yasiyo na matumaini tena./
Uniombee mimi mnyonge./ Ninaomba utumie uwezo ule uliojaliwa/ wa kuleta upesi msaada kwa watu walioukosa./ Unisaidie sasa katika mahitaji yangu,/ ili nipate kitulizo na msaada wa mbinguni/ katika lazima zangu,/ masumbuko na mateso,/ hasa/ (taja shida yako)./ Pia ili niweze kumsifu Mungu nawe na wateule wote milele./
Mtakatifu Yuda Tadei,/ utuombee,/ na uwaombee watu wote wanaokuheshimu na kukuomba msaada./
Moyo Mtakatifu wa Yesu,/ Rafiki mpenzi wa Yuda Tadei,/ nakutumainia./
(Mwisho Sali: Baba yetu (x3), Salamu Maria (x3) na Atukuzwe(x3).
Elizabeth Mtei (Guest) on July 1, 2024
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Betty Kimaro (Guest) on July 1, 2024
ππ Namuomba Mungu akupiganie
Henry Mollel (Guest) on May 31, 2024
ππ Mbarikiwe sana
Jane Malecela (Guest) on May 10, 2024
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Michael Mboya (Guest) on April 20, 2024
πβ¨ Mungu atupe nguvu
Janet Wambura (Guest) on March 21, 2024
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Jackson Makori (Guest) on March 1, 2024
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Francis Njeru (Guest) on February 27, 2024
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
John Mwangi (Guest) on February 26, 2024
Neema na amani iwe nawe.
Moses Mwita (Guest) on August 4, 2023
πβ€οΈπ Tumshukuru Mungu kwa yote
Stephen Mushi (Guest) on June 21, 2023
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Sarah Mbise (Guest) on June 11, 2023
πβ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku
Janet Wambura (Guest) on May 17, 2023
ππβ¨ Neema yako ni ya kutosha
Joseph Kiwanga (Guest) on May 14, 2023
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
David Sokoine (Guest) on December 17, 2022
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Diana Mallya (Guest) on December 8, 2022
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Sharon Kibiru (Guest) on October 11, 2022
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Ruth Wanjiku (Guest) on September 20, 2022
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Athumani (Guest) on June 29, 2022
πππ
Joyce Nkya (Guest) on March 13, 2022
πβ¨ Neema ya Mungu iwe nawe
Samuel Omondi (Guest) on March 1, 2022
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Paul Ndomba (Guest) on October 22, 2021
πβ¨π Mungu atajibu maombi yako
Diana Mallya (Guest) on June 27, 2021
ππ Mungu alete amani
Henry Sokoine (Guest) on May 5, 2021
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Elizabeth Mrope (Guest) on April 26, 2021
ππ Asante kwa neema zako Mungu
Joseph Mallya (Guest) on March 31, 2021
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Rose Lowassa (Guest) on January 31, 2021
Amina
Sarah Mbise (Guest) on November 24, 2020
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Francis Njeru (Guest) on October 24, 2020
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Nancy Akumu (Guest) on August 30, 2020
πβ€οΈπ Baraka za Mungu ziwe nawe
Janet Wambura (Guest) on August 11, 2020
Nakuombea π
Catherine Naliaka (Guest) on August 4, 2020
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Agnes Sumaye (Guest) on July 31, 2020
ππ Neema za Mungu zisikose
Hellen Nduta (Guest) on June 5, 2020
Mungu akubariki!
Rose Mwinuka (Guest) on May 5, 2020
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Rose Mwinuka (Guest) on April 8, 2020
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Lydia Mahiga (Guest) on February 28, 2020
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Charles Mboje (Guest) on January 15, 2020
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Samuel Omondi (Guest) on January 12, 2020
πβ€οΈπ Asante Mungu kwa uhai
David Kawawa (Guest) on December 30, 2019
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Ann Awino (Guest) on November 22, 2019
Mwamini katika mpango wake.
Samuel Were (Guest) on August 27, 2019
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
John Malisa (Guest) on August 22, 2019
Dumu katika Bwana.
Alice Mwikali (Guest) on August 3, 2019
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Jane Muthui (Guest) on June 7, 2019
πβ€οΈ Mungu ni mlinzi wetu
Elizabeth Mrope (Guest) on March 18, 2019
ππβ€οΈ Nakuombea heri
Elizabeth Mtei (Guest) on February 6, 2019
Sifa kwa Bwana!
Janet Sumaye (Guest) on December 19, 2018
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Anna Sumari (Guest) on November 24, 2018
πβ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike
Frank Macha (Guest) on November 7, 2018
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Diana Mumbua (Guest) on March 9, 2018
πβ¨ Mungu atakuinua
Catherine Naliaka (Guest) on March 3, 2018
πβ€οΈπ Bwana akujalie baraka
David Ochieng (Guest) on February 3, 2018
Katika imani, yote yanawezekana
Grace Wairimu (Guest) on November 28, 2017
ππ Nakushukuru Mungu
Jackson Makori (Guest) on November 21, 2017
πππ« Mungu ni mwema
Linda Karimi (Guest) on October 31, 2017
πβ€οΈ Mungu ni mwaminifu
Simon Kiprono (Guest) on October 17, 2017
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Nancy Kabura (Guest) on September 30, 2017
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Lucy Wangui (Guest) on August 28, 2017
πβ¨ Mungu asikie maombi yetu
Isaac Kiptoo (Guest) on July 23, 2017
πβ€οΈβ¨ Mungu akujalie furaha