Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Featured Image

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yesu./ Jina la yule msaliti aliyemwuza Yesu/ limewafanya wengi wakusahau./ Walakini Kanisa zima linakuheshimu/ na kukuomba kama Msaidizi katika mashaka makubwa,/ na katika mambo yasiyo na matumaini tena./





Uniombee mimi mnyonge./ Ninaomba utumie uwezo ule uliojaliwa/ wa kuleta upesi msaada kwa watu walioukosa./ Unisaidie sasa katika mahitaji yangu,/ ili nipate kitulizo na msaada wa mbinguni/ katika lazima zangu,/ masumbuko na mateso,/ hasa/ (taja shida yako)./ Pia ili niweze kumsifu Mungu nawe na wateule wote milele./





Mtakatifu Yuda Tadei,/ utuombee,/ na uwaombee watu wote wanaokuheshimu na kukuomba msaada./





Moyo Mtakatifu wa Yesu,/ Rafiki mpenzi wa Yuda Tadei,/ nakutumainia./





(Mwisho Sali: Baba yetu (x3), Salamu Maria (x3) na Atukuzwe(x3).


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Elizabeth Mtei (Guest) on July 1, 2024

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Betty Kimaro (Guest) on July 1, 2024

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Henry Mollel (Guest) on May 31, 2024

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Jane Malecela (Guest) on May 10, 2024

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Michael Mboya (Guest) on April 20, 2024

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Janet Wambura (Guest) on March 21, 2024

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Jackson Makori (Guest) on March 1, 2024

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Francis Njeru (Guest) on February 27, 2024

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

John Mwangi (Guest) on February 26, 2024

Neema na amani iwe nawe.

Moses Mwita (Guest) on August 4, 2023

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Stephen Mushi (Guest) on June 21, 2023

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Sarah Mbise (Guest) on June 11, 2023

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Janet Wambura (Guest) on May 17, 2023

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Joseph Kiwanga (Guest) on May 14, 2023

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

David Sokoine (Guest) on December 17, 2022

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Diana Mallya (Guest) on December 8, 2022

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Sharon Kibiru (Guest) on October 11, 2022

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Ruth Wanjiku (Guest) on September 20, 2022

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Athumani (Guest) on June 29, 2022

πŸ™πŸ™πŸ™

Joyce Nkya (Guest) on March 13, 2022

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Samuel Omondi (Guest) on March 1, 2022

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Paul Ndomba (Guest) on October 22, 2021

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Diana Mallya (Guest) on June 27, 2021

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Henry Sokoine (Guest) on May 5, 2021

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Elizabeth Mrope (Guest) on April 26, 2021

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Joseph Mallya (Guest) on March 31, 2021

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Rose Lowassa (Guest) on January 31, 2021

Amina

Sarah Mbise (Guest) on November 24, 2020

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Francis Njeru (Guest) on October 24, 2020

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Nancy Akumu (Guest) on August 30, 2020

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Janet Wambura (Guest) on August 11, 2020

Nakuombea πŸ™

Catherine Naliaka (Guest) on August 4, 2020

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Agnes Sumaye (Guest) on July 31, 2020

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Hellen Nduta (Guest) on June 5, 2020

Mungu akubariki!

Rose Mwinuka (Guest) on May 5, 2020

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Rose Mwinuka (Guest) on April 8, 2020

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Lydia Mahiga (Guest) on February 28, 2020

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Charles Mboje (Guest) on January 15, 2020

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Samuel Omondi (Guest) on January 12, 2020

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

David Kawawa (Guest) on December 30, 2019

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Ann Awino (Guest) on November 22, 2019

Mwamini katika mpango wake.

Samuel Were (Guest) on August 27, 2019

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

John Malisa (Guest) on August 22, 2019

Dumu katika Bwana.

Alice Mwikali (Guest) on August 3, 2019

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Jane Muthui (Guest) on June 7, 2019

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Elizabeth Mrope (Guest) on March 18, 2019

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Elizabeth Mtei (Guest) on February 6, 2019

Sifa kwa Bwana!

Janet Sumaye (Guest) on December 19, 2018

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Anna Sumari (Guest) on November 24, 2018

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Frank Macha (Guest) on November 7, 2018

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Diana Mumbua (Guest) on March 9, 2018

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Catherine Naliaka (Guest) on March 3, 2018

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

David Ochieng (Guest) on February 3, 2018

Katika imani, yote yanawezekana

Grace Wairimu (Guest) on November 28, 2017

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Jackson Makori (Guest) on November 21, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Linda Karimi (Guest) on October 31, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Simon Kiprono (Guest) on October 17, 2017

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Nancy Kabura (Guest) on September 30, 2017

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Lucy Wangui (Guest) on August 28, 2017

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Isaac Kiptoo (Guest) on July 23, 2017

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Related Posts

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
SALAMU MARIA

SALAMU MARIA

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Y... Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.

Kusali nov... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo ... Read More

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

Malaika wa Mungu Mlinzi wangu mpenzi,
Ambaye upendo wake unanifanya niwepo hapa,
Uwe na... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik... Read More