Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ya ubavu wake Kristo yanioshe
Mateso ya Kristo nguvu yanizidishie
Ee Yesu mwema unisikilize
Katika madonda yako unifiche
Usikubali nitengwe nawe
Na adui mwovu unikinge
Saa ya kufa kwangu uniite
Uniamuru kwako nije
Na watakatifu wako nikutukuze
Milele na milele.
Amina.

SALA YA MTAKATIFU INYASI

Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Andrew Mahiga (Guest) on June 27, 2024
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
George Tenga (Guest) on June 11, 2024
Mungu akubariki!
Amos Mutua (Guest) on May 15, 2024
This is my Whatsapp number+254729326757 Amos... please can I receive prayers through this platform because sometimes I can read offline...Amen
Melkisedeck Leon Shine (Master Admin) on May 16, 2024
You can find an ebook here https://ackyshine.com/product/product-category/kitabu-cha-sala
Janet Wambura (Guest) on May 6, 2024
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Joseph Njoroge (Guest) on March 25, 2024
ππ Nakusihi Mungu
Margaret Anyango (Guest) on March 21, 2024
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Anna Mahiga (Guest) on November 19, 2023
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Nancy Kawawa (Guest) on October 9, 2023
πβ€οΈ Mungu ni mwaminifu
Nora Kidata (Guest) on September 29, 2023
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
George Wanjala (Guest) on June 21, 2023
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Michael Mboya (Guest) on February 16, 2023
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Betty Cheruiyot (Guest) on January 2, 2023
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Elizabeth Mtei (Guest) on December 29, 2022
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Janet Sumari (Guest) on December 27, 2022
πβ¨ Mungu atakuinua
Miriam Mchome (Guest) on December 22, 2022
Rehema zake hudumu milele
Rose Waithera (Guest) on December 2, 2022
Tumaini ni nanga ya roho
Isaac Kiptoo (Guest) on November 19, 2022
πβ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike
John Kamande (Guest) on October 30, 2022
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Bernard Oduor (Guest) on August 28, 2022
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
George Mallya (Guest) on August 2, 2022
Baraka kwako na familia yako.
Joseph Kawawa (Guest) on April 28, 2022
Katika imani, yote yanawezekana
Victor Malima (Guest) on April 3, 2022
ππ Mungu alete amani
Linda Karimi (Guest) on March 16, 2022
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Frank Sokoine (Guest) on February 25, 2022
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Samuel Omondi (Guest) on January 16, 2022
ππ Mbarikiwe sana
Michael Onyango (Guest) on December 14, 2021
Sifa kwa Bwana!
Dorothy Majaliwa (Guest) on November 15, 2021
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Fredrick Mutiso (Guest) on October 22, 2021
ππ Neema za Mungu zisikose
Ruth Mtangi (Guest) on October 12, 2021
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Grace Njuguna (Guest) on September 12, 2021
πβ€οΈπ Baraka za Mungu ziwe nawe
Nancy Kawawa (Guest) on August 4, 2021
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Paul Kamau (Guest) on May 28, 2021
πβ€οΈ Mungu akubariki
Charles Wafula (Guest) on May 24, 2021
ππ Nakushukuru Mungu
Henry Mollel (Guest) on May 15, 2021
Mwamini katika mpango wake.
Charles Mboje (Guest) on May 4, 2021
πβ€οΈβ¨ Asante Mungu kwa kila kitu
Victor Kamau (Guest) on April 24, 2021
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Nora Kidata (Guest) on February 12, 2021
πβ€οΈπ Asante Mungu kwa uhai
Rose Lowassa (Guest) on February 2, 2021
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Monica Lissu (Guest) on January 22, 2021
ππ Mungu wetu asifiwe
Elizabeth Mrope (Guest) on December 2, 2020
πβ€οΈ Mungu ni mlinzi wetu
Michael Mboya (Guest) on November 17, 2020
πβ¨ Mungu atupe nguvu
Mariam Kawawa (Guest) on October 29, 2020
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Anna Kibwana (Guest) on October 25, 2020
Dumu katika Bwana.
Samuel Were (Guest) on October 17, 2020
Neema na amani iwe nawe.
Janet Mbithe (Guest) on August 6, 2020
ππ Mungu akujalie amani
Emily Chepngeno (Guest) on December 26, 2019
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Josephine Nekesa (Guest) on October 4, 2019
Rehema hushinda hukumu
Catherine Naliaka (Guest) on June 14, 2019
ππβ¨ Neema yako ni ya kutosha
Victor Mwalimu (Guest) on May 5, 2019
ππβ€οΈ Nakuombea heri
Edward Lowassa (Guest) on February 20, 2019
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
David Chacha (Guest) on February 16, 2019
ππ Asante kwa neema zako Mungu
Jane Muthui (Guest) on January 27, 2019
Amina
Charles Mrope (Guest) on September 2, 2018
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Edith Cherotich (Guest) on August 23, 2018
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Henry Mollel (Guest) on August 12, 2018
πβ¨π Mungu atajibu maombi yako
Monica Nyalandu (Guest) on July 10, 2018
πβ€οΈ Mungu ni mkombozi
Ruth Wanjiku (Guest) on June 15, 2018
πβ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku
Grace Wairimu (Guest) on June 14, 2018
πβ¨ Neema ya Mungu iwe nawe
Mercy Atieno (Guest) on June 6, 2018
Neema ya Mungu inatosha kwako