Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya shetani, Mungu amtiishe, tunaomba sana, nawe Mkuu wa Majeshi ya Mbinguni kwa nguvu ya Mungu uwaangushe motoni shetani na pepo wabaya wengine wote, wanaozunguka duniani, ili kuzipoteza roho za watu. Amina.
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI
Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu
SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU
SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE
Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli
Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma
SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO
NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU