Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya shetani, Mungu amtiishe, tunaomba sana, nawe Mkuu wa Majeshi ya Mbinguni kwa nguvu ya Mungu uwaangushe motoni shetani na pepo wabaya wengine wote, wanaozunguka duniani, ili kuzipoteza roho za watu. Amina.
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
SALAMU MARIA
LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO
LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU
Sala ya Usiku kabla ya kulala
SALA YA KUOMBEA FAMILIA
Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania
SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II
SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI