Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

Featured Image

Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtakatifu wa Bwana wetu Yesu Kristu/ ambao ninataka kumpenda/ na kukusalimu kwa usikivu unaoendelea./ Kamwe nisikuudhi tena/ kwa sababu Wewe ni Mwema sana;/ Ee Mwema sana./ Ee Moyo Mtakatifu sana/ ninakupenda/ na ninataka kukupenda zaidi ya vitu vyote,/ kwa nguvu zangu zote/ na kwa uwezo wangu wote,/ ninatamani kuwa mali yako/ Wewe uliyejitoa Msalabani kwa ajili yangu/ kwa mateso makali./ Unionee huruma na udhaifu wangu/ na usiniruhusu kupotea./

Ninajitoa kabisa kwako/ ee moyo wa mapendo,/ kwa makusudi kuwa utu wangu,/ maisha na mateso yangu/ yalipie kukupenda,/ kukuheshimu/ na kukutukuza Wewe sasa na milele./ Ninakupenda ee Moyo Mwabudiwa wa Mwokozi wangu,/ ninakuomba kwako/ uamuru moyo wangu na kila kitu ndani yangu/ kikutukuze sasa na milele./ Amina.

(Na Mt Margareta Maria Alakoki)

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Jane Muthui (Guest) on July 13, 2024

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Elizabeth Mrope (Guest) on June 21, 2024

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Vincent Mwangangi (Guest) on April 20, 2024

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

George Tenga (Guest) on February 9, 2024

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

James Malima (Guest) on December 3, 2023

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Michael Onyango (Guest) on October 20, 2023

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Joseph Kitine (Guest) on August 19, 2023

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Rose Amukowa (Guest) on July 20, 2023

Dumu katika Bwana.

Patrick Akech (Guest) on June 6, 2023

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Agnes Sumaye (Guest) on May 21, 2023

πŸ™πŸ™πŸ™

Joseph Njoroge (Guest) on May 14, 2023

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

David Chacha (Guest) on April 24, 2023

Tumaini ni nanga ya roho

Peter Mbise (Guest) on January 29, 2023

Mungu ni mwema, wakati wote!

John Lissu (Guest) on January 15, 2023

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Paul Kamau (Guest) on December 30, 2022

Rehema zake hudumu milele

Lucy Kimotho (Guest) on December 3, 2022

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

John Kamande (Guest) on October 23, 2022

πŸ™πŸ™πŸ™

Rose Mwinuka (Guest) on September 13, 2022

Baraka kwako na familia yako.

Kenneth Murithi (Guest) on August 6, 2022

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Patrick Mutua (Guest) on July 8, 2022

Imani inaweza kusogeza milima

Moses Mwita (Guest) on May 13, 2022

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Jane Malecela (Guest) on April 15, 2022

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Rose Lowassa (Guest) on February 15, 2022

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Ruth Wanjiku (Guest) on January 9, 2022

Endelea kuwa na imani!

Christopher Oloo (Guest) on January 5, 2022

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Thomas Mtaki (Guest) on November 17, 2021

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Joseph Kiwanga (Guest) on September 14, 2021

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Nancy Kabura (Guest) on July 14, 2021

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Joseph Njoroge (Guest) on July 11, 2021

Mwamini katika mpango wake.

George Tenga (Guest) on July 5, 2021

Mwamini Bwana; anajua njia

Joseph Kawawa (Guest) on May 6, 2021

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Alice Jebet (Guest) on April 16, 2021

Amina

Grace Wairimu (Guest) on March 5, 2021

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Victor Kimario (Guest) on July 19, 2020

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Robert Ndunguru (Guest) on July 9, 2020

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Grace Mligo (Guest) on April 28, 2020

Nakuombea πŸ™

Catherine Naliaka (Guest) on April 14, 2020

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Raphael Okoth (Guest) on March 19, 2020

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Charles Mrope (Guest) on March 12, 2020

Mungu akubariki!

Joyce Mussa (Guest) on February 17, 2020

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Betty Kimaro (Guest) on January 27, 2020

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Moses Mwita (Guest) on December 5, 2019

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Janet Sumaye (Guest) on October 27, 2019

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Nancy Akumu (Guest) on September 24, 2019

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Frank Sokoine (Guest) on August 9, 2019

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Joseph Kiwanga (Guest) on July 21, 2019

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

David Nyerere (Guest) on March 18, 2019

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Josephine Nduta (Guest) on March 12, 2019

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Lucy Mahiga (Guest) on January 4, 2019

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Alex Nakitare (Guest) on August 7, 2018

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Kenneth Murithi (Guest) on June 5, 2018

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 29, 2018

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Patrick Akech (Guest) on May 23, 2018

Neema ya Mungu inatosha kwako

Elizabeth Malima (Guest) on May 12, 2018

Katika imani, yote yanawezekana

Victor Mwalimu (Guest) on April 23, 2018

Nguvu hutoka kwa Bwana

Elizabeth Mrope (Guest) on March 2, 2018

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Joy Wacera (Guest) on February 20, 2018

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Rose Waithera (Guest) on February 1, 2018

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Jane Malecela (Guest) on January 12, 2018

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Alex Nyamweya (Guest) on September 13, 2017

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Related Posts

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B... Read More

SALAMU MARIA

SALAMU MARIA

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Y... Read More

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

Malaika wa Mungu Mlinzi wangu mpenzi,
Ambaye upendo wake unanifanya niwepo hapa,
Uwe na... Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,

na kwa njia ya Damu yako azizi,

na kwa maombezi ya M... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyikeRead More

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu, ulistahili kuitwa Msimamizi wa misioni katoliki za dunia yote... Read More

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ... Read More

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More