Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

SALAMU MARIA

Featured Image

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Yesu mzao wa tumbo lako amebarikiwa
Maria Mtakatifu
Mama wa Mungu
Utuombee sisi wakosefu
Sasa, na saa ya kufa kwetu.
Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Raphael Okoth (Guest) on June 19, 2024

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Francis Njeru (Guest) on March 25, 2024

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Joseph Njoroge (Guest) on March 6, 2024

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Grace Wairimu (Guest) on December 16, 2023

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Kenneth Murithi (Guest) on November 6, 2023

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Mariam Hassan (Guest) on October 28, 2023

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

David Nyerere (Guest) on May 19, 2023

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Mariam Hassan (Guest) on March 8, 2023

Tumaini ni nanga ya roho

Vincent Mwangangi (Guest) on February 17, 2023

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Patrick Mutua (Guest) on July 31, 2022

Mungu akubariki!

Isaac Kiptoo (Guest) on July 31, 2022

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Isaac Kiptoo (Guest) on June 21, 2022

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Andrew Mchome (Guest) on June 8, 2022

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Andrew Mahiga (Guest) on March 16, 2022

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Victor Sokoine (Guest) on January 24, 2022

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Francis Mrope (Guest) on December 13, 2021

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Jane Muthui (Guest) on October 3, 2021

Amina

Daniel Obura (Guest) on September 25, 2021

Nakuombea πŸ™

Charles Wafula (Guest) on July 12, 2021

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Frank Sokoine (Guest) on April 6, 2021

πŸ™πŸ™πŸ™

Irene Makena (Guest) on December 21, 2020

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

John Lissu (Guest) on July 28, 2020

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Esther Cheruiyot (Guest) on July 19, 2020

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

John Lissu (Guest) on July 18, 2020

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Frank Sokoine (Guest) on July 16, 2020

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Janet Mbithe (Guest) on June 15, 2020

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Victor Malima (Guest) on May 26, 2020

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Elizabeth Mtei (Guest) on May 23, 2020

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Edward Lowassa (Guest) on March 11, 2020

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Anna Sumari (Guest) on March 3, 2020

Endelea kuwa na imani!

Lydia Mutheu (Guest) on February 13, 2020

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Thomas Mtaki (Guest) on January 4, 2020

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

David Nyerere (Guest) on October 27, 2019

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Mary Njeri (Guest) on October 6, 2019

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Charles Mrope (Guest) on September 13, 2019

Neema ya Mungu inatosha kwako

Catherine Mkumbo (Guest) on September 3, 2019

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Anthony Kariuki (Guest) on August 9, 2019

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Frank Macha (Guest) on May 21, 2019

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

David Sokoine (Guest) on May 17, 2019

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Nora Lowassa (Guest) on May 8, 2019

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

John Lissu (Guest) on March 17, 2019

Nguvu hutoka kwa Bwana

Joy Wacera (Guest) on February 27, 2019

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Robert Okello (Guest) on February 1, 2019

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Grace Majaliwa (Guest) on December 3, 2018

Rehema zake hudumu milele

James Kawawa (Guest) on November 15, 2018

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

David Musyoka (Guest) on October 30, 2018

Dumu katika Bwana.

Dorothy Majaliwa (Guest) on September 28, 2018

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Diana Mumbua (Guest) on September 13, 2018

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Betty Kimaro (Guest) on August 28, 2018

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Nora Kidata (Guest) on July 28, 2018

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Janet Sumaye (Guest) on July 6, 2018

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Victor Kimario (Guest) on March 23, 2018

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Anna Malela (Guest) on February 28, 2018

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Irene Makena (Guest) on December 30, 2017

Rehema hushinda hukumu

Henry Sokoine (Guest) on October 25, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Isaac Kiptoo (Guest) on September 26, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Rose Kiwanga (Guest) on September 21, 2017

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

George Tenga (Guest) on August 30, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

Francis Mrope (Guest) on August 26, 2017

Neema na amani iwe nawe.

Grace Njuguna (Guest) on July 15, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Related Posts

Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

SALA YA MAPENDO

SALA YA MAPENDO

Mungu wangu,

nakupenda zaidi ya cho chote,

kwani ndiwe mwema,

ndiwe mwenye kupe... Read More

Litani ya Bikira Maria

Litani ya Bikira Maria

  • Bwana utuhurumie
  • Bwana utuhurumie
  • Kristo utuhurumie
  • Bwana utuhurumie... Read More
ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

AMRI ZA MUNGU

AMRI ZA MUNGU

1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ... Read More

Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More