Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubwa sana ulipotazama mateso na kifo cha Mwana wako mpenzi. Muda ule uliweza kutuliz kidogo kwa sababu ya kumwona angali hai. Lakini je, baada ya kufa na kumzika? Sasa wewe ni mkiwa mkubwa mno! Uh, ukiwa wa pekee, uniombee mimi ninayempoteza mara nyingi kwa dhambi zangu. Unijalie nisimpoteze tena Yesu wangu kwa ubaya wa uvivu wangu, bali nimtumikie kiaminifu duniani hapa ili nimwone na kumfurahia milele mbinguni. Amina.

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Moses Kipkemboi (Guest) on July 11, 2024
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Grace Wairimu (Guest) on July 3, 2024
πβ€οΈπ Baraka za Mungu ziwe nawe
Simon Kiprono (Guest) on May 10, 2024
Dumu katika Bwana.
Monica Nyalandu (Guest) on March 10, 2024
ππ Nakushukuru Mungu
John Kamande (Guest) on December 24, 2023
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Victor Mwalimu (Guest) on December 11, 2023
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Lucy Mahiga (Guest) on November 29, 2023
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Rose Waithera (Guest) on May 14, 2023
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Jackson Makori (Guest) on March 26, 2023
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Samuel Omondi (Guest) on January 14, 2023
πππ Mungu akufunike na upendo
Susan Wangari (Guest) on October 23, 2022
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Alex Nakitare (Guest) on August 21, 2022
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
David Nyerere (Guest) on July 23, 2022
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Monica Nyalandu (Guest) on April 27, 2022
Rehema zake hudumu milele
Victor Malima (Guest) on April 16, 2022
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Brian Karanja (Guest) on April 7, 2022
πππ« Mungu ni mwema
Sharon Kibiru (Guest) on December 6, 2021
πβ¨ Neema ya Mungu iwe nawe
Stephen Kangethe (Guest) on December 2, 2021
ππ Neema za Mungu zisikose
David Chacha (Guest) on November 5, 2021
πβ€οΈβ¨ Mungu akujalie furaha
Nancy Kawawa (Guest) on September 17, 2021
πβ¨ Mungu atakuinua
Sarah Karani (Guest) on August 15, 2021
πβ€οΈπ Asante Mungu kwa uhai
Rose Lowassa (Guest) on July 6, 2021
Nguvu hutoka kwa Bwana
Rose Waithera (Guest) on June 25, 2021
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Esther Nyambura (Guest) on May 31, 2021
Nakuombea π
Stephen Malecela (Guest) on May 20, 2021
πβ€οΈβ¨ Asante Mungu kwa kila kitu
Peter Otieno (Guest) on January 2, 2021
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Christopher Oloo (Guest) on December 30, 2020
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Victor Malima (Guest) on September 16, 2020
Imani inaweza kusogeza milima
James Kimani (Guest) on September 3, 2020
Endelea kuwa na imani!
Joseph Njoroge (Guest) on August 27, 2020
Neema na amani iwe nawe.
Alice Wanjiru (Guest) on August 12, 2020
ππ Mungu alete amani
Esther Nyambura (Guest) on May 19, 2020
πβ€οΈ Mungu ni mlinzi wetu
Janet Wambura (Guest) on April 19, 2020
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Moses Mwita (Guest) on April 5, 2020
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Dorothy Nkya (Guest) on April 2, 2020
Mungu ni mwema, wakati wote!
Joseph Kitine (Guest) on February 14, 2020
ππ Mbarikiwe sana
Linda Karimi (Guest) on February 8, 2020
ππ Mungu wetu asifiwe
Nancy Kawawa (Guest) on January 19, 2020
Tumaini ni nanga ya roho
Jane Malecela (Guest) on January 18, 2020
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Hellen Nduta (Guest) on December 23, 2019
πππ
Nancy Kabura (Guest) on December 5, 2019
Rehema hushinda hukumu
Lydia Mahiga (Guest) on November 6, 2019
ππ Mungu akujalie amani
Simon Kiprono (Guest) on September 19, 2019
ππ Namuomba Mungu akupiganie
Alice Wanjiru (Guest) on August 17, 2019
πβ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku
Grace Minja (Guest) on July 5, 2019
Baraka kwako na familia yako.
Samson Mahiga (Guest) on June 27, 2019
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Grace Majaliwa (Guest) on March 29, 2019
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Janet Mbithe (Guest) on March 15, 2019
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Victor Kimario (Guest) on March 11, 2019
πβ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike
Charles Mboje (Guest) on March 5, 2019
πβ¨π Mungu atajibu maombi yako
James Malima (Guest) on December 18, 2018
Sifa kwa Bwana!
Michael Mboya (Guest) on November 17, 2018
Mwamini Bwana; anajua njia
Alex Nakitare (Guest) on October 8, 2018
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Anna Mahiga (Guest) on September 30, 2018
Mungu akubariki!
Michael Onyango (Guest) on September 21, 2018
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Stephen Kangethe (Guest) on May 2, 2018
ππ Nakusihi Mungu
Rose Kiwanga (Guest) on April 28, 2018
πβ€οΈ Mungu akubariki
Sarah Achieng (Guest) on April 10, 2018
πππ
Stephen Malecela (Guest) on January 27, 2018
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Samuel Were (Guest) on January 23, 2018
ππβ¨ Neema yako ni ya kutosha