Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utusikie Kristo utusikilize
Baba wa mbinguni Mungu Utuhurumie
Mwana, Mkombozi wa dunia Mungu Utuhurumie
Roho Mtakatifu Mungu Utuhurumie
Utatu Mtakatifu Mungu mmoja Utuhurumie
Moyo wa Yesu Mwana wa Baba wa Milele Utuhurumie
Moyo wa Yesu uliotungwa na Roho Mtakatifu mwilini mwa Mama Bikira Maria Utuhurumie
Moyo wa Yesu ulioungana na Neno wa Mungu Utuhurumie
Moyo wa Yesu ulio na utukufu pasipo mfano Utuhurumie
Moyo wa Yesu, hekalu takatifu la Mungu Utuhurumie
Moyo wa Yesu, hema la Yule aliye juu Utuhurumie
Moyo wa Yesu tanuru lenye kuwaka mapendo Utuhurumie
Moyo wa Yesu, nyumba ya Mungu na mlango wa Mbingu Utuhurumie
Moyo wa Yesu, tanuru yenye kuwaka mapendo Utuhurumie
Moyo wa Yesu, chombo cha haki na upendo Utuhurumie
Moyo wa Yesu, unaojaa upendo na wema Utuhurumie
Moyo wa Yesu, kilindi cha fadhila zote Utuhurumie
Moyo wa Yesu, unaostahili sifa zote Utuhurumie
Moyo wa Yesu, unaotawala mioyo yote Utuhurumie
Moyo wa Yesu, zinamokaa hazina za hekima na elimu Utuhurumie
Moyo wa Yesu, uliopendelewa na Mungu Baba Utuhurumie
Moyo wa Yesu, uliotuenezea maziada yake Utuhurumie
Moyo wa Yesu, mtamaniwa wa vilima vya milele Utuhurumie
Moyo wa Yesu, wenye uvumilivu na huruma nyingi Utuhurumie
Moyo wa Yesu, tajiri kwa wote wenye kukuomba Utuhurumie
Moyo wa Yesu, chemchemi ya uzima na utakatifu Utuhurumie
Moyo wa Yesu, malipo kwa dhambi zetu Utuhurumie
Moyo wa Yesu, ulioshibishwa matusi Utuhurumie
Moyo wa Yesu, uliovunjika kwa sababu ya ubaya wetu Utuhurumie
Moyo wa Yesu, uliotii mpaka kufa Utuhurumie
Moyo wa Yesu, uliochomwa kwa mkuki Utuhurumie
Moyo wa Yesu, chemchemi ya faraja zote Utuhurumie
Moyo wa Yesu, uzima na ufufuo wetu Utuhurumie
Moyo wa Yesu, amani na upatanisho wetu Utuhurumie
Moyo wa Yesu, sadaka ya wakosefu Utuhurumie
Moyo wa Yesu, unamokaa wokovu wao wenye kukutumaini Utuhurumie
Moyo wa Yesu, matumaini yao wenye kuzimia kwako Utuhurumie
Moyo wa Yesu, sababu ya furaha ya watakatifu wote Utuhurumie
Mwanakondoo wa Mungu, uondoaye dhambi za dunia Utusamehe Bwana
Mwanakondoo wa Mungu, uondoaye dhambi za dunia Utusikilize Bwana
Mwanakondoo wa Mungu, uondoaye dhambi za dunia Utuhurumie
Kiongozi: Yesu mwenye Moyo mpole na mnyenyekevu,
Wote: Ufanye mioyo yetu ifanane na Moyo wako
TUOMBE: (W) Ee Mungu Mwenyezi milele, uuangalie Moyo wa mwanao mpendelevu, pia na heshima na malipo aliyokutolea kwa ajili ya wenye dhambi, uridhike, uwaondolee wenye kuomba toba kwako kwa njia ya huyo Mwanao Yesu Kristo anayeishi na kutawala nawe pamoja na Roho Mtakatifu, Mungu milele. Amina.
Lydia Mzindakaya (Guest) on June 23, 2024
πβ€οΈ Mungu ni mkombozi
Michael Mboya (Guest) on June 4, 2024
ππ Mbarikiwe sana
Jane Malecela (Guest) on May 17, 2024
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Raphael Okoth (Guest) on May 16, 2024
πβ€οΈ Mungu ni mwaminifu
George Tenga (Guest) on April 19, 2024
πβ¨ Mungu atupe nguvu
Raphael Okoth (Guest) on October 13, 2023
ππ Nakusihi Mungu
Josephine Nekesa (Guest) on October 11, 2023
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Nancy Kabura (Guest) on October 6, 2023
πβ€οΈ Mungu ni mlinzi wetu
John Mushi (Guest) on September 9, 2023
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Kenneth Murithi (Guest) on June 4, 2023
Dumu katika Bwana.
Ruth Mtangi (Guest) on April 8, 2023
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
David Ochieng (Guest) on March 16, 2023
πβ€οΈπ Baraka za Mungu ziwe nawe
Grace Minja (Guest) on February 7, 2023
Mwamini katika mpango wake.
Dorothy Mwakalindile (Guest) on February 2, 2023
πβ€οΈπ Asante Mungu kwa uhai
Jacob Kiplangat (Guest) on November 1, 2022
Imani inaweza kusogeza milima
Anthony Kariuki (Guest) on October 15, 2022
Sifa kwa Bwana!
Robert Okello (Guest) on September 15, 2022
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Hellen Nduta (Guest) on July 19, 2022
ππ Mungu alete amani
Stephen Kangethe (Guest) on May 9, 2022
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Martin Otieno (Guest) on February 21, 2022
πβ€οΈπ Tumshukuru Mungu kwa yote
Anna Malela (Guest) on February 18, 2022
Nakuombea π
Paul Ndomba (Guest) on October 27, 2021
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Linda Karimi (Guest) on April 22, 2021
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Rahim (Guest) on April 11, 2021
πππ
Rose Mwinuka (Guest) on March 25, 2021
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Benjamin Kibicho (Guest) on February 28, 2021
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Paul Ndomba (Guest) on January 23, 2021
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Catherine Naliaka (Guest) on December 11, 2020
Neema ya Mungu inatosha kwako
Rose Amukowa (Guest) on December 8, 2020
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Monica Lissu (Guest) on December 1, 2020
ππ Neema za Mungu zisikose
Lydia Mahiga (Guest) on October 10, 2020
πβ€οΈ Mungu akubariki
Anna Mchome (Guest) on September 27, 2020
ππ Mungu akujalie amani
Edward Chepkoech (Guest) on August 8, 2020
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Peter Mugendi (Guest) on July 25, 2020
Rehema zake hudumu milele
Vincent Mwangangi (Guest) on July 5, 2020
πβ¨π Mungu atajibu maombi yako
Alice Jebet (Guest) on June 29, 2020
πβ¨ Neema ya Mungu iwe nawe
Dorothy Nkya (Guest) on June 10, 2020
ππ Asante kwa neema zako Mungu
George Mallya (Guest) on May 29, 2020
Baraka kwako na familia yako.
Diana Mallya (Guest) on February 18, 2020
ππβ¨ Neema yako ni ya kutosha
Mariam Kawawa (Guest) on December 26, 2019
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Carol Nyakio (Guest) on December 25, 2019
Nguvu hutoka kwa Bwana
Elijah Mutua (Guest) on December 5, 2019
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Anna Sumari (Guest) on October 4, 2019
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Anna Mahiga (Guest) on October 2, 2019
Neema na amani iwe nawe.
Benjamin Masanja (Guest) on August 30, 2019
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Josephine Nduta (Guest) on June 26, 2019
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
James Kawawa (Guest) on March 13, 2019
πππ« Mungu ni mwema
George Mallya (Guest) on March 9, 2019
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Samson Mahiga (Guest) on January 20, 2019
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Alice Mrema (Guest) on December 2, 2018
ππβ€οΈ Nakuombea heri
Alice Mrema (Guest) on July 27, 2018
Tumaini ni nanga ya roho
Mary Sokoine (Guest) on June 25, 2018
Amina
Isaac Kiptoo (Guest) on June 14, 2018
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Edwin Ndambuki (Guest) on March 28, 2018
Mungu akubariki!
Philip Nyaga (Guest) on January 28, 2018
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Rose Mwinuka (Guest) on January 11, 2018
πβ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku
Faith Kariuki (Guest) on December 8, 2017
Katika imani, yote yanawezekana
Anna Malela (Guest) on April 12, 2017
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Mary Njeri (Guest) on April 2, 2017
πβ€οΈπ Bwana akujalie baraka
Paul Kamau (Guest) on March 26, 2017
πβ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike