Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

Featured Image

Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina ya maisha ambayo Mungu anapenda mimi niishi. Usiniache nidanganyike katika jambo muhimu kama hili, ambalo furaha yangu hapa duniani inalitegemea, na hata pia wokovu wa roho yangu.

Unijalie, nikiangazwa na matakwa matakatifu na nikiwa mwaminifu katika kuyatimiza, nikumbatie aina ya maisha ambayo Mungu ameniandalia na yatakayoniongoza kwenye furaha ya milele.
Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mary Njeri (Guest) on July 13, 2024

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Mary Mrope (Guest) on July 10, 2024

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Chris Okello (Guest) on June 9, 2024

Nakuombea πŸ™

John Mwangi (Guest) on March 2, 2024

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

George Ndungu (Guest) on February 9, 2024

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

John Lissu (Guest) on January 20, 2024

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Vincent Mwangangi (Guest) on December 29, 2023

πŸ™πŸ™πŸ™

John Lissu (Guest) on December 12, 2023

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Frank Macha (Guest) on July 30, 2023

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Rose Amukowa (Guest) on July 29, 2023

Amina

Irene Makena (Guest) on February 5, 2023

Sifa kwa Bwana!

Margaret Anyango (Guest) on November 30, 2022

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Mariam Kawawa (Guest) on October 21, 2022

Endelea kuwa na imani!

Elizabeth Mtei (Guest) on August 3, 2022

Mwamini Bwana; anajua njia

Grace Minja (Guest) on July 22, 2022

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Victor Kamau (Guest) on June 24, 2022

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Elizabeth Mtei (Guest) on June 22, 2022

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Moses Kipkemboi (Guest) on June 9, 2022

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Anna Kibwana (Guest) on April 26, 2022

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Anna Sumari (Guest) on April 25, 2022

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Ann Awino (Guest) on December 27, 2021

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

James Malima (Guest) on December 11, 2021

Rehema hushinda hukumu

Miriam Mchome (Guest) on September 17, 2021

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Martin Otieno (Guest) on August 27, 2021

Mungu akubariki!

James Mduma (Guest) on August 21, 2021

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Thomas Mwakalindile (Guest) on July 5, 2021

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Robert Okello (Guest) on April 11, 2021

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

James Malima (Guest) on January 18, 2021

Imani inaweza kusogeza milima

Alice Wanjiru (Guest) on January 8, 2021

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Peter Mbise (Guest) on November 2, 2020

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

James Mduma (Guest) on October 5, 2020

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Fredrick Mutiso (Guest) on August 18, 2020

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Irene Makena (Guest) on July 14, 2020

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

James Kimani (Guest) on June 28, 2020

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Diana Mumbua (Guest) on May 24, 2020

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Francis Njeru (Guest) on May 9, 2020

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Linda Karimi (Guest) on March 14, 2020

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Wilson Ombati (Guest) on September 4, 2019

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Andrew Odhiambo (Guest) on August 15, 2019

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Isaac Kiptoo (Guest) on July 19, 2019

Tumaini ni nanga ya roho

Stephen Amollo (Guest) on January 7, 2019

Mwamini katika mpango wake.

Agnes Lowassa (Guest) on December 18, 2018

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Joyce Aoko (Guest) on December 14, 2018

Rehema zake hudumu milele

Bernard Oduor (Guest) on November 2, 2018

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Grace Mushi (Guest) on October 4, 2018

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Irene Akoth (Guest) on September 15, 2018

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Patrick Mutua (Guest) on August 28, 2018

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Mary Njeri (Guest) on August 28, 2018

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Mary Kendi (Guest) on July 26, 2018

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Ann Awino (Guest) on June 6, 2018

Dumu katika Bwana.

Paul Kamau (Guest) on May 9, 2018

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Michael Onyango (Guest) on May 1, 2018

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Joseph Kitine (Guest) on April 9, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Grace Mushi (Guest) on February 27, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Alex Nakitare (Guest) on February 22, 2018

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Philip Nyaga (Guest) on January 25, 2018

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Christopher Oloo (Guest) on January 15, 2018

πŸ™πŸ™πŸ™

John Lissu (Guest) on December 1, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Victor Malima (Guest) on September 15, 2017

Neema ya Mungu inatosha kwako

Patrick Mutua (Guest) on August 27, 2017

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Related Posts

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)