Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Featured Image

Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakukimbilia, ninakuja kwako katika mikono yako yenye huruma. Ndiwe tegemeo langu na tumaini langu dhabiti. Ndiwe mwenye dawa ya maovu yangu yote, malipizi ya makosa yangu yote. Waweza kunipatia haja zangu na neema ninazoziomba mimi na wengine. Wewe uko ili kutusaidia sote, ndiwe mwanga mkuu usiozimika, ndiwe chanzo cha nguvu, uvumilivu, amani na faraja. Nina hakika kuwa maombi yangu hayatakuchosha, nawe hutaacha kunisaidia, kunilinda, kunipenda, kwani, ee Moyo Mtakatifu , upendo wako hauna mwisho. Ee Moyo Mtakatifu, unihurumie, kwa ajili ya maombi yangu, kadiri ya huruma yako. Nawe katika sisi, na kwa ajili yetu, ufanye lolote unalolihitaji, kwani tunajitoa kwako kwa imani na uhakika thabiti kwamba kamwe hautatuacha, kwa milele. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Victor Sokoine (Guest) on October 22, 2017

Nakuombea πŸ™

Sharon Kibiru (Guest) on September 10, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Stephen Malecela (Guest) on July 15, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Lucy Kimotho (Guest) on June 26, 2017

Mungu ni mwema, wakati wote!

Jane Muthui (Guest) on June 20, 2017

Rehema zake hudumu milele

Edwin Ndambuki (Guest) on June 19, 2017

Sifa kwa Bwana!

Charles Wafula (Guest) on May 2, 2017

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Anna Kibwana (Guest) on March 10, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Raphael Okoth (Guest) on January 10, 2017

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Margaret Mahiga (Guest) on September 22, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Agnes Sumaye (Guest) on September 12, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Rose Lowassa (Guest) on August 14, 2016

Amina

Elizabeth Mtei (Guest) on June 28, 2016

Neema ya Mungu inatosha kwako

Ruth Mtangi (Guest) on November 1, 2015

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

James Mduma (Guest) on October 1, 2015

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Josephine Nduta (Guest) on August 18, 2015

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Janet Sumari (Guest) on August 17, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Charles Wafula (Guest) on July 13, 2015

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Patrick Kidata (Guest) on June 28, 2015

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Catherine Mkumbo (Guest) on June 27, 2015

Dumu katika Bwana.

George Mallya (Guest) on June 23, 2015

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Rose Lowassa (Guest) on June 17, 2015

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 31, 2015

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Related Posts

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

Yesu, Mungu wangu mpenzi,/ upo hapa katika Altare mbele yangu;/ na mimi napiga magoti mbele yako.... Read More

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto... Read More

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B... Read More

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ... Read More

Sala ya kuomba Kifo chema

Sala ya kuomba Kifo chema

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

nawatolea Moyo, na roho, na uzima wangu.

Enyi Yesu na M... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

SALA YA JIONI

SALA YA JIONI

TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA


BABA YETU…………β... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
Sala ya Usiku kabla ya kulala

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.

SALA YA KUSHUKURU

Tunakus... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)