Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utusikie β Kristo utusikilize
Mungu Baba wa Mbinguni, Utuhurumie
Mungu Mwana, Mkombozi wa dunia Utuhurumie
Mungu Roho Mtakatifu Utuhurumie
Utatu Mtakatifu Mungu MMoja Utuhurumie
Maria Mtakatifu Utuombee (iwe kiitikio)
Mama wa Mkombozi wetu,
Mama mwenye mateso,
Malkia wa mashahidi,
Mama wa wenye uchungu,
Mfariji wa wenye taabu,
Msaada wa wenye shida,
Mlinzi wa wenye upweke,
Nguvu ya dhaifu moyoni,
Makimbilio ya wakosefu,
Afya ya wagonjwa,
Matumaini ya wanaozimia,
Kwa ajili ya ufukara wako ulioona pangoni Bethlehemu, - Utusaidie ee Mama wa mateso (iwe kiitikio)
Kwa ajili ya mateso yako uliyoona katika uaguzi wa Simeoni,
Kwa ajili ya taabu zako ulizopata katika safari ya Misri,
Kwa uchungu wako, Mwanao alipopotea,
Kwa ajili ya huzuni yako Mwanao alipodhulumiwa,
Kwa ajili ya hofu yako Yesu alipokamatwa,
Kwa ajili ya uchungu wako ulipokutana na Yesu katika njia ya Msalaba,
Kwa ajili ya mateso ya Moyo wako aliposulibiwa,
Kwa ajili ya mateso yako makali Yesu alipokufa,
Kwa ajili ya kilio chako juu ya Mwanao mpenzi,
Kwa ajili ya uchungu wako penye kaburi la Mwanao,
Kwa ajili ya upweke wako baada ya maziko ya Mwanao,
Kwa ajili ya uvumilivu wako katika shida zote,
Katika uchungu wetu wote,
Katika ugonjwa na mateso,
Katika huzuni na shida,
Katika umaskini na upweke,
Katika mahangaiko na hatari,
Katika vishawisho vyote,
Katika saa ya kifo chetu,
Katika hukumu ya mwisho,
Mwanakondoo wa Mungu, unayeondoa dhambi za dunia, Utusamehe ee Bwana.
Mwanakondoo wa Mungu, unayeondoa dhambi za dunia, Utusikilize ee Bwana.
Mwanakondoo wa Mungu, unayeondoa dhambi za dunia, Utuhurumie.
Kristo utusikie β Kristo utusikilize
Bwana utuhurumie β Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie.
Baba Yetu β¦.
Utuombee, ee Mama wa Mateso
Tujaliwe kupewa ahadi za Kristo.
TUOMBE: Ee Bwana Yesu Kristo, utusaidie sasa na saa ya kifo chetu msaada wa Bikira Maria Mama yako, ambaye moyo wake mtakatifu ulichomwa na upanga wa mateso ulipoteswa na kufa msalabani. Unayeishi na kutawala milele na milele. Amina.
Margaret Mahiga (Guest) on July 9, 2024
πππ Mungu akufunike na upendo
Margaret Anyango (Guest) on June 16, 2024
ππ Asante kwa neema zako Mungu
Janet Mbithe (Guest) on April 6, 2024
Amina
Mariam Hassan (Guest) on November 26, 2023
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Susan Wangari (Guest) on September 18, 2023
πβ€οΈ Mungu ni mlinzi wetu
Miriam Mchome (Guest) on September 3, 2023
πβ¨π Mungu atajibu maombi yako
Robert Okello (Guest) on July 1, 2023
πβ¨ Mungu asikie maombi yetu
Chris Okello (Guest) on April 5, 2023
πβ€οΈπ Baraka za Mungu ziwe nawe
Edwin Ndambuki (Guest) on March 24, 2023
πππ
Victor Malima (Guest) on January 18, 2023
πβ€οΈβ¨ Asante Mungu kwa kila kitu
Maida (Guest) on January 7, 2023
πππ
Henry Sokoine (Guest) on November 24, 2022
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Joyce Nkya (Guest) on October 28, 2022
πβ¨ Mungu atakuinua
Joseph Njoroge (Guest) on September 8, 2022
ππ Mungu wetu asifiwe
Esther Nyambura (Guest) on September 1, 2022
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Catherine Naliaka (Guest) on August 31, 2022
πβ€οΈ Mungu ni mwaminifu
Mary Njeri (Guest) on June 9, 2022
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Betty Kimaro (Guest) on June 2, 2022
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Lydia Wanyama (Guest) on May 14, 2022
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Agnes Njeri (Guest) on April 21, 2022
ππ Namuomba Mungu akupiganie
Peter Mbise (Guest) on April 3, 2022
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Sarah Achieng (Guest) on February 21, 2022
ππ Mungu alete amani
Henry Sokoine (Guest) on October 17, 2021
Mungu ni mwema, wakati wote!
Jane Muthoni (Guest) on August 1, 2021
πβ¨ Mungu atupe nguvu
Ruth Wanjiku (Guest) on July 16, 2021
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
James Malima (Guest) on June 1, 2021
Dumu katika Bwana.
Janet Mbithe (Guest) on March 10, 2021
πβ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike
Rose Lowassa (Guest) on January 16, 2021
Mungu akubariki!
Joy Wacera (Guest) on January 4, 2021
Imani inaweza kusogeza milima
Rose Lowassa (Guest) on November 23, 2020
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Joseph Kawawa (Guest) on October 8, 2020
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Victor Sokoine (Guest) on October 5, 2020
πβ€οΈ Mungu akubariki
James Malima (Guest) on September 8, 2020
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Frank Sokoine (Guest) on August 8, 2020
πβ€οΈπ Asante Mungu kwa uhai
Joseph Kitine (Guest) on June 9, 2020
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Irene Akoth (Guest) on May 16, 2020
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Esther Cheruiyot (Guest) on May 6, 2020
Neema ya Mungu inatosha kwako
James Mduma (Guest) on April 22, 2020
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Benjamin Masanja (Guest) on April 17, 2020
Nguvu hutoka kwa Bwana
Elizabeth Mtei (Guest) on March 31, 2020
Nakuombea π
Christopher Oloo (Guest) on March 10, 2020
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Rose Lowassa (Guest) on February 21, 2020
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
John Kamande (Guest) on June 22, 2019
ππ Nakusihi Mungu
Brian Karanja (Guest) on June 9, 2019
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Patrick Akech (Guest) on February 6, 2019
πβ€οΈπ Tumshukuru Mungu kwa yote
Alice Mwikali (Guest) on December 23, 2018
πππ« Mungu ni mwema
Edith Cherotich (Guest) on November 12, 2018
πβ€οΈπ Bwana akujalie baraka
Josephine Nduta (Guest) on November 3, 2018
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Alex Nyamweya (Guest) on October 14, 2018
πβ€οΈ Mungu ni mkombozi
Henry Mollel (Guest) on October 8, 2018
ππ Neema za Mungu zisikose
Fredrick Mutiso (Guest) on August 12, 2018
Baraka kwako na familia yako.
Samson Tibaijuka (Guest) on June 4, 2018
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
John Mwangi (Guest) on April 22, 2018
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Edith Cherotich (Guest) on March 23, 2018
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
George Wanjala (Guest) on March 20, 2018
Neema na amani iwe nawe.
Margaret Anyango (Guest) on December 24, 2017
Mwamini Bwana; anajua njia
Catherine Naliaka (Guest) on November 20, 2017
Endelea kuwa na imani!
Anna Mchome (Guest) on November 10, 2017
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
John Mushi (Guest) on October 27, 2017
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Ruth Mtangi (Guest) on October 12, 2017
Mwamini katika mpango wake.