Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Featured Image

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua wewe, kama mwombezi wangu kwa Mungu Mwenyezi, na pia kama mfano wangu, na mlinzi wangu, na baba yangu, katika bonde hili la ugenini.


Ee Mt. Yosefu, ambaye Bwana alikufanya mlinzi wa Familia yake, ninakuomba uwe mlinzi wangu mwema katika mambo yangu yote. Uniwashie moyoni mwangu moto wa mapendo makuu kwa Yesu, na uniwezeshe kumtumikia kwa bidii na kwa uaminifu kwa mfano wako. Nisaidie katika udhaifu wangu katika kumheshimu Mama Maria kama Mwombezi wangu.

Daima uwe kiongozi wangu katika njia ya fadhila na ibada, na unijalie, baada ya kukufuasa kwa uaminifu katika njia ya haki, nipate ulinzi wako wenye nguvu katika saa ya kufa kwangu.
Amina

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Otieno cosmas (Guest) on September 13, 2024

Amani kwa familia

Sharon Kibiru (Guest) on July 16, 2024

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Anna Mahiga (Guest) on May 20, 2024

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Lucy Kimotho (Guest) on May 12, 2024

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Joseph Mallya (Guest) on February 20, 2024

πŸ™πŸ™πŸ™

Paul Kamau (Guest) on February 14, 2024

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

James Kawawa (Guest) on February 10, 2024

Katika imani, yote yanawezekana

Rose Waithera (Guest) on February 6, 2024

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Henry Mollel (Guest) on January 20, 2024

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Wilson Ombati (Guest) on December 8, 2023

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Janet Mbithe (Guest) on November 23, 2023

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Paul Kamau (Guest) on November 13, 2023

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Josephine Nekesa (Guest) on October 1, 2023

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Charles Mchome (Guest) on June 30, 2023

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Joseph Kiwanga (Guest) on June 25, 2023

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Sarah Achieng (Guest) on June 21, 2023

Rehema hushinda hukumu

Joseph Kawawa (Guest) on May 19, 2023

Mwamini katika mpango wake.

Ann Awino (Guest) on May 13, 2023

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Lydia Mahiga (Guest) on April 22, 2023

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Robert Okello (Guest) on April 20, 2023

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Kenneth Murithi (Guest) on March 25, 2023

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Frank Sokoine (Guest) on March 2, 2023

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Grace Minja (Guest) on January 18, 2023

πŸ™πŸ™πŸ™

Elizabeth Mrope (Guest) on November 15, 2022

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

George Mallya (Guest) on September 23, 2022

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Elizabeth Mtei (Guest) on July 31, 2022

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Betty Akinyi (Guest) on June 3, 2022

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Agnes Sumaye (Guest) on May 26, 2022

Amina

James Malima (Guest) on April 15, 2022

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Christopher Oloo (Guest) on February 24, 2022

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Diana Mumbua (Guest) on February 8, 2022

Mungu ni mwema, wakati wote!

Lydia Mzindakaya (Guest) on December 30, 2021

Neema ya Mungu inatosha kwako

Samuel Were (Guest) on December 21, 2021

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Samson Tibaijuka (Guest) on October 11, 2021

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Nancy Komba (Guest) on October 9, 2021

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Dorothy Nkya (Guest) on May 20, 2021

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Michael Mboya (Guest) on March 19, 2021

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Nora Lowassa (Guest) on March 11, 2021

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Joseph Kawawa (Guest) on November 6, 2020

Mungu akubariki!

Nancy Akumu (Guest) on September 4, 2020

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Jane Malecela (Guest) on January 10, 2020

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Mary Njeri (Guest) on November 25, 2019

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Joseph Kiwanga (Guest) on November 1, 2019

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Joyce Nkya (Guest) on June 10, 2019

Tumaini ni nanga ya roho

Benjamin Masanja (Guest) on April 15, 2019

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

James Kimani (Guest) on October 21, 2018

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Kevin Maina (Guest) on September 9, 2018

Imani inaweza kusogeza milima

Peter Tibaijuka (Guest) on August 16, 2018

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Joseph Kiwanga (Guest) on January 11, 2018

Mwamini Bwana; anajua njia

Lucy Wangui (Guest) on January 8, 2018

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Joseph Kawawa (Guest) on December 22, 2017

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Kevin Maina (Guest) on November 21, 2017

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Fredrick Mutiso (Guest) on November 5, 2017

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Janet Mwikali (Guest) on October 10, 2017

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Monica Adhiambo (Guest) on October 6, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Agnes Njeri (Guest) on August 11, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Samson Tibaijuka (Guest) on July 23, 2017

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Edward Chepkoech (Guest) on July 21, 2017

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Esther Nyambura (Guest) on June 18, 2017

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Anna Malela (Guest) on May 15, 2017

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Related Posts

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
... Read More

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtaka... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

SALA YA MAPENDO

SALA YA MAPENDO

Mungu wangu,

nakupenda zaidi ya cho chote,

kwani ndiwe mwema,

ndiwe mwenye kupe... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)