Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua wewe, kama mwombezi wangu kwa Mungu Mwenyezi, na pia kama mfano wangu, na mlinzi wangu, na baba yangu, katika bonde hili la ugenini.
Ee Mt. Yosefu, ambaye Bwana alikufanya mlinzi wa Familia yake, ninakuomba uwe mlinzi wangu mwema katika mambo yangu yote. Uniwashie moyoni mwangu moto wa mapendo makuu kwa Yesu, na uniwezeshe kumtumikia kwa bidii na kwa uaminifu kwa mfano wako. Nisaidie katika udhaifu wangu katika kumheshimu Mama Maria kama Mwombezi wangu.
Daima uwe kiongozi wangu katika njia ya fadhila na ibada, na unijalie, baada ya kukufuasa kwa uaminifu katika njia ya haki, nipate ulinzi wako wenye nguvu katika saa ya kufa kwangu.
Amina
Otieno cosmas (Guest) on September 13, 2024
Amani kwa familia
Sharon Kibiru (Guest) on July 16, 2024
ππ Mungu alete amani
Anna Mahiga (Guest) on May 20, 2024
πβ¨π Mungu atajibu maombi yako
Lucy Kimotho (Guest) on May 12, 2024
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Joseph Mallya (Guest) on February 20, 2024
πππ
Paul Kamau (Guest) on February 14, 2024
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
James Kawawa (Guest) on February 10, 2024
Katika imani, yote yanawezekana
Rose Waithera (Guest) on February 6, 2024
πβ€οΈ Mungu ni mwaminifu
Henry Mollel (Guest) on January 20, 2024
πβ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike
Wilson Ombati (Guest) on December 8, 2023
πβ¨ Neema ya Mungu iwe nawe
Janet Mbithe (Guest) on November 23, 2023
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Paul Kamau (Guest) on November 13, 2023
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Josephine Nekesa (Guest) on October 1, 2023
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Charles Mchome (Guest) on June 30, 2023
ππβ€οΈ Nakuombea heri
Joseph Kiwanga (Guest) on June 25, 2023
ππ Neema za Mungu zisikose
Sarah Achieng (Guest) on June 21, 2023
Rehema hushinda hukumu
Joseph Kawawa (Guest) on May 19, 2023
Mwamini katika mpango wake.
Ann Awino (Guest) on May 13, 2023
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Lydia Mahiga (Guest) on April 22, 2023
πβ€οΈ Mungu ni mlinzi wetu
Robert Okello (Guest) on April 20, 2023
ππ Mbarikiwe sana
Kenneth Murithi (Guest) on March 25, 2023
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Frank Sokoine (Guest) on March 2, 2023
πβ€οΈπ Baraka za Mungu ziwe nawe
Grace Minja (Guest) on January 18, 2023
πππ
Elizabeth Mrope (Guest) on November 15, 2022
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
George Mallya (Guest) on September 23, 2022
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Elizabeth Mtei (Guest) on July 31, 2022
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Betty Akinyi (Guest) on June 3, 2022
πβ¨ Mungu atakuinua
Agnes Sumaye (Guest) on May 26, 2022
Amina
James Malima (Guest) on April 15, 2022
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Christopher Oloo (Guest) on February 24, 2022
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Diana Mumbua (Guest) on February 8, 2022
Mungu ni mwema, wakati wote!
Lydia Mzindakaya (Guest) on December 30, 2021
Neema ya Mungu inatosha kwako
Samuel Were (Guest) on December 21, 2021
πβ€οΈ Mungu akubariki
Samson Tibaijuka (Guest) on October 11, 2021
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Nancy Komba (Guest) on October 9, 2021
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Dorothy Nkya (Guest) on May 20, 2021
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Michael Mboya (Guest) on March 19, 2021
πβ€οΈπ Tumshukuru Mungu kwa yote
Nora Lowassa (Guest) on March 11, 2021
ππ Mungu wetu asifiwe
Joseph Kawawa (Guest) on November 6, 2020
Mungu akubariki!
Nancy Akumu (Guest) on September 4, 2020
ππβ¨ Neema yako ni ya kutosha
Jane Malecela (Guest) on January 10, 2020
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Mary Njeri (Guest) on November 25, 2019
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Joseph Kiwanga (Guest) on November 1, 2019
πβ€οΈπ Bwana akujalie baraka
Joyce Nkya (Guest) on June 10, 2019
Tumaini ni nanga ya roho
Benjamin Masanja (Guest) on April 15, 2019
πβ€οΈβ¨ Asante Mungu kwa kila kitu
James Kimani (Guest) on October 21, 2018
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Kevin Maina (Guest) on September 9, 2018
Imani inaweza kusogeza milima
Peter Tibaijuka (Guest) on August 16, 2018
πβ€οΈ Mungu ni mkombozi
Joseph Kiwanga (Guest) on January 11, 2018
Mwamini Bwana; anajua njia
Lucy Wangui (Guest) on January 8, 2018
ππ Namuomba Mungu akupiganie
Joseph Kawawa (Guest) on December 22, 2017
πβ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku
Kevin Maina (Guest) on November 21, 2017
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Fredrick Mutiso (Guest) on November 5, 2017
ππ Nakushukuru Mungu
Janet Mwikali (Guest) on October 10, 2017
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Monica Adhiambo (Guest) on October 6, 2017
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Agnes Njeri (Guest) on August 11, 2017
Baraka kwako na familia yako.
Samson Tibaijuka (Guest) on July 23, 2017
πβ€οΈβ¨ Mungu akujalie furaha
Edward Chepkoech (Guest) on July 21, 2017
πβ¨ Mungu asikie maombi yetu
Esther Nyambura (Guest) on June 18, 2017
ππ Mungu akujalie amani
Anna Malela (Guest) on May 15, 2017
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika