Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya shetani, Mungu amtiishe, tunaomba sana, nawe Mkuu wa Majeshi ya Mbinguni kwa nguvu ya Mungu uwaangushe motoni shetani na pepo wabaya wengine wote, wanaozunguka duniani, ili kuzipoteza roho za watu.Β Amina.

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Fellie (Guest) on July 24, 2024
Mungu atubariki sote.Mtakatifu Mikaeli malaika mkuu utulinde katika hila zote na umtupe mbali muovu shetani amina
Kenneth Murithi (Guest) on July 1, 2024
πβ¨ Mungu atupe nguvu
Nancy Akumu (Guest) on May 27, 2024
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Grace Minja (Guest) on May 10, 2024
ππ Neema za Mungu zisikose
George Tenga (Guest) on February 10, 2024
πβ¨π Mungu atajibu maombi yako
Dorothy Nkya (Guest) on January 20, 2024
πβ€οΈπ Bwana akujalie baraka
Anna Mahiga (Guest) on January 8, 2024
Neema ya Mungu inatosha kwako
Betty Akinyi (Guest) on December 15, 2023
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Charles Mboje (Guest) on September 19, 2023
πβ€οΈπ Baraka za Mungu ziwe nawe
Alex Nyamweya (Guest) on September 16, 2023
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
George Mallya (Guest) on August 18, 2023
πβ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku
Sarah Mbise (Guest) on July 25, 2023
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Mariam Kawawa (Guest) on February 2, 2023
Katika imani, yote yanawezekana
Lucy Mushi (Guest) on December 11, 2022
πππ Mungu akufunike na upendo
Catherine Naliaka (Guest) on October 9, 2022
ππ Mungu akujalie amani
Tabitha Okumu (Guest) on September 23, 2022
ππ Mbarikiwe sana
Francis Njeru (Guest) on June 4, 2022
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Henry Sokoine (Guest) on May 5, 2022
πππ« Mungu ni mwema
Alice Mwikali (Guest) on April 15, 2022
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Brian Karanja (Guest) on October 21, 2021
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Bernard Oduor (Guest) on September 22, 2021
πβ€οΈ Mungu ni mkombozi
Linda Karimi (Guest) on August 28, 2021
Tumaini ni nanga ya roho
Joseph Kiwanga (Guest) on August 19, 2021
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Monica Nyalandu (Guest) on June 26, 2021
πβ€οΈ Mungu akubariki
George Wanjala (Guest) on June 25, 2021
ππ Nakushukuru Mungu
Anna Sumari (Guest) on June 15, 2021
ππ Asante kwa neema zako Mungu
Alice Jebet (Guest) on March 16, 2021
πβ€οΈβ¨ Mungu akujalie furaha
Mary Kendi (Guest) on March 11, 2021
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Martin Otieno (Guest) on February 20, 2021
πβ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike
David Ochieng (Guest) on February 11, 2021
ππβ¨ Neema yako ni ya kutosha
Betty Kimaro (Guest) on January 12, 2021
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Lucy Kimotho (Guest) on November 13, 2020
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Elizabeth Mrope (Guest) on July 31, 2020
πππ
Francis Mtangi (Guest) on July 10, 2020
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Grace Wairimu (Guest) on June 23, 2020
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
George Ndungu (Guest) on June 2, 2020
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Victor Kimario (Guest) on March 2, 2020
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Thomas Mtaki (Guest) on March 1, 2020
ππ Mungu wetu asifiwe
Andrew Odhiambo (Guest) on December 30, 2019
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Simon Kiprono (Guest) on December 24, 2019
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Jacob Kiplangat (Guest) on August 19, 2019
πβ€οΈβ¨ Asante Mungu kwa kila kitu
Mary Kidata (Guest) on July 24, 2019
Nakuombea π
Mary Sokoine (Guest) on July 14, 2019
ππ Namuomba Mungu akupiganie
Edward Chepkoech (Guest) on June 12, 2019
Dumu katika Bwana.
Anna Sumari (Guest) on April 10, 2019
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Samuel Were (Guest) on March 10, 2019
πβ€οΈπ Tumshukuru Mungu kwa yote
Sarah Mbise (Guest) on January 19, 2019
Amina
Stephen Malecela (Guest) on December 31, 2018
ππ Mungu alete amani
Isaac Kiptoo (Guest) on December 15, 2018
Nguvu hutoka kwa Bwana
Emily Chepngeno (Guest) on November 2, 2018
πβ€οΈπ Asante Mungu kwa uhai
Hellen Nduta (Guest) on October 30, 2018
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Sarah Karani (Guest) on October 6, 2018
Endelea kuwa na imani!
Elizabeth Mrema (Guest) on September 15, 2018
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Benjamin Masanja (Guest) on August 20, 2018
Rehema hushinda hukumu
Patrick Kidata (Guest) on July 3, 2018
πβ¨ Mungu atakuinua
George Ndungu (Guest) on May 13, 2018
Imani inaweza kusogeza milima
Wilson Ombati (Guest) on April 6, 2018
πβ¨ Mungu asikie maombi yetu
Janet Sumaye (Guest) on March 25, 2018
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Sarah Mbise (Guest) on February 22, 2018
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Elizabeth Mtei (Guest) on February 4, 2018
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe