Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti Takatifu ya Altare;/ pokea kitendo hiki cha kukuangukia kifudi fudi/ kama ishara ya tamaa niliyonayo ya kukuabudu Wewe/ bila kuchoka/ na kukushukuru kwa mapendo yako makubwa/ yasiyo na kipimo/ ambayo Moyo wako Mtakatifu sana/ unawaka katika Sakramenti Takatifu hii./ Siwezi kukushukuru vizuri zaidi/ kuliko kama ningetolea kwako/ matendo yangu yote ya kukuabudu/ unyenyekevu wangu/ uvumilivu na mapendo/ ambayo huu Moyo Mwabudiwa ulifanya,/ bado unafanya/ na utaendelea kufanya katika uzima wa milele mbinguni./ Ninaahidi kupitia Moyo huu,/ nitakupenda,/ nitakutukuza,/ na nitakuabudu kama nitakavyoweza./ Ninajiunganisha na hii Sadaka Takatifu/ ambayo unatoa kwa Baba Mungu/ na ninatolea kwako utu wangu./ Ninakuomba kuangamiza ndani yangu/ dhambi zote pamoja na majeraha yake/ na usikubali kunitenga nawe milele./ Amina.
(Na Mt. Margareta Maria Alakoki)
Robert Okello (Guest) on June 22, 2024
Katika imani, yote yanawezekana
Diana Mallya (Guest) on June 19, 2024
πππ Mungu akufunike na upendo
Monica Adhiambo (Guest) on May 15, 2024
πβ€οΈπ Asante Mungu kwa uhai
Lucy Wangui (Guest) on April 22, 2024
Rehema hushinda hukumu
Janet Wambura (Guest) on April 21, 2024
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Rose Lowassa (Guest) on November 28, 2023
ππ Asante kwa neema zako Mungu
Alice Mwikali (Guest) on June 19, 2023
Nakuombea π
Faith Kariuki (Guest) on June 1, 2023
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Hellen Nduta (Guest) on April 26, 2023
Imani inaweza kusogeza milima
Peter Tibaijuka (Guest) on October 20, 2022
πβ€οΈπ Tumshukuru Mungu kwa yote
Linda Karimi (Guest) on October 17, 2022
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Mary Kendi (Guest) on August 8, 2022
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Chris Okello (Guest) on July 28, 2022
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Betty Akinyi (Guest) on July 9, 2022
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Daniel Obura (Guest) on July 7, 2022
ππβ€οΈ Nakuombea heri
Agnes Sumaye (Guest) on April 8, 2022
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
John Lissu (Guest) on February 3, 2022
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Monica Adhiambo (Guest) on January 25, 2022
ππ Mungu wetu asifiwe
Raphael Okoth (Guest) on October 26, 2021
πππ« Mungu ni mwema
Grace Minja (Guest) on July 12, 2021
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Patrick Akech (Guest) on May 8, 2021
πβ€οΈβ¨ Asante Mungu kwa kila kitu
Faith Kariuki (Guest) on April 21, 2021
πβ€οΈ Mungu akubariki
Nancy Kabura (Guest) on April 7, 2021
πβ€οΈπ Baraka za Mungu ziwe nawe
Frank Sokoine (Guest) on February 16, 2021
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Jane Muthui (Guest) on February 14, 2021
ππ Mungu alete amani
John Mushi (Guest) on January 10, 2021
πβ€οΈ Mungu ni mlinzi wetu
Mary Kidata (Guest) on December 27, 2020
Mwamini katika mpango wake.
Mariam Kawawa (Guest) on July 2, 2020
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Jacob Kiplangat (Guest) on June 14, 2020
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Sarah Karani (Guest) on April 29, 2020
ππ Neema za Mungu zisikose
Nancy Kawawa (Guest) on April 27, 2020
Dumu katika Bwana.
Patrick Akech (Guest) on February 26, 2020
ππ Namuomba Mungu akupiganie
Edith Cherotich (Guest) on February 1, 2020
πβ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku
Grace Njuguna (Guest) on November 3, 2019
Nguvu hutoka kwa Bwana
Joyce Nkya (Guest) on October 12, 2019
πβ€οΈβ¨ Mungu akujalie furaha
Dorothy Majaliwa (Guest) on September 1, 2019
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
George Mallya (Guest) on August 2, 2019
Mwamini Bwana; anajua njia
Nancy Komba (Guest) on July 23, 2019
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Wilson Ombati (Guest) on April 21, 2019
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Joy Wacera (Guest) on March 17, 2019
Mungu akubariki!
Josephine Nduta (Guest) on March 7, 2019
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Victor Kamau (Guest) on March 5, 2019
Neema na amani iwe nawe.
Dorothy Majaliwa (Guest) on March 5, 2019
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Nancy Akumu (Guest) on March 2, 2019
πππ
Grace Mligo (Guest) on January 23, 2019
Mungu ni mwema, wakati wote!
Lydia Mutheu (Guest) on December 27, 2018
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
James Mduma (Guest) on December 27, 2018
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Samson Mahiga (Guest) on November 3, 2018
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Patrick Kidata (Guest) on August 5, 2018
Baraka kwako na familia yako.
James Mduma (Guest) on May 17, 2018
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Michael Mboya (Guest) on March 13, 2018
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Anna Mchome (Guest) on February 25, 2018
ππβ¨ Neema yako ni ya kutosha
Ruth Kibona (Guest) on October 1, 2017
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Joseph Kawawa (Guest) on August 28, 2017
ππ Mbarikiwe sana
Alex Nakitare (Guest) on August 26, 2017
πβ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike
Daniel Obura (Guest) on August 12, 2017
ππ Mungu akujalie amani
Elizabeth Mtei (Guest) on July 7, 2017
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Esther Cheruiyot (Guest) on June 30, 2017
Rehema zake hudumu milele
Grace Njuguna (Guest) on June 12, 2017
πβ¨ Mungu asikie maombi yetu
Betty Akinyi (Guest) on May 19, 2017
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu