Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Maria Bikira Milele, na mkubwa wa Familia Takatifu. Umechaguliwa na Mwakilishi wa Kristu kama Msimamizi wa kimbingu na mlinzi wa Kanisa alilolianzisha Kristu. Ndiyo maana ninakuomba kwa matumaini makuu usaidizi wako wenye nguvu kwa ajili ya Kanisa zima duniani.
Mlinde kwa namna ya pekee, kwa upendo wa kikweli wa ki-baba, Baba Mtakatifu na Maaskofu wote na Mapadre wenye ushirika na Kiti cha Petro. Uwe mlinzi wao wote wanaotumikia wokovu wa wanadamu kati ya majaribu na mahangaiko ya maisha haya, na utujalie kwamba watu wote wa dunia hii wamfuate Kristu na Kanisa alilolianzisha.
Mpendwa Mtakatifu Yosefu, ukubali majitoleo ya nafsi yangu ambayo sasa ninafanya. Ninajiweka wakfu kwako kwa ajili ya utumishi wako, ili daima wewe uwe baba yangu, mlinzi wangu, na kiongozi wangu katika njia ya wokovu. Unijalie usafi mkuu wa moyo na matamanio makuu ya maisha ya kiroho. Unijalie ili matendo yangu yote, kwa mfano wako, yawe kwa ajili ya sifa na utukufu wa Mungu, pamoja na Moyo wa kimungu wa Yesu, moyo safi wa Maria, na moyo wako wa ki-baba. Uniombee, nami nishiriki kifo chako cha furaha na kitakatifu.
Amina.
Joseph Kitine (Guest) on June 20, 2024
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Janet Sumari (Guest) on February 28, 2024
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Benjamin Kibicho (Guest) on January 25, 2024
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Victor Malima (Guest) on November 27, 2023
πβ¨ Mungu asikie maombi yetu
David Chacha (Guest) on October 15, 2023
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Anna Malela (Guest) on July 23, 2023
ππ Asante kwa neema zako Mungu
Diana Mumbua (Guest) on June 28, 2023
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Mariam Kawawa (Guest) on June 1, 2023
Neema na amani iwe nawe.
Anna Malela (Guest) on April 26, 2023
πππ« Mungu ni mwema
Joseph Mallya (Guest) on March 15, 2023
πβ¨ Mungu atupe nguvu
James Kawawa (Guest) on November 12, 2022
ππ Namuomba Mungu akupiganie
Esther Nyambura (Guest) on November 1, 2022
πβ€οΈπ Asante Mungu kwa uhai
Lucy Wangui (Guest) on September 2, 2022
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
John Mwangi (Guest) on July 27, 2022
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Francis Njeru (Guest) on June 30, 2022
Nakuombea π
Wilson Ombati (Guest) on May 8, 2022
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Monica Nyalandu (Guest) on May 3, 2022
πππ
Peter Mugendi (Guest) on May 1, 2022
ππ Mungu alete amani
Janet Mwikali (Guest) on April 21, 2022
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Joseph Njoroge (Guest) on February 16, 2022
ππβ€οΈ Nakuombea heri
Hellen Nduta (Guest) on December 20, 2021
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Mary Mrope (Guest) on October 25, 2021
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Alex Nakitare (Guest) on October 5, 2021
Mungu ni mwema, wakati wote!
Edwin Ndambuki (Guest) on September 20, 2021
Katika imani, yote yanawezekana
David Ochieng (Guest) on September 3, 2021
Dumu katika Bwana.
Victor Mwalimu (Guest) on August 21, 2021
πβ€οΈ Mungu ni mlinzi wetu
Dorothy Nkya (Guest) on July 16, 2021
Rehema zake hudumu milele
Anna Mahiga (Guest) on June 14, 2021
Mwamini katika mpango wake.
Rose Kiwanga (Guest) on June 13, 2021
πβ€οΈ Mungu ni mwaminifu
John Kamande (Guest) on April 25, 2021
πβ¨ Mungu atakuinua
Robert Ndunguru (Guest) on March 2, 2021
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Joyce Nkya (Guest) on January 14, 2021
πβ¨ Neema ya Mungu iwe nawe
Emily Chepngeno (Guest) on November 30, 2020
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
John Mwangi (Guest) on September 8, 2020
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
John Mwangi (Guest) on August 3, 2020
ππ Neema za Mungu zisikose
Samson Mahiga (Guest) on July 15, 2020
Baraka kwako na familia yako.
Lydia Mutheu (Guest) on July 13, 2020
πβ€οΈπ Bwana akujalie baraka
David Sokoine (Guest) on May 17, 2020
Imani inaweza kusogeza milima
Lucy Kimotho (Guest) on April 26, 2020
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Joy Wacera (Guest) on February 10, 2020
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Alex Nyamweya (Guest) on February 9, 2020
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Josephine Nduta (Guest) on January 6, 2020
ππ Mungu wetu asifiwe
David Musyoka (Guest) on December 3, 2019
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Anna Mahiga (Guest) on November 17, 2019
πβ€οΈπ Tumshukuru Mungu kwa yote
Tabitha Okumu (Guest) on October 17, 2019
πβ€οΈβ¨ Mungu akujalie furaha
Anna Mahiga (Guest) on October 16, 2019
Sifa kwa Bwana!
Janet Wambura (Guest) on August 31, 2019
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Wilson Ombati (Guest) on June 27, 2019
ππ Nakusihi Mungu
Mariam Kawawa (Guest) on June 2, 2019
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Chris Okello (Guest) on February 18, 2019
ππβ¨ Neema yako ni ya kutosha
Lucy Mushi (Guest) on January 24, 2019
Neema ya Mungu inatosha kwako
John Mwangi (Guest) on December 16, 2018
Nguvu hutoka kwa Bwana
Ruth Kibona (Guest) on September 5, 2018
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
David Ochieng (Guest) on August 27, 2018
Endelea kuwa na imani!
Lydia Wanyama (Guest) on June 8, 2018
ππ Mbarikiwe sana
Hellen Nduta (Guest) on May 26, 2018
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
John Mushi (Guest) on May 16, 2018
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Grace Wairimu (Guest) on May 5, 2018
πβ€οΈ Mungu akubariki
Joyce Aoko (Guest) on March 24, 2018
πβ¨π Mungu atajibu maombi yako
Thomas Mwakalindile (Guest) on September 12, 2017
πππ Mungu akufunike na upendo