Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kanuni ya imani

Featured Image

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee, Bwana wetu;/ aliyetungwa kwa Roho Mtakatifu,/ akazaliwa na Bikira Maria,/ akateswa kwa mamlaka ya Ponsyo Pilato,/ akasulubiwa, akafa, akazikwa,/ akashukia kuzimu;/ siku ya tatu akafufuka katika wafu;/ akapaa mbinguni;/ amekaa kuume kwa Mungu Baba Mwenyezi;/ toka huko atakuja kuwahukumu wazima na wafu. Nasadiki kwa Roho Mtakatifu,/ Kanisa takatifu katoliki,/ ushirika wa Watakatifu,/ maondoleo ya dhambi,/ ufufuko wa miili,/ uzima wa milele. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Emily Chepngeno (Guest) on June 6, 2024

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Patrick Kidata (Guest) on April 16, 2024

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Chris Okello (Guest) on March 26, 2024

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

David Ochieng (Guest) on February 17, 2024

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Anna Kibwana (Guest) on November 30, 2023

Endelea kuwa na imani!

Samuel Were (Guest) on November 30, 2023

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Edward Chepkoech (Guest) on November 14, 2023

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

David Musyoka (Guest) on October 29, 2023

Mungu ni mwema, wakati wote!

Benjamin Kibicho (Guest) on October 6, 2023

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Robert Okello (Guest) on April 20, 2023

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Paul Ndomba (Guest) on April 18, 2023

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Carol Nyakio (Guest) on February 16, 2023

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Stephen Kangethe (Guest) on February 8, 2023

Tumaini ni nanga ya roho

Joyce Mussa (Guest) on January 22, 2023

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Josephine Nduta (Guest) on October 20, 2022

Rehema hushinda hukumu

Grace Wairimu (Guest) on October 15, 2022

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Victor Kimario (Guest) on September 21, 2022

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Edith Cherotich (Guest) on August 18, 2022

Mwamini Bwana; anajua njia

Francis Mrope (Guest) on May 9, 2022

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Rose Kiwanga (Guest) on May 8, 2022

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Jane Muthui (Guest) on May 3, 2022

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

David Nyerere (Guest) on April 25, 2022

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

James Kimani (Guest) on April 14, 2022

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Anna Malela (Guest) on March 5, 2022

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Richard Mulwa (Guest) on January 19, 2022

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Wilson Ombati (Guest) on January 3, 2022

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

John Mwangi (Guest) on December 29, 2021

Amina

Betty Cheruiyot (Guest) on December 17, 2021

Nakuombea πŸ™

Lucy Mahiga (Guest) on November 10, 2021

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Elizabeth Mrope (Guest) on September 26, 2021

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Victor Kamau (Guest) on September 8, 2021

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Esther Nyambura (Guest) on May 8, 2021

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Betty Akinyi (Guest) on May 5, 2021

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Nancy Akumu (Guest) on March 24, 2021

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Anna Malela (Guest) on February 28, 2021

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Samuel Were (Guest) on February 12, 2021

Dumu katika Bwana.

Robert Okello (Guest) on January 16, 2021

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Joseph Kitine (Guest) on December 4, 2020

Mwamini katika mpango wake.

Moses Kipkemboi (Guest) on October 21, 2020

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Emily Chepngeno (Guest) on October 7, 2020

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Anna Mchome (Guest) on February 22, 2020

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Ann Wambui (Guest) on February 16, 2020

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Kevin Maina (Guest) on December 31, 2019

Katika imani, yote yanawezekana

Charles Wafula (Guest) on December 16, 2019

Neema na amani iwe nawe.

Charles Mboje (Guest) on November 23, 2019

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Elizabeth Malima (Guest) on November 20, 2019

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

David Chacha (Guest) on November 4, 2019

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Joy Wacera (Guest) on August 14, 2019

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Janet Mbithe (Guest) on June 18, 2019

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Patrick Mutua (Guest) on May 12, 2019

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Nancy Kawawa (Guest) on March 26, 2019

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Grace Majaliwa (Guest) on March 10, 2019

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Janet Mwikali (Guest) on February 19, 2019

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Janet Sumaye (Guest) on December 18, 2018

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Carol Nyakio (Guest) on December 6, 2018

Rehema zake hudumu milele

Rose Kiwanga (Guest) on October 7, 2018

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

John Lissu (Guest) on September 20, 2018

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Nancy Kabura (Guest) on August 10, 2018

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

George Wanjala (Guest) on May 7, 2018

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Andrew Odhiambo (Guest) on September 2, 2017

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Related Posts

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ... Read More

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,

na kwa njia ya Damu yako azizi,

na kwa maombezi ya M... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok... Read More

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa... Read More