Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako, ukachagua Mapadri wawe Wachungaji na Viongozi wa roho za watu. Nakuomba sana; ubariki nia na bidii inayowapasa Mapadri wote katika kazi zao. Uwaongezee Utakatifu.
Uwatie moyo mzuri wenye mapendo makubwa kwako na roho za watu. Hivyo wakiisha kupata wenyewe Utakatifu, waweze kuwaongoza vizuri watu walio chini ya ulinzi wao, katika njia ya Utakatifu na furaha ya milele. Uwajalie neema zote za hali ya Upadri. Uwajalie ili waonyeshe kila siku ya maisha yao mfano wa kila fadhila ya mapendo na ya uaminifu katika Kanisa, kwa Baba Mtakatifu na kwa Maaskofu.
Yesu mpendelevu, uangalie kwa mapendo kazi na mateso ya Mapadri wako; ubariki na ustawishe mafundisho yao; wanapowafundisha watoto, wanapowahubiria watu, wanapowatuliza wakosefu watubu na wanapowasaidia wagonjwa na wale wanaokaribia mauti, Ee Yesu uwe pamoja nao. Uwakinge na hatari zote za roho na za mwili.
Mwokozi Yesu, ulijalie Kanisa liwe na Mapadri wengi walio Watakatifu. Uwajalie watoto na vijana wengi wasikie wito wa Upadri, uwatie furaha na Utakatifu na roho za Mapadri waliokufa uzijalie punziko la amani.
Kwa mimi mwenyewe Ee Yesu mpendelevu, naomba unijalie roho ya imani na utii mnyenyekevu ili niwaheshimu Mapadri kama Mawakili wa Mungu. Niwatii katika njia zote za wokovu wa roho yangu. Amina.
Edwin Ndambuki (Guest) on June 17, 2024
Imani inaweza kusogeza milima
Nancy Kawawa (Guest) on June 13, 2024
πβ¨ Mungu atakuinua
Peter Mbise (Guest) on April 15, 2024
πππ Mungu akufunike na upendo
Lydia Wanyama (Guest) on April 12, 2024
πβ¨ Neema ya Mungu iwe nawe
Lucy Kimotho (Guest) on March 4, 2024
πβ€οΈπ Baraka za Mungu ziwe nawe
Elizabeth Mrema (Guest) on December 18, 2023
πππ
Edward Chepkoech (Guest) on November 25, 2023
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Peter Mwambui (Guest) on August 19, 2023
Mungu ni mwema, wakati wote!
Lucy Wangui (Guest) on July 17, 2023
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Monica Nyalandu (Guest) on June 19, 2023
Dumu katika Bwana.
David Nyerere (Guest) on May 15, 2023
ππ Mungu wetu asifiwe
David Sokoine (Guest) on January 11, 2023
πβ¨ Mungu atupe nguvu
John Lissu (Guest) on January 11, 2023
ππ Namuomba Mungu akupiganie
Janet Sumari (Guest) on December 29, 2022
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Mary Sokoine (Guest) on October 27, 2022
Katika imani, yote yanawezekana
James Mduma (Guest) on September 14, 2022
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Daniel Obura (Guest) on June 5, 2022
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Catherine Naliaka (Guest) on March 5, 2022
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Monica Nyalandu (Guest) on February 18, 2022
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Agnes Sumaye (Guest) on November 27, 2021
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Rose Amukowa (Guest) on August 17, 2021
πβ€οΈ Mungu ni mkombozi
Alex Nakitare (Guest) on March 22, 2021
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Patrick Kidata (Guest) on January 23, 2021
ππ Neema za Mungu zisikose
Benjamin Kibicho (Guest) on January 3, 2021
Nguvu hutoka kwa Bwana
Emily Chepngeno (Guest) on July 11, 2020
Amina
Joyce Mussa (Guest) on June 20, 2020
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Grace Mligo (Guest) on April 9, 2020
πβ¨ Mungu asikie maombi yetu
Kevin Maina (Guest) on March 30, 2020
ππ Mungu alete amani
Victor Kimario (Guest) on February 3, 2020
πβ€οΈ Mungu ni mwaminifu
Charles Mchome (Guest) on December 27, 2019
ππ Mbarikiwe sana
Victor Malima (Guest) on December 24, 2019
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Frank Sokoine (Guest) on December 11, 2019
ππ Mungu akujalie amani
George Wanjala (Guest) on December 2, 2019
πβ€οΈπ Tumshukuru Mungu kwa yote
Andrew Odhiambo (Guest) on November 11, 2019
Neema na amani iwe nawe.
Joyce Nkya (Guest) on November 10, 2019
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Rose Lowassa (Guest) on November 8, 2019
πβ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike
Nancy Komba (Guest) on August 14, 2019
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
James Malima (Guest) on August 10, 2019
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Linda Karimi (Guest) on June 1, 2019
Mungu akubariki!
Kenneth Murithi (Guest) on April 24, 2019
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Lydia Mutheu (Guest) on April 11, 2019
Sifa kwa Bwana!
Peter Mbise (Guest) on April 10, 2019
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Brian Karanja (Guest) on March 27, 2019
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Rose Amukowa (Guest) on March 15, 2019
Rehema zake hudumu milele
Victor Kimario (Guest) on February 11, 2019
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Agnes Sumaye (Guest) on February 10, 2019
ππ Asante kwa neema zako Mungu
Nicholas Wanjohi (Guest) on January 2, 2019
πππ« Mungu ni mwema
Grace Mushi (Guest) on December 27, 2018
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Tabitha Okumu (Guest) on December 5, 2018
πβ¨π Mungu atajibu maombi yako
Andrew Mchome (Guest) on December 2, 2018
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Elizabeth Mrema (Guest) on July 25, 2018
ππβ€οΈ Nakuombea heri
Ann Awino (Guest) on June 19, 2018
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
John Mushi (Guest) on April 9, 2018
Mwamini katika mpango wake.
George Ndungu (Guest) on April 3, 2018
ππ Nakusihi Mungu
Hellen Nduta (Guest) on April 1, 2018
Nakuombea π
Betty Kimaro (Guest) on March 23, 2018
Mwamini Bwana; anajua njia
Joyce Nkya (Guest) on March 20, 2018
ππβ¨ Neema yako ni ya kutosha
Charles Mboje (Guest) on November 14, 2017
ππ Nakushukuru Mungu
Jackson Makori (Guest) on November 9, 2017
Endelea kuwa na imani!
Henry Sokoine (Guest) on August 22, 2017
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu