Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

Featured Image

Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha Mungu, ninakukabidhi nia na haja zangu zote. Ee Mt. Yosefu, unisaidie kwa maombezi yako yenye nguvu, na unipatie kutoka kwa Mwanao Mungu, baraka zote za kiroho, kwa njia ya Kristu Bwana wetu, ili nikishapata msaada wako wa mbinguni ningali bado hapa duniani, niweze nami kumsifu, kumwabudu na kumshukuru Mungu aliye Baba mwema kabisa kushinda wote. Ee Mt. Yosefu, sichoki kamwe kufikiri moyoni kwa upendo, jinsi Mtoto Yesu alivyokuwa amesinzia mikononi mwako. Akiwa amepumzika hivyo karibu na moyo wako, sithubutu kujongea, nisije nikamsumbua, bali nakuomba wewe umkumbatie na kumbusu kwa niaba yangu na kumwambia anipe busu lake nitakapovuta pumzi yangu ya mwisho.
Mtakatifu Yosefu Msimamizi wa wanaozimia roho; Utuombee.
Amina.

Sala hii ilipatikana katika mwaka wa hamsini wa Bwana na Mwokozi Wetu Yesu Kristu. Mnamo mwaka 1505 Baba Mtakatifu alimtumia sala hii Mfalme Charles wakati alipokuwa anaenda vitani. Yeyote atakayeisoma sala hii, au kuisikia ikisomwa, au kuibeba, hatakufa kifo cha ghafla,hatazama majini, hatadhurika kwa sumu, wala hataanguka katika mikono ya adui zake, au kuunguzwa katika moto wowote ule, au kushindwa katika vita.

Sali sala hii kwa siku tisa mfululizo, kwa kuomba jambo lolote unalolihitaji. Haijawahi kusikika kuwa sala hii imeshindwa jambo.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Victor Sokoine (Guest) on June 7, 2024

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Victor Mwalimu (Guest) on June 1, 2024

Mungu ni mwema, wakati wote!

jenifa (Guest) on May 23, 2024

asante sana

Melkisedeck Leon Shine (Master Admin) on May 26, 2024

Ubarikiwe

Peter Mwambui (Guest) on May 17, 2024

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

David Sokoine (Guest) on January 28, 2024

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Samson Tibaijuka (Guest) on June 25, 2023

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Henry Mollel (Guest) on June 24, 2023

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Jane Muthui (Guest) on May 24, 2023

Amina

Agnes Njeri (Guest) on May 12, 2023

Mungu akubariki!

Stephen Mushi (Guest) on March 30, 2023

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Janet Mwikali (Guest) on February 17, 2023

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Lydia Mzindakaya (Guest) on February 11, 2023

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Elizabeth Mrope (Guest) on January 18, 2023

Mwamini katika mpango wake.

Charles Mchome (Guest) on January 14, 2023

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

John Lissu (Guest) on January 14, 2023

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Robert Ndunguru (Guest) on November 2, 2022

Rehema hushinda hukumu

Raphael Okoth (Guest) on October 24, 2022

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Francis Mtangi (Guest) on September 10, 2022

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

James Malima (Guest) on August 23, 2022

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Bernard Oduor (Guest) on May 4, 2022

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Peter Otieno (Guest) on April 22, 2022

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Janet Wambura (Guest) on February 21, 2022

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Lucy Wangui (Guest) on January 19, 2022

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Frank Sokoine (Guest) on November 17, 2021

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Michael Mboya (Guest) on October 2, 2021

Dumu katika Bwana.

Francis Mtangi (Guest) on August 13, 2021

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Jane Malecela (Guest) on August 4, 2021

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Jane Muthoni (Guest) on July 8, 2021

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Elizabeth Mtei (Guest) on July 3, 2021

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Josephine Nduta (Guest) on June 29, 2021

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Betty Kimaro (Guest) on June 14, 2021

Rehema zake hudumu milele

Anna Mahiga (Guest) on June 11, 2021

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Miriam Mchome (Guest) on March 16, 2021

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Joseph Kawawa (Guest) on March 1, 2021

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Betty Cheruiyot (Guest) on January 28, 2021

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Joseph Njoroge (Guest) on December 19, 2020

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Linda Karimi (Guest) on December 12, 2020

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Lucy Wangui (Guest) on November 16, 2020

Nguvu hutoka kwa Bwana

Esther Cheruiyot (Guest) on November 10, 2020

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Mary Njeri (Guest) on October 6, 2020

Katika imani, yote yanawezekana

Irene Akoth (Guest) on August 12, 2020

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Henry Mollel (Guest) on July 22, 2020

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Alice Wanjiru (Guest) on July 10, 2020

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Rose Lowassa (Guest) on June 22, 2020

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Peter Mugendi (Guest) on March 3, 2020

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Diana Mumbua (Guest) on February 21, 2020

Tumaini ni nanga ya roho

Alice Wanjiru (Guest) on January 16, 2020

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Fredrick Mutiso (Guest) on December 10, 2019

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Francis Mrope (Guest) on October 24, 2019

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

James Kimani (Guest) on October 6, 2019

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Anthony Kariuki (Guest) on July 22, 2019

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Charles Wafula (Guest) on July 8, 2019

Baraka kwako na familia yako.

Joy Wacera (Guest) on June 17, 2019

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Nora Kidata (Guest) on June 14, 2019

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Alice Mrema (Guest) on March 13, 2019

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Dorothy Majaliwa (Guest) on February 18, 2019

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Betty Cheruiyot (Guest) on December 10, 2018

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Peter Mwambui (Guest) on October 4, 2018

Neema na amani iwe nawe.

Mazrui (Guest) on March 6, 2018

πŸ™πŸ™πŸ™

Related Posts

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.

SALA YA KUSHUKURU

Tunakus... Read More

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.

Kusali nov... Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga... Read More

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu, ulistahili kuitwa Msimamizi wa misioni katoliki za dunia yote... Read More

Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakukimbilia, ninakuja kwako katika mikono yako yenye huruma. Ndiwe ... Read More

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtaka... Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More