MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)
- Tendo la kwanza; Malaika Gabrieli anampasha habari Maria kuwa atakuwa Mama wa Mungu. Tumwombe Mungu atujalie unyenyekevu.
- Tendo la pili; Maria Mtakatifu anakwenda kumtembelea Elizabeti. Tumwombe Mungu atujalie mapendo ya jirani.
- Tendo la tatu; Yesu anazaliwa Betlehemu. Tumwombe Mungu atujalie moyo wa ufukara
- Tendo la nne; Yesu anatolewa hekaluni. Tumwombe Mungu atujalie usafi wa moyo.
- Tendo la tano; Maria anamkuta Yesu hekaluni. Tumwombe Mungu atujalie kuwatii wakubwa wetu.
MATENDO YA UCHUNGU (Jumanne na Ijumaa)
- Tendo la kwanza; Yesu anatoka jasho la damu kwa ajili yetu. Tumwombe Mungu atujalie sikitiko la dhambi.
- Tendo la pili; Yesu anapigwa kwa mijeledi kwa ajili yetu. Tumwombe Mungu atujalie kuacha dhambi za uchafu.
- Tendo la tatu; Yesu anatiwa miiba kichwani kwa ajili yetu. Tumwombe Mungu atujalie kushinda kiburi.
- Tendo la nne; Yesu anachukua Msalaba kwa ajili yetu. Tumwombe Mungu atujalie kuvumilia taabu.
- Tendo la tano; Yesu anakufa Msalabani. Tumwombe Mungu atujalie kuwapenda Yesu na Maria.
MATENDO YA UTUKUFU (Jumatano na Jumapili)
- Tendo la kwanza; Yesu anafufuka. Tumwombe Mungu atujalie kugeuka watakatifu.
- Tendo la pili; Yesu anapaa mbinguni. Tumwombe Mungu atujalie kwenda mbinguni.
- Tendo la tatu; Roho Mtakatifu anawashukia Mitume. Tumwombe Mungu atujalie bidii katika dini yetu.
- Tendo la nne; Bikira Maria anapalizwa mbinguni. Tumwombe Mungu atujalie kufa vizuri.
- Tendo la tano; Bikira Maria anawekwa Malkia mbinguni. Tumwombe Mungu atujalie kudumu katika njia njema.
MATENDO YA MWANGA (Alhamisi)
- Tendo la kwanza; Yesu anabatizwa Mto Jordani. Tumwombe Mungu atujalie uaminifu kwa ahadi zetu za ubatizo.
- Tendo la pili; Yesu anageuza maji kuwa divai huko Kana. Tumwombe Mungu atujalie kuukoleza ulimwengu kwa chachu ya enjili.
- Tendo la tatu; Yesu anatangaza Ufalme wa Mungu. Tumwombe Mungu atujalie kupokea Ufalme wake kwa toba ya kweli.
- Tendo la nne; Yesu anageuka sura. Tumwombe Mungu atujalie neema ya kuungโarisha ulimwengu kwa uso wa Yesu.
- Tendo la tano; Yesu anaweka Sakramenti ya Ekaristia. Tumwombe Mungu atujalie neema ya kujitoa sadaka kwa ajili ya wengine.
Karibu Vitatabu vya Kikatoliki
-
Vitabu Vya Dini
Biblia Takatifu Agano la Kale
Original price was: Sh7,000.Sh0Current price is: Sh0. Add to cart -
Vitabu Vya Dini
Kitabu cha Novena Ya Huruma ya Mungu
Original price was: Sh2,500.Sh0Current price is: Sh0. Add to cart -
Vitabu Vya Dini
Biblia Takatifu Agano Jipya
Original price was: Sh3,000.Sh0Current price is: Sh0. Add to cart -
Vitabu Vya Dini
Kitabu cha Mwongozo wa Sala na Nyimbo za Ibada ya Njia ya Msalaba
Original price was: Sh6,000.Sh0Current price is: Sh0. Add to cart -
Vitabu Vya Dini
Kwa nini Wakatoliki wanaweka Sanamu Kanisani?
Original price was: Sh5,000.Sh0Current price is: Sh0. Add to cart -
Vitabu Vya Dini
Kitabu cha Tafakari kwa Mkristu Mkatoliki (Sehemu ya I)
Original price was: Sh3,000.Sh0Current price is: Sh0. Add to cart -
Vitabu Vya Dini
KITABU CHA SALA ZA KILA SIKU ASUBUHI NA JIONI
Original price was: Sh4,000.Sh0Current price is: Sh0. Add to cart -
Vitabu Vya Dini
Kitabu cha Mwongozo wa kusali Rozari Takatifu ya Mama Bikira Maria
Original price was: Sh5,000.Sh0Current price is: Sh0. Add to cart -
Vitabu Vya Dini
Kitabu cha Novena ya Roho Mtakatifu
Original price was: Sh5,000.Sh0Current price is: Sh0. Add to cart -
Vitabu Vya Dini
๐Kitabu cha Sala Muhimu: Mkusanyiko wa SALA, LITANIA NA NOVENA
Original price was: Sh12,500.Sh0Current price is: Sh0. Add to cart -
Vitabu Vya Dini
KITABU CHA NOVENA KWA MTAKATIFU RITA WA KASHIA
Original price was: Sh5,000.Sh0Current price is: Sh0. Add to cart










ubarikiwe sana sana mtumishi wa Mungu ,nauliza kama kuna vitabu kwa toleo la lugha ya kingereza
๐โค๏ธ๐ Bwana akujalie baraka
Mwamini katika mpango wake.
Imani inaweza kusogeza milima
Tumaini ni nanga ya roho
Katika imani, yote yanawezekana
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Nakuombea ๐
Neema na amani iwe nawe.
Sifa kwa Bwana!
๐โค๏ธโจ Mungu akujalie furaha
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
๐๐ Mungu akujalie amani
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
๐โค๏ธ Mungu ni mlinzi wetu
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
๐๐ Mbarikiwe sana
๐๐โค๏ธ Nakuombea heri
Mungu ni mwema, wakati wote!
๐โค๏ธ Mungu ni mkombozi
๐๐ Neema za Mungu zisikose
๐๐ Nakushukuru Mungu
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
๐โค๏ธ Mungu ni mwaminifu
๐๐๐ Mungu akufunike na upendo
Amina
๐๐ Mungu wetu asifiwe
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Nguvu hutoka kwa Bwana
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Baraka kwako na familia yako.
Mwamini Bwana; anajua njia
๐๐๐
๐โค๏ธ๐ Baraka za Mungu ziwe nawe
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
๐โจ Mungu atupe nguvu
๐๐ Nakusihi Mungu
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Rehema hushinda hukumu
๐๐๐
๐โจ Neema ya Mungu iwe nawe
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
๐๐ Mungu alete amani
๐โจ Mungu atakuinua
Endelea kuwa na imani!
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
๐โจ๐ Mungu atajibu maombi yako
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
๐โค๏ธ๐ Asante Mungu kwa uhai
๐โจโค๏ธ Tumwombe Mungu kila siku
๐๐ Asante kwa neema zako Mungu
๐๐โจ Neema yako ni ya kutosha
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
๐โจ Mungu asikie maombi yetu
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
๐๐ Namuomba Mungu akupiganie
๐๐๐ซ Mungu ni mwema
๐โจโค๏ธ Neema za Mungu zikufunike
Dumu katika Bwana.
Rehema zake hudumu milele
๐โค๏ธ Mungu akubariki
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Mungu akubariki!
๐โค๏ธโจ Asante Mungu kwa kila kitu
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Neema ya Mungu inatosha kwako
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
๐โค๏ธ๐ Tumshukuru Mungu kwa yote
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima