Nikizidi nalaumiwa, nikipungua nadharauliwa
Kitendawili…
Nikizidi nalaumiwa, nikipungua nadharauliwa
Onesha Jibu
JIBU: Chumvi
Kitendawili…
Nikizidi nalaumiwa, nikipungua nadharauliwa
JIBU: Chumvi
Kitendawili…
Namkata lakini hakatiki
JIBU: Maji
Kitendawili…
Unanitizama nimekupiga?
JIBU: Kujikwaa
Kitendawili…
Nilienda kwa mjomba akanichinjia Jogoo mwenye mguu mmoja
JIBU: Uyoga
Kitendawili…
Bwana Afya wa Porini
Fisi
Amekufa lakini anasaidia mgonjwa
JIBU: mti wa kushikilia mgomba