MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)
- Tendo la kwanza; Malaika Gabrieli anampasha habari Maria kuwa atakuwa Mama wa Mungu. Tumwombe Mungu atujalie unyenyekevu.
- Tendo la pili; Maria Mtakatifu anakwenda kumtembelea Elizabeti. Tumwombe Mungu atujalie mapendo ya jirani.
- Tendo la tatu; Yesu anazaliwa Betlehemu. Tumwombe Mungu atujalie moyo wa ufukara
- Tendo la nne; Yesu anatolewa hekaluni. Tumwombe Mungu atujalie usafi wa moyo.
- Tendo la tano; Maria anamkuta Yesu hekaluni. Tumwombe Mungu atujalie kuwatii wakubwa wetu.
MATENDO YA UCHUNGU (Jumanne na Ijumaa)
- Tendo la kwanza; Yesu anatoka jasho la damu kwa ajili yetu. Tumwombe Mungu atujalie sikitiko la dhambi.
- Tendo la pili; Yesu anapigwa kwa mijeledi kwa ajili yetu. Tumwombe Mungu atujalie kuacha dhambi za uchafu.
- Tendo la tatu; Yesu anatiwa miiba kichwani kwa ajili yetu. Tumwombe Mungu atujalie kushinda kiburi.
- Tendo la nne; Yesu anachukua Msalaba kwa ajili yetu. Tumwombe Mungu atujalie kuvumilia taabu.
- Tendo la tano; Yesu anakufa Msalabani. Tumwombe Mungu atujalie kuwapenda Yesu na Maria.
MATENDO YA UTUKUFU (Jumatano na Jumapili)
- Tendo la kwanza; Yesu anafufuka. Tumwombe Mungu atujalie kugeuka watakatifu.
- Tendo la pili; Yesu anapaa mbinguni. Tumwombe Mungu atujalie kwenda mbinguni.
- Tendo la tatu; Roho Mtakatifu anawashukia Mitume. Tumwombe Mungu atujalie bidii katika dini yetu.
- Tendo la nne; Bikira Maria anapalizwa mbinguni. Tumwombe Mungu atujalie kufa vizuri.
- Tendo la tano; Bikira Maria anawekwa Malkia mbinguni. Tumwombe Mungu atujalie kudumu katika njia njema.
MATENDO YA MWANGA (Alhamisi)
- Tendo la kwanza; Yesu anabatizwa Mto Jordani. Tumwombe Mungu atujalie uaminifu kwa ahadi zetu za ubatizo.
- Tendo la pili; Yesu anageuza maji kuwa divai huko Kana. Tumwombe Mungu atujalie kuukoleza ulimwengu kwa chachu ya enjili.
- Tendo la tatu; Yesu anatangaza Ufalme wa Mungu. Tumwombe Mungu atujalie kupokea Ufalme wake kwa toba ya kweli.
- Tendo la nne; Yesu anageuka sura. Tumwombe Mungu atujalie neema ya kuungβarisha ulimwengu kwa uso wa Yesu.
- Tendo la tano; Yesu anaweka Sakramenti ya Ekaristia. Tumwombe Mungu atujalie neema ya kujitoa sadaka kwa ajili ya wengine.
Karibu Vitatabu vya Kikatoliki
[products orderby="rand" columns="4" category="vitabu-vya-dini" limit="20"]
Ngehu (Guest) on August 27, 2024
ubarikiwe sana sana mtumishi wa Mungu ,nauliza kama kuna vitabu kwa toleo la lugha ya kingereza
Alice Jebet (Guest) on July 18, 2024
πβ€οΈπ Bwana akujalie baraka
Stephen Malecela (Guest) on July 1, 2024
Mwamini katika mpango wake.
Margaret Anyango (Guest) on June 28, 2024
Imani inaweza kusogeza milima
Betty Akinyi (Guest) on June 20, 2024
Tumaini ni nanga ya roho
Moses Mwita (Guest) on February 28, 2024
Katika imani, yote yanawezekana
Lydia Wanyama (Guest) on December 26, 2023
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Grace Minja (Guest) on November 25, 2023
Nakuombea π
Ruth Mtangi (Guest) on November 13, 2023
Neema na amani iwe nawe.
Lucy Wangui (Guest) on October 9, 2023
Sifa kwa Bwana!
Edwin Ndambuki (Guest) on August 2, 2023
πβ€οΈβ¨ Mungu akujalie furaha
Robert Okello (Guest) on June 1, 2023
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Betty Kimaro (Guest) on May 11, 2023
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
John Malisa (Guest) on May 10, 2023
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Mary Mrope (Guest) on March 16, 2023
ππ Mungu akujalie amani
Peter Mwambui (Guest) on January 12, 2023
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Thomas Mwakalindile (Guest) on October 11, 2022
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Stephen Kangethe (Guest) on August 19, 2022
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
David Kawawa (Guest) on July 30, 2022
πβ€οΈ Mungu ni mlinzi wetu
Rose Kiwanga (Guest) on July 25, 2022
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
George Mallya (Guest) on June 11, 2022
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Jane Muthoni (Guest) on May 29, 2022
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Wilson Ombati (Guest) on April 27, 2022
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Charles Mchome (Guest) on April 10, 2022
ππ Mbarikiwe sana
Anna Mahiga (Guest) on March 30, 2022
ππβ€οΈ Nakuombea heri
Elizabeth Mrema (Guest) on February 26, 2022
Mungu ni mwema, wakati wote!
Rose Waithera (Guest) on December 16, 2021
πβ€οΈ Mungu ni mkombozi
Ruth Wanjiku (Guest) on November 13, 2021
ππ Neema za Mungu zisikose
James Malima (Guest) on September 20, 2021
ππ Nakushukuru Mungu
Nancy Kawawa (Guest) on September 9, 2021
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Rose Kiwanga (Guest) on August 11, 2021
πβ€οΈ Mungu ni mwaminifu
Anna Kibwana (Guest) on July 23, 2021
πππ Mungu akufunike na upendo
Ruth Wanjiku (Guest) on April 12, 2021
Amina
Stephen Kikwete (Guest) on January 14, 2021
ππ Mungu wetu asifiwe
Josephine Nekesa (Guest) on January 2, 2021
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Anthony Kariuki (Guest) on August 17, 2020
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Ann Awino (Guest) on June 4, 2020
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Kevin Maina (Guest) on May 15, 2020
Nguvu hutoka kwa Bwana
Margaret Mahiga (Guest) on February 15, 2020
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Charles Mboje (Guest) on February 10, 2020
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Philip Nyaga (Guest) on November 26, 2019
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Janet Wambura (Guest) on October 20, 2019
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Ann Awino (Guest) on May 29, 2019
Baraka kwako na familia yako.
Francis Mrope (Guest) on January 16, 2019
Mwamini Bwana; anajua njia
Grace Wairimu (Guest) on January 4, 2019
πππ
Stephen Mushi (Guest) on October 10, 2018
πβ€οΈπ Baraka za Mungu ziwe nawe
Rose Amukowa (Guest) on September 20, 2018
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Josephine Nduta (Guest) on September 13, 2018
πβ¨ Mungu atupe nguvu
Raphael Okoth (Guest) on September 12, 2018
ππ Nakusihi Mungu
Peter Otieno (Guest) on July 6, 2018
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Ruth Kibona (Guest) on March 31, 2018
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Lucy Mahiga (Guest) on March 29, 2018
Rehema hushinda hukumu
Joseph Kawawa (Guest) on March 9, 2018
πππ
Dorothy Majaliwa (Guest) on February 8, 2018
πβ¨ Neema ya Mungu iwe nawe
Francis Mrope (Guest) on January 7, 2018
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Betty Akinyi (Guest) on December 17, 2017
ππ Mungu alete amani
Diana Mumbua (Guest) on November 2, 2017
πβ¨ Mungu atakuinua
Victor Sokoine (Guest) on September 5, 2017
Endelea kuwa na imani!
Victor Mwalimu (Guest) on August 16, 2017
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Nora Lowassa (Guest) on July 28, 2017
πβ¨π Mungu atajibu maombi yako