Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Featured Image

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)





  1. Tendo la kwanza; Malaika Gabrieli anampasha habari Maria kuwa atakuwa Mama wa Mungu. Tumwombe Mungu atujalie unyenyekevu.
  2. Tendo la pili; Maria Mtakatifu anakwenda kumtembelea Elizabeti. Tumwombe Mungu atujalie mapendo ya jirani.
  3. Tendo la tatu; Yesu anazaliwa Betlehemu. Tumwombe Mungu atujalie moyo wa ufukara
  4. Tendo la nne; Yesu anatolewa hekaluni. Tumwombe Mungu atujalie usafi wa moyo.
  5. Tendo la tano; Maria anamkuta Yesu hekaluni. Tumwombe Mungu atujalie kuwatii wakubwa wetu.




MATENDO YA UCHUNGU (Jumanne na Ijumaa)





  1. Tendo la kwanza; Yesu anatoka jasho la damu kwa ajili yetu. Tumwombe Mungu atujalie sikitiko la dhambi.
  2. Tendo la pili; Yesu anapigwa kwa mijeledi kwa ajili yetu. Tumwombe Mungu atujalie kuacha dhambi za uchafu.
  3. Tendo la tatu; Yesu anatiwa miiba kichwani kwa ajili yetu. Tumwombe Mungu atujalie kushinda kiburi.
  4. Tendo la nne; Yesu anachukua Msalaba kwa ajili yetu. Tumwombe Mungu atujalie kuvumilia taabu.
  5. Tendo la tano; Yesu anakufa Msalabani. Tumwombe Mungu atujalie kuwapenda Yesu na Maria.




MATENDO YA UTUKUFU (Jumatano na Jumapili)





  1. Tendo la kwanza; Yesu anafufuka. Tumwombe Mungu atujalie kugeuka watakatifu.
  2. Tendo la pili; Yesu anapaa mbinguni. Tumwombe Mungu atujalie kwenda mbinguni.
  3. Tendo la tatu; Roho Mtakatifu anawashukia Mitume. Tumwombe Mungu atujalie bidii katika dini yetu.
  4. Tendo la nne; Bikira Maria anapalizwa mbinguni. Tumwombe Mungu atujalie kufa vizuri.
  5. Tendo la tano; Bikira Maria anawekwa Malkia mbinguni. Tumwombe Mungu atujalie kudumu katika njia njema.




MATENDO YA MWANGA (Alhamisi)





  1. Tendo la kwanza; Yesu anabatizwa Mto Jordani. Tumwombe Mungu atujalie uaminifu kwa ahadi zetu za ubatizo.
  2. Tendo la pili; Yesu anageuza maji kuwa divai huko Kana. Tumwombe Mungu atujalie kuukoleza ulimwengu kwa chachu ya enjili.
  3. Tendo la tatu; Yesu anatangaza Ufalme wa Mungu. Tumwombe Mungu atujalie kupokea Ufalme wake kwa toba ya kweli.
  4. Tendo la nne; Yesu anageuka sura. Tumwombe Mungu atujalie neema ya kuung’arisha ulimwengu kwa uso wa Yesu.
  5. Tendo la tano; Yesu anaweka Sakramenti ya Ekaristia. Tumwombe Mungu atujalie neema ya kujitoa sadaka kwa ajili ya wengine.












Karibu Vitatabu vya Kikatoliki









[products orderby="rand" columns="4" category="vitabu-vya-dini" limit="20"]
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Ngehu (Guest) on August 27, 2024

ubarikiwe sana sana mtumishi wa Mungu ,nauliza kama kuna vitabu kwa toleo la lugha ya kingereza

Alice Jebet (Guest) on July 18, 2024

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Stephen Malecela (Guest) on July 1, 2024

Mwamini katika mpango wake.

Margaret Anyango (Guest) on June 28, 2024

Imani inaweza kusogeza milima

Betty Akinyi (Guest) on June 20, 2024

Tumaini ni nanga ya roho

Moses Mwita (Guest) on February 28, 2024

Katika imani, yote yanawezekana

Lydia Wanyama (Guest) on December 26, 2023

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Grace Minja (Guest) on November 25, 2023

Nakuombea πŸ™

Ruth Mtangi (Guest) on November 13, 2023

Neema na amani iwe nawe.

Lucy Wangui (Guest) on October 9, 2023

Sifa kwa Bwana!

Edwin Ndambuki (Guest) on August 2, 2023

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Robert Okello (Guest) on June 1, 2023

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Betty Kimaro (Guest) on May 11, 2023

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

John Malisa (Guest) on May 10, 2023

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Mary Mrope (Guest) on March 16, 2023

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Peter Mwambui (Guest) on January 12, 2023

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Thomas Mwakalindile (Guest) on October 11, 2022

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Stephen Kangethe (Guest) on August 19, 2022

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

David Kawawa (Guest) on July 30, 2022

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Rose Kiwanga (Guest) on July 25, 2022

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

George Mallya (Guest) on June 11, 2022

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Jane Muthoni (Guest) on May 29, 2022

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Wilson Ombati (Guest) on April 27, 2022

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Charles Mchome (Guest) on April 10, 2022

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Anna Mahiga (Guest) on March 30, 2022

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Elizabeth Mrema (Guest) on February 26, 2022

Mungu ni mwema, wakati wote!

Rose Waithera (Guest) on December 16, 2021

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Ruth Wanjiku (Guest) on November 13, 2021

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

James Malima (Guest) on September 20, 2021

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Nancy Kawawa (Guest) on September 9, 2021

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Rose Kiwanga (Guest) on August 11, 2021

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Anna Kibwana (Guest) on July 23, 2021

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Ruth Wanjiku (Guest) on April 12, 2021

Amina

Stephen Kikwete (Guest) on January 14, 2021

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Josephine Nekesa (Guest) on January 2, 2021

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Anthony Kariuki (Guest) on August 17, 2020

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Ann Awino (Guest) on June 4, 2020

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Kevin Maina (Guest) on May 15, 2020

Nguvu hutoka kwa Bwana

Margaret Mahiga (Guest) on February 15, 2020

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Charles Mboje (Guest) on February 10, 2020

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Philip Nyaga (Guest) on November 26, 2019

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Janet Wambura (Guest) on October 20, 2019

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Ann Awino (Guest) on May 29, 2019

Baraka kwako na familia yako.

Francis Mrope (Guest) on January 16, 2019

Mwamini Bwana; anajua njia

Grace Wairimu (Guest) on January 4, 2019

πŸ™πŸ™πŸ™

Stephen Mushi (Guest) on October 10, 2018

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Rose Amukowa (Guest) on September 20, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Josephine Nduta (Guest) on September 13, 2018

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Raphael Okoth (Guest) on September 12, 2018

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Peter Otieno (Guest) on July 6, 2018

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Ruth Kibona (Guest) on March 31, 2018

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Lucy Mahiga (Guest) on March 29, 2018

Rehema hushinda hukumu

Joseph Kawawa (Guest) on March 9, 2018

πŸ™πŸ™πŸ™

Dorothy Majaliwa (Guest) on February 8, 2018

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Francis Mrope (Guest) on January 7, 2018

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Betty Akinyi (Guest) on December 17, 2017

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Diana Mumbua (Guest) on November 2, 2017

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Victor Sokoine (Guest) on September 5, 2017

Endelea kuwa na imani!

Victor Mwalimu (Guest) on August 16, 2017

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Nora Lowassa (Guest) on July 28, 2017

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Related Posts

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

SALA YA JIONI

SALA YA JIONI

TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA


BABA YETU…………β... Read More

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

Yesu, Mungu wangu mpenzi,/ upo hapa katika Altare mbele yangu;/ na mimi napiga magoti mbele yako.... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

SALA YA MAPENDO

SALA YA MAPENDO

Mungu wangu,

nakupenda zaidi ya cho chote,

kwani ndiwe mwema,

ndiwe mwenye kupe... Read More

SALA YA KUTUBU

SALA YA KUTUBU

Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz... Read More

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyikeRead More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More