Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha Mungu, ninakukabidhi nia na haja zangu zote. Ee Mt. Yosefu, unisaidie kwa maombezi yako yenye nguvu, na unipatie kutoka kwa Mwanao Mungu, baraka zote za kiroho, kwa njia ya Kristu Bwana wetu, ili nikishapata msaada wako wa mbinguni ningali bado hapa duniani, niweze nami kumsifu, kumwabudu na kumshukuru Mungu aliye Baba mwema kabisa kushinda wote. Ee Mt. Yosefu, sichoki kamwe kufikiri moyoni kwa upendo, jinsi Mtoto Yesu alivyokuwa amesinzia mikononi mwako. Akiwa amepumzika hivyo karibu na moyo wako, sithubutu kujongea, nisije nikamsumbua, bali nakuomba wewe umkumbatie na kumbusu kwa niaba yangu na kumwambia anipe busu lake nitakapovuta pumzi yangu ya mwisho.
Mtakatifu Yosefu Msimamizi wa wanaozimia roho; Utuombee.
Amina.
Sala hii ilipatikana katika mwaka wa hamsini wa Bwana na Mwokozi Wetu Yesu Kristu. Mnamo mwaka 1505 Baba Mtakatifu alimtumia sala hii Mfalme Charles wakati alipokuwa anaenda vitani. Yeyote atakayeisoma sala hii, au kuisikia ikisomwa, au kuibeba, hatakufa kifo cha ghafla,hatazama majini, hatadhurika kwa sumu, wala hataanguka katika mikono ya adui zake, au kuunguzwa katika moto wowote ule, au kushindwa katika vita.
Sali sala hii kwa siku tisa mfululizo, kwa kuomba jambo lolote unalolihitaji. Haijawahi kusikika kuwa sala hii imeshindwa jambo.
Victor Sokoine (Guest) on June 7, 2024
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Victor Mwalimu (Guest) on June 1, 2024
Mungu ni mwema, wakati wote!
jenifa (Guest) on May 23, 2024
asante sana
Melkisedeck Leon Shine (Master Admin) on May 26, 2024
Ubarikiwe
Peter Mwambui (Guest) on May 17, 2024
πβ¨ Neema ya Mungu iwe nawe
David Sokoine (Guest) on January 28, 2024
πβ€οΈβ¨ Asante Mungu kwa kila kitu
Samson Tibaijuka (Guest) on June 25, 2023
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Henry Mollel (Guest) on June 24, 2023
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Jane Muthui (Guest) on May 24, 2023
Amina
Agnes Njeri (Guest) on May 12, 2023
Mungu akubariki!
Stephen Mushi (Guest) on March 30, 2023
πππ« Mungu ni mwema
Janet Mwikali (Guest) on February 17, 2023
ππβ¨ Neema yako ni ya kutosha
Lydia Mzindakaya (Guest) on February 11, 2023
πβ¨ Mungu asikie maombi yetu
Elizabeth Mrope (Guest) on January 18, 2023
Mwamini katika mpango wake.
Charles Mchome (Guest) on January 14, 2023
ππβ€οΈ Nakuombea heri
John Lissu (Guest) on January 14, 2023
πβ€οΈ Mungu ni mlinzi wetu
Robert Ndunguru (Guest) on November 2, 2022
Rehema hushinda hukumu
Raphael Okoth (Guest) on October 24, 2022
πβ€οΈ Mungu akubariki
Francis Mtangi (Guest) on September 10, 2022
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
James Malima (Guest) on August 23, 2022
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Bernard Oduor (Guest) on May 4, 2022
πβ¨ Mungu atupe nguvu
Peter Otieno (Guest) on April 22, 2022
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Janet Wambura (Guest) on February 21, 2022
πβ€οΈ Mungu ni mkombozi
Lucy Wangui (Guest) on January 19, 2022
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Frank Sokoine (Guest) on November 17, 2021
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Michael Mboya (Guest) on October 2, 2021
Dumu katika Bwana.
Francis Mtangi (Guest) on August 13, 2021
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Jane Malecela (Guest) on August 4, 2021
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Jane Muthoni (Guest) on July 8, 2021
πβ¨π Mungu atajibu maombi yako
Elizabeth Mtei (Guest) on July 3, 2021
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Josephine Nduta (Guest) on June 29, 2021
πβ€οΈπ Bwana akujalie baraka
Betty Kimaro (Guest) on June 14, 2021
Rehema zake hudumu milele
Anna Mahiga (Guest) on June 11, 2021
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Miriam Mchome (Guest) on March 16, 2021
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Joseph Kawawa (Guest) on March 1, 2021
ππ Nakushukuru Mungu
Betty Cheruiyot (Guest) on January 28, 2021
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Joseph Njoroge (Guest) on December 19, 2020
πβ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku
Linda Karimi (Guest) on December 12, 2020
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Lucy Wangui (Guest) on November 16, 2020
Nguvu hutoka kwa Bwana
Esther Cheruiyot (Guest) on November 10, 2020
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Mary Njeri (Guest) on October 6, 2020
Katika imani, yote yanawezekana
Irene Akoth (Guest) on August 12, 2020
ππ Mungu wetu asifiwe
Henry Mollel (Guest) on July 22, 2020
ππ Mungu alete amani
Alice Wanjiru (Guest) on July 10, 2020
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Rose Lowassa (Guest) on June 22, 2020
πππ Mungu akufunike na upendo
Peter Mugendi (Guest) on March 3, 2020
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Diana Mumbua (Guest) on February 21, 2020
Tumaini ni nanga ya roho
Alice Wanjiru (Guest) on January 16, 2020
πβ€οΈπ Asante Mungu kwa uhai
Fredrick Mutiso (Guest) on December 10, 2019
πβ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike
Francis Mrope (Guest) on October 24, 2019
ππ Namuomba Mungu akupiganie
James Kimani (Guest) on October 6, 2019
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Anthony Kariuki (Guest) on July 22, 2019
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Charles Wafula (Guest) on July 8, 2019
Baraka kwako na familia yako.
Joy Wacera (Guest) on June 17, 2019
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Nora Kidata (Guest) on June 14, 2019
ππ Nakusihi Mungu
Alice Mrema (Guest) on March 13, 2019
ππ Mbarikiwe sana
Dorothy Majaliwa (Guest) on February 18, 2019
πβ€οΈπ Tumshukuru Mungu kwa yote
Betty Cheruiyot (Guest) on December 10, 2018
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Peter Mwambui (Guest) on October 4, 2018
Neema na amani iwe nawe.
Mazrui (Guest) on March 6, 2018
πππ