Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Novena ya Noeli

Featured Image

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku wa Noeli, tar 24 Disemba. Inajulikana kama novena ya Mt. Andrea kwa sababu novena hii huanza kusaliwa katika siku ya kumbukumbu ya Mt. Andrea Mtume.

"IHESHIMIWE, NA IBARIKIWE, SAA ILE NA WAKATI ULE, AMBAO MWANA WA MUNGU, ALIZALIWA NA BIKIRA MBARIKIWA SANA, USIKU WA MANANE, KULE BETHLEHEM, WAKATI WA BARIDI KALI.
WAKATI HUO, UPENDE E MUNGU WANGU, KUSIKIA MAOMBI YANGU, NA KUNIJALIA YALE NINAYOYAOMBA KWAKO, KWA NJIA YA MASTAHILI YA MWOKOZI WETU YESU KRISTO, NA YA MAMA YAKE MBARIKIWA. AMINA. (Sali mara 15 kwa siku).

Inasadikika kuwa chochote uombacho kwa imani kwa sala hii utakipata mradi kipatane na mapenzi ya Mungu. Sali na watoto/ familia kuwatafakarisha na kuwaongezea matazamio juu ya sikukuu ya Noeli.

Isambaze sala hii kwa wengine.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Faith Kariuki (Guest) on November 2, 2017

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Benjamin Masanja (Guest) on August 8, 2017

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Fredrick Mutiso (Guest) on June 12, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

John Malisa (Guest) on April 1, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Robert Okello (Guest) on March 30, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Faith Kariuki (Guest) on March 25, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

John Lissu (Guest) on February 20, 2017

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Joy Wacera (Guest) on January 15, 2017

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Moses Kipkemboi (Guest) on November 27, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Robert Ndunguru (Guest) on November 22, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Edward Lowassa (Guest) on November 1, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Alice Mrema (Guest) on September 24, 2016

Baraka kwako na familia yako.

Mary Njeri (Guest) on August 22, 2016

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Frank Sokoine (Guest) on August 22, 2016

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Rose Lowassa (Guest) on June 29, 2016

Sifa kwa Bwana!

Mary Kendi (Guest) on June 23, 2016

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Joy Wacera (Guest) on March 15, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Betty Cheruiyot (Guest) on March 11, 2016

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Susan Wangari (Guest) on March 10, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Paul Kamau (Guest) on February 28, 2016

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Elizabeth Mrema (Guest) on October 21, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Elizabeth Mrope (Guest) on August 12, 2015

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Grace Mligo (Guest) on April 26, 2015

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Related Posts

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu, ulistahili kuitwa Msimamizi wa misioni katoliki za dunia yote... Read More

Sala fupi ya Asubuhi

Sala fupi ya Asubuhi

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina... Read More

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

Ee Yesu Mfungwa wa Upendo wa Mungu,/ ninapofikiri Upendo wako na jinsi ulivyojitolea kwa ajili ya... Read More

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na ... Read More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

AMRI ZA MUNGU

AMRI ZA MUNGU

1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More