Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na uliyemtazama Mwana wako akifa, unitazame kwa huruma ya kimama ninayekusikitikia. Kwa sababu ya upanga uliochoma moyo wako, kwa mateso ya maisha yako nakuomba uniangalie kwa wema ukasikilize maombi yangu. Nakuomba, ee Mama, uniombee daima kwa Mwana wako, najua hawezi kukuvyima wewe kitu chochote. Basi, ufanye, Moyo wa Mwanao ukubali kunijalia ombi langu hili β¦β¦β¦β¦β¦β¦β¦(taja ombi lako).
Maana nitamkimbilia nani katika mahitaji na misiba yangu isipokuwa kwako, ee Mama wa huruma? Wewe hasa unaweza kutusaidia sisi tulio bado katika bonde la machozi kwa sababu ulishiriki mateso ya Mwanao kutukomboa. Umtolee Yesu tone moja la Damu yake takatifu. Umkumbushe ya kuwa wewe ni matumaini, furaha na maisha yetu ukanipatie jambo ninalokuomba kwa Yesu Kristo, bwana wetu. Amina.

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Betty Cheruiyot (Guest) on June 11, 2024
ππ Nakushukuru Mungu
Charles Wafula (Guest) on February 23, 2024
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Joyce Nkya (Guest) on January 5, 2024
Rehema zake hudumu milele
Lydia Wanyama (Guest) on January 3, 2024
πβ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike
Ruth Mtangi (Guest) on November 30, 2023
Amina
Francis Mtangi (Guest) on October 24, 2023
Baraka kwako na familia yako.
Rose Waithera (Guest) on October 21, 2023
Mungu akubariki!
Monica Lissu (Guest) on September 1, 2023
ππ Mungu akujalie amani
Ruth Wanjiku (Guest) on July 12, 2023
ππ Namuomba Mungu akupiganie
Chris Okello (Guest) on April 19, 2023
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Joseph Kitine (Guest) on April 14, 2023
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Fredrick Mutiso (Guest) on March 7, 2023
πβ€οΈ Mungu akubariki
Rose Amukowa (Guest) on February 13, 2023
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Elizabeth Mtei (Guest) on January 17, 2023
ππ Mungu alete amani
Rose Mwinuka (Guest) on October 31, 2022
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Janet Sumaye (Guest) on October 18, 2022
Tumaini ni nanga ya roho
Philip Nyaga (Guest) on September 6, 2022
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Monica Adhiambo (Guest) on April 13, 2022
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Betty Cheruiyot (Guest) on April 12, 2022
Nguvu hutoka kwa Bwana
Nora Kidata (Guest) on January 16, 2022
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
George Mallya (Guest) on October 17, 2021
πβ¨ Mungu asikie maombi yetu
Kevin Maina (Guest) on September 27, 2021
πππ
Victor Kimario (Guest) on August 18, 2021
ππ Mungu wetu asifiwe
Patrick Mutua (Guest) on July 15, 2021
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Nancy Kabura (Guest) on July 12, 2021
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
James Malima (Guest) on May 20, 2021
πβ¨ Mungu atakuinua
Mary Sokoine (Guest) on May 3, 2021
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Vincent Mwangangi (Guest) on April 14, 2021
Neema ya Mungu inatosha kwako
Faith Kariuki (Guest) on March 29, 2021
ππβ¨ Neema yako ni ya kutosha
Stephen Kikwete (Guest) on December 16, 2020
ππ Asante kwa neema zako Mungu
Alice Wanjiru (Guest) on September 30, 2020
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Mariam Hassan (Guest) on September 4, 2020
Neema na amani iwe nawe.
Elizabeth Mrope (Guest) on August 19, 2020
πβ€οΈπ Tumshukuru Mungu kwa yote
Rose Lowassa (Guest) on July 19, 2020
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Mercy Atieno (Guest) on June 19, 2020
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Rose Kiwanga (Guest) on June 14, 2020
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Mary Mrope (Guest) on March 25, 2020
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Nancy Komba (Guest) on February 26, 2020
ππ Neema za Mungu zisikose
Janet Mwikali (Guest) on February 3, 2020
ππ Nakusihi Mungu
Ruth Mtangi (Guest) on January 25, 2020
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
David Kawawa (Guest) on January 23, 2020
πβ€οΈπ Bwana akujalie baraka
Jackson Makori (Guest) on December 4, 2019
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Moses Kipkemboi (Guest) on November 9, 2019
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Grace Minja (Guest) on October 9, 2019
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Dorothy Mwakalindile (Guest) on October 6, 2019
Katika imani, yote yanawezekana
Mary Sokoine (Guest) on September 7, 2019
Imani inaweza kusogeza milima
Joyce Nkya (Guest) on July 6, 2019
πππ« Mungu ni mwema
Alex Nakitare (Guest) on June 28, 2019
πππ Mungu akufunike na upendo
Thomas Mwakalindile (Guest) on April 22, 2019
πβ€οΈ Mungu ni mkombozi
Diana Mallya (Guest) on April 9, 2019
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
James Kimani (Guest) on March 28, 2019
Mungu ni mwema, wakati wote!
Paul Ndomba (Guest) on February 4, 2019
πβ¨ Mungu atupe nguvu
Joseph Mallya (Guest) on October 31, 2018
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
George Ndungu (Guest) on July 22, 2018
ππ Mbarikiwe sana
Elizabeth Mrope (Guest) on July 18, 2018
ππβ€οΈ Nakuombea heri
Dorothy Majaliwa (Guest) on June 19, 2018
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
David Chacha (Guest) on May 27, 2018
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Nancy Komba (Guest) on April 12, 2018
πβ¨ Neema ya Mungu iwe nawe
Frank Sokoine (Guest) on March 27, 2018
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Victor Kimario (Guest) on February 19, 2018
πβ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku