Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kanuni ya imani

Featured Image

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee, Bwana wetu;/ aliyetungwa kwa Roho Mtakatifu,/ akazaliwa na Bikira Maria,/ akateswa kwa mamlaka ya Ponsyo Pilato,/ akasulubiwa, akafa, akazikwa,/ akashukia kuzimu;/ siku ya tatu akafufuka katika wafu;/ akapaa mbinguni;/ amekaa kuume kwa Mungu Baba Mwenyezi;/ toka huko atakuja kuwahukumu wazima na wafu. Nasadiki kwa Roho Mtakatifu,/ Kanisa takatifu katoliki,/ ushirika wa Watakatifu,/ maondoleo ya dhambi,/ ufufuko wa miili,/ uzima wa milele. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Elijah Mutua (Guest) on August 19, 2017

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Jane Malecela (Guest) on July 24, 2017

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Susan Wangari (Guest) on July 2, 2017

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Ruth Kibona (Guest) on June 23, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Raphael Okoth (Guest) on June 21, 2017

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Carol Nyakio (Guest) on April 14, 2017

Nguvu hutoka kwa Bwana

Elizabeth Mrema (Guest) on April 2, 2017

Sifa kwa Bwana!

Charles Mrope (Guest) on March 9, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

Robert Okello (Guest) on November 3, 2016

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Patrick Kidata (Guest) on October 22, 2016

Tembea kwa imani, si kwa kuona

George Tenga (Guest) on October 20, 2016

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Margaret Mahiga (Guest) on August 23, 2016

Imani inaweza kusogeza milima

Victor Mwalimu (Guest) on June 28, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Rose Amukowa (Guest) on April 1, 2016

Neema ya Mungu inatosha kwako

Joseph Kawawa (Guest) on March 5, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Chris Okello (Guest) on January 3, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Rose Waithera (Guest) on October 23, 2015

Baraka kwako na familia yako.

Elizabeth Mtei (Guest) on September 26, 2015

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Andrew Mahiga (Guest) on August 23, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 18, 2015

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Elizabeth Mrope (Guest) on July 7, 2015

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Anthony Kariuki (Guest) on July 2, 2015

Mungu akubariki!

Diana Mumbua (Guest) on June 22, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Related Posts

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ... Read More

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.

SALA YA KUSHUKURU

Tunakus... Read More

Sala ya Saa Tisa

Sala ya Saa Tisa

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.... Read More

SALA YA MAPENDO

SALA YA MAPENDO

Mungu wangu,

nakupenda zaidi ya cho chote,

kwani ndiwe mwema,

ndiwe mwenye kupe... Read More

SALA YA IMANI

SALA YA IMANI

Mungu wangu,

nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;Read More

Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

Sala ya kuomba Kifo chema

Sala ya kuomba Kifo chema

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

nawatolea Moyo, na roho, na uzima wangu.

Enyi Yesu na M... Read More

SALAMU MARIA

SALAMU MARIA

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Y... Read More

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na ... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More