Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Featured Image

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida)

Mwanzo, kwenye Msalaba:

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.

Kwenye chembe ndogo za awali:

K: Ee Mungu utuelekezee msaada W: Ee Bwana utusaidie hima
W: Atukuzwe Baba na Mwana na Roho Mtakatifu,
Kama mwanzo na sasa na siku zote na milele. Amina.

Maria ametusaidia,
Maria anataka kutusaidia,
Maria anaweza kutusaidia,
Maria atatusaidia.

KATIKA KILA FUNGU SALI SALA ZIFUATAZO:

Kwenye chembe kubwa:

Atukuzwe Baba na Mwana na Roho Mtakatifu,
Kama mwanzo na sasa, na siku zote, na milele. Amina.

Maria ametusaidia,
Maria anataka kutusaidia,
Maria anaweza kutusaidia,
Maria atatusaidia.

Ee Maria Mama wa Msaada wa daima
Sikiliza maombi ya roho zetu
Unaweza kutusaidia katika mahitaji yetu
Ee Maria kwa matumaini twakuita wewe.

Kwenye chembe ndogo:

Kama unasali mwenyewe: β€œEe Maria, utusaidie! (mara kumi)
Kama mnasali zaidi ya mmoja kwa pamoja: K; Ee Maria, W: Utusaidie. (mara kumi)

MWISHO SALI SALA ZIFUATAZO:

Salamu Maria

Salamu Maria, umejaa neema, Bwana yu nawe, umebarikiwa kuliko wanawake wote, na Yesu Mzao wa tumbo lako amebarikiwa. Maria Mtakatifu, Mama wa Mungu, utuombee sisi wakosefu, sasa, na saa ya kufa kwetu. Amina. (mara tatu)

Tunaukimbilia

Tunaukimbilia ulinzi wako, ee Mzazi Mtakatifu wa Mungu, usitunyime tukiomba katika shida zetu, utuokoe siku zote, kila tuingiapo hatarini, ee Bikira Mtukufu na mwenye baraka,. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Agnes Lowassa (Guest) on September 20, 2017

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Anna Malela (Guest) on September 6, 2017

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

John Malisa (Guest) on August 23, 2017

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Sarah Karani (Guest) on August 19, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Anna Mahiga (Guest) on June 24, 2017

Neema na amani iwe nawe.

Richard Mulwa (Guest) on June 22, 2017

Imani inaweza kusogeza milima

Samuel Were (Guest) on March 25, 2017

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Victor Sokoine (Guest) on March 16, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

John Malisa (Guest) on January 3, 2017

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Edith Cherotich (Guest) on December 4, 2016

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Bernard Oduor (Guest) on December 4, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Moses Kipkemboi (Guest) on September 4, 2016

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Anna Mchome (Guest) on August 21, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Joseph Kitine (Guest) on August 19, 2016

Nakuombea πŸ™

Peter Mbise (Guest) on May 10, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Samuel Omondi (Guest) on February 26, 2016

Endelea kuwa na imani!

Alice Jebet (Guest) on January 16, 2016

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Diana Mallya (Guest) on December 31, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Robert Okello (Guest) on October 8, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

John Lissu (Guest) on July 31, 2015

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Catherine Mkumbo (Guest) on May 29, 2015

Neema ya Mungu inatosha kwako

Joseph Njoroge (Guest) on May 9, 2015

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Sarah Mbise (Guest) on April 17, 2015

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Related Posts

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu, ulistahili kuitwa Msimamizi wa misioni katoliki za dunia yote... Read More

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyikeRead More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)