Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.
Kwenye Msalaba Sali:
βEe Yesu tupe moyo wako kama amana ya upendo wako na kimbilio letu, ili tupate pumziko salama wakati wa maisha yetu na faraja tamu saa ya kufa kwetuβ.
Baba Yetu β¦β¦..
Salamu Maria β¦β¦. (mara tatu)
Nasadiki β¦β¦β¦..
Kwenye chembe kubwa Sali (Badala ya βBaba Yetuβ):
βNinakuabudu, ninakutukuza na ninakupenda, Ee Moyo wa Yesu wangu mpenzi, uliopenywa na huzuni nyingi kwa ajili ya dhambi, ambazo zimekuwa zikitendwa hata leo, dhidi ya Sakramenti Takatifu sana ya Altare. Ninakutolea hapo kwa kuridhika, moyo wa Mama yako mpendevu, na mastahili ya watakatifu. Aminaβ.
Kwenye chembe ndogo sali (Badala ya βSalamu Mariaβ):
βEe Moyo Mtakatifu wa Yesu, uwakao mapendo kwetu, washa nyoyo zetu kwa mapendo yako"
Mary (Guest) on July 21, 2024
Good
Lucy Mahiga (Guest) on July 14, 2024
Sifa kwa Bwana!
Andrew Mchome (Guest) on July 10, 2024
ππ Mungu akujalie amani
Mary (Guest) on June 30, 2024
We thank you for the updates in these prayers
Melkisedeck Leon Shine (Master Admin) on July 11, 2024
Thank you.
You are always Welcome
Mary (Guest) on July 21, 2024
Okay
Janet Mbithe (Guest) on April 29, 2024
Nakuombea π
Janet Wambura (Guest) on March 28, 2024
πππ Mungu akufunike na upendo
Josephine Nduta (Guest) on January 11, 2024
Neema na amani iwe nawe.
Alice Wanjiru (Guest) on November 18, 2023
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Stephen Mushi (Guest) on October 29, 2023
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Victor Mwalimu (Guest) on August 31, 2023
πβ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku
Catherine Naliaka (Guest) on April 6, 2023
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Nora Kidata (Guest) on February 10, 2023
Mungu akubariki!
Betty Cheruiyot (Guest) on February 7, 2023
πβ€οΈπ Baraka za Mungu ziwe nawe
Alice Wanjiru (Guest) on January 15, 2023
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Kenneth Murithi (Guest) on January 14, 2023
πβ€οΈπ Bwana akujalie baraka
Rose Mwinuka (Guest) on December 2, 2022
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Elizabeth Malima (Guest) on September 21, 2022
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Samson Mahiga (Guest) on June 22, 2022
πβ€οΈβ¨ Asante Mungu kwa kila kitu
Joyce Aoko (Guest) on June 14, 2022
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Ruth Wanjiku (Guest) on May 23, 2022
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
David Nyerere (Guest) on May 14, 2022
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Ruth Kibona (Guest) on May 6, 2022
πβ¨ Neema ya Mungu iwe nawe
Elijah Mutua (Guest) on March 22, 2022
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Thomas Mwakalindile (Guest) on January 30, 2022
Endelea kuwa na imani!
Charles Mchome (Guest) on December 17, 2021
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Grace Mushi (Guest) on December 9, 2021
πβ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike
Rose Amukowa (Guest) on October 15, 2021
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Robert Okello (Guest) on July 6, 2021
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Agnes Sumaye (Guest) on June 18, 2021
Rehema zake hudumu milele
Irene Makena (Guest) on June 14, 2021
Mwamini katika mpango wake.
David Chacha (Guest) on May 22, 2021
πβ€οΈβ¨ Mungu akujalie furaha
Monica Nyalandu (Guest) on May 8, 2021
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Mary Kendi (Guest) on May 6, 2021
πβ€οΈ Mungu ni mwaminifu
Peter Mugendi (Guest) on April 10, 2021
Amina
Diana Mallya (Guest) on July 3, 2020
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Nancy Akumu (Guest) on February 11, 2020
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Catherine Naliaka (Guest) on February 7, 2020
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Grace Majaliwa (Guest) on December 25, 2019
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Joseph Kawawa (Guest) on December 13, 2019
ππ Mungu wetu asifiwe
Victor Mwalimu (Guest) on December 3, 2019
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Victor Kimario (Guest) on October 31, 2019
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Paul Ndomba (Guest) on August 12, 2019
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Christopher Oloo (Guest) on July 20, 2019
ππ Mungu alete amani
Joseph Kitine (Guest) on July 12, 2019
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
David Sokoine (Guest) on June 16, 2019
πβ¨π Mungu atajibu maombi yako
Jane Muthoni (Guest) on May 23, 2019
πβ¨ Mungu atupe nguvu
Joyce Nkya (Guest) on March 30, 2019
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Michael Onyango (Guest) on February 17, 2019
πβ€οΈπ Asante Mungu kwa uhai
Betty Kimaro (Guest) on February 16, 2019
Imani inaweza kusogeza milima
Miriam Mchome (Guest) on January 5, 2019
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Paul Kamau (Guest) on October 12, 2018
πβ¨ Mungu asikie maombi yetu
Betty Kimaro (Guest) on September 26, 2018
πππ
Raphael Okoth (Guest) on September 11, 2018
πππ« Mungu ni mwema
Patrick Mutua (Guest) on August 20, 2018
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Faith Kariuki (Guest) on August 1, 2018
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Grace Majaliwa (Guest) on July 18, 2018
Tumaini ni nanga ya roho
David Kawawa (Guest) on June 13, 2018
ππ Nakusihi Mungu
Miriam Mchome (Guest) on April 30, 2018
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote