Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa kutoa misaada/ kwa wanaokukimbilia katika matatizo yao mazito./ Pia ni mwombezi wa waliopondeka moyo./
Mimi ni mmoja wa hao./ Nakujia na moyo uliojaa shida na matatizo./ Nakusihi kwa moyo wote/ unisaidie kwa maombezi yako yenye nguvu/ kufikia utatuzi unaofaa kadiri ya mapenzi ya Mungu./ Maisha yangu yamejaa misalaba,/ siku kwa siku matatizo hayapungui./ Moyo wangu umekuwa bahari ya siki chungu sana./ Mapito yangu nayaona yamejaa miiba mikali./ Roho yangu imezama katika dimbwi la machozi na kite./ Nafsi yangu imezingirwa na giza nene./ Ghasia na kukatishwa tamaa ya kuishi/ hunyemelea roho yangu./ Maongozi ya Mungu na imani naviona vinanitoka kidogo kwa kidogo./
Nikielemewa na mawazo kama hayo/ najikuta sina nguvu za kuishi,/ na maisha kwangu ni msalaba mzito/ ninaouogopa hata kuunyakua./ Wewe unaweza kabisa kunitoa katika balaa hili./ Sitaacha kukusihi/ hadi hapo utakaponisaidia/ au kunijulisha mapenzi ya Mungu kwangu./ Natangulia kutoa shukrani kwa jibu liwalo lote.
Rehema zake hudumu milele
ππ Mungu wetu asifiwe
πβ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike
πβ€οΈ Mungu ni mkombozi
πππ« Mungu ni mwema
πβ€οΈπ Asante Mungu kwa uhai
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πβ€οΈ Mungu ni mlinzi wetu
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
ππβ¨ Neema yako ni ya kutosha
πβ€οΈ Mungu ni mwaminifu
ππ Asante kwa neema zako Mungu
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πβ¨π Mungu atajibu maombi yako
Nakuombea π
ππ Mbarikiwe sana
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Baraka kwako na familia yako.
πππ
Endelea kuwa na imani!
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πβ¨ Mungu atakuinua
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
ππ Nakushukuru Mungu
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
ππβ€οΈ Nakuombea heri
πβ€οΈπ Tumshukuru Mungu kwa yote
Amina
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Neema na amani iwe nawe.
Sifa kwa Bwana!
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πππ
Rehema hushinda hukumu
πβ€οΈπ Baraka za Mungu ziwe nawe
Imani inaweza kusogeza milima
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πβ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku
πβ€οΈ Mungu akubariki
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πβ¨ Neema ya Mungu iwe nawe
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Mungu akubariki!
πβ€οΈβ¨ Asante Mungu kwa kila kitu
Dumu katika Bwana.
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Mungu ni mwema, wakati wote!
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
ππ Mungu alete amani
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Neema ya Mungu inatosha kwako
ππ Namuomba Mungu akupiganie
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Katika imani, yote yanawezekana
πβ€οΈπ Bwana akujalie baraka
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πβ€οΈβ¨ Mungu akujalie furaha
Mwamini Bwana; anajua njia
ππ Nakusihi Mungu
Nguvu hutoka kwa Bwana
πππ Mungu akufunike na upendo
πβ¨ Mungu atupe nguvu
Tumaini ni nanga ya roho
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
ππ Neema za Mungu zisikose
Mwamini katika mpango wake.
πβ¨ Mungu asikie maombi yetu
ππ Mungu akujalie amani
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha