Utukuzwe ee Bwana wangu Yesu Kristo./ Uliagua kifo chako./ Katika karamu ya mwisho ulitumia mkate wa kidunia/ ukafanya mwujiza na kuugeuza/ kuwa Mwili wako azizi./ Kwa mapendo ukawapa Mitume Mwili huo/ uwe kumbukumbu la mateso yako mastahivu./ Uliwaosha miguu kwa Mikono yako Mitakatifu./
Uheshimiwe, ee Bwana wangu Yesu Kristo./ Kwa kuhofu mateso na kifo,/ Mwili wako usio na kosa ulitoka jasho la damu/ badala ya maji./ Juu ya hayo uliutimiza wokovu wetu/ uliokuwa umetaka kuufanya./ Hivyo ulionyesha waziwazi mapendo yako/ uliyo nayo kwa wanadamu./
Utukuzwe, ee Bwana wangu Yesu Kristo./ Ulipelekwa kwa Kayafa,/ Wewe uliye Hakimu wa wote./ Ukaruhusu kwa unyenyekevu kutolewa kwa Pilato/ uhukumiwe naye./
Utukufu uwe nawe, Bwana wangu Yesu Kristo,/ kwa kuwa ulivumilia kuchekwa tena/ uliposimama huko,/ umevaa joho jekundu,/ umetiwa taji ya miiba mikali sana Kichwani,/ ukavumilia kwa saburi kubwa/ kutemewa mate katika Uso wako mzuri,/ kufumbwa Macho,/ na kupigwa mno na wajeuri/ ngumi na makofi Mashavuni na Shingoni./
Sifa iwe nawe, Bwana wangu Yesu Kristo,/ Kwa uvumilivu mkubwa ulikubali kufungwa nguzoni,/ kupigwa mijeledi kijeuri,/ kujaa damu na hivyo kusukumwa barazani kwa Pilato./ Ulionekana kama mwanakondoo asiye na kosa./
Heshima iwe nawe, Bwana wangu Yesu Kristo./ Umehukumiwa Mwili wako mzima/ Mtukufu wenye kutoka damu/ ufe msalabani./ Ulichukua msalaba kwa Mabega yako Matakatifu/ na kuumwa sana./ Kwa ghadhabu walikusukuma mbele/ mpaka mahali pa mateso,/ wakakunyangβanya nguo zako./ Hivyo ulikubali kupigiliwa msalabani./
Heshima ya milele upate Wewe,/ Bwana wangu Yesu Kristo./ Ulipokuwa katika taabu kubwa hii,/ ulimkazia Mama yako mstahivu/ Macho yako ya hisani na mapendo/ na unyenyekevu,/ ndiye Mama yako asiyekosa hata mara moja/ wala kukubali dhambi yeyote./ Ulimweka katika ulinzi mwaminifu/ wa Mfuasi wako ili kumtuliza./
Milele utukuzwe, ee Bwana wangu Yesu Kristo./ Ulipokuwa mwenyewe taabani,/ uliwapa wakosefu wote/ matumaini ya kuondolewa dhambi/ kwa kumwahidia mnyangβanyi aliyekuendea/ utukufu wa paradisi kwa huruma yako./
Sifa ya milele iwe nawe, Bwana wangu Yesu Kristo,/ kwa kila saa ulipovumilia uchungu/ na taabu kubwa mno msalabani kwa ajili yetu sisi wakosefu,/ maumivu makali sana/ yaliyotoka katika majeraha yako,/ yakapenya bila huruma Roho yako Takatifu./ Yakaingia kikatili katika Moyo wako Mtakatifu/ hata ukakatika,/ ukapumua Roho yako,/ ukainama Kichwa,/ ukaweka Roho yako mikononi mwa Mungu, Baba yako./ Na baada ya kufa uliacha nyuma Mwili baridi./
Utukuzwe, ee Bwana wangu Yesu Kristo,/ kwa Damu yako azizi na kwa kifo chako kitakatifu/ ulizifidia roho za watu,/ ukazitoa ugenini/ na kuzipeleka kwa hisani yako katika uzima wa milele./
Milele uheshimiwe, Wewe Bwana wangu Yesu Kristo./ Siku ya tatu ulifufuka katika wafu,/ ukajionyesha kwa wafuasi wako,/ ukapaa mbinguni/ mbele ya macho yao siku ya arobaini./
Shangilio na sifa ya milele upate Wewe, Bwana wangu Yesu Kristo,/ kwa kuwa umewapelekea wafuasi wako mioyoni mwao/ Roho Mtakatifu,/ ukawasha rohoni mwao mapendo makuu ya Mungu./
Pia, utukuzwe, usifiwe na kushangiliwa milele, Bwana wangu Yesu Kristo./ Umekaa katika ufalme wako wa mbinguni/ juu ya kiti cha enzi cha Umungu wako,/ ukaishi pamoja na Viungo vyako vyote Vitakatifu./ Na hivyo utakuja tena/ kuzihukumu roho za wazima na wafu wote./ Unaishi na kutawala/ pamoja na Baba na Roho Mtakatifu,/ milele. Amina.
(Na Mt. Birgita wa Sweden)
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Rehema hushinda hukumu
Endelea kuwa na imani!
πππ
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πβ¨ Mungu atupe nguvu
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πβ¨ Mungu asikie maombi yetu
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Tumaini ni nanga ya roho
πβ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku
πβ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike
ππ Namuomba Mungu akupiganie
πβ€οΈπ Baraka za Mungu ziwe nawe
πππ
Dumu katika Bwana.
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πβ€οΈβ¨ Asante Mungu kwa kila kitu
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Sifa kwa Bwana!
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Nguvu hutoka kwa Bwana
πβ€οΈπ Tumshukuru Mungu kwa yote
Neema ya Mungu inatosha kwako
πβ¨ Mungu atakuinua
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Nakuombea π
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πβ€οΈπ Asante Mungu kwa uhai
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Amina
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
ππ Mungu alete amani
Mwamini Bwana; anajua njia
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
ππ Nakushukuru Mungu
πβ€οΈβ¨ Mungu akujalie furaha
πβ¨π Mungu atajibu maombi yako
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πβ€οΈ Mungu ni mlinzi wetu
Imani inaweza kusogeza milima
πππ« Mungu ni mwema
Mwamini katika mpango wake.
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Baraka kwako na familia yako.
Neema na amani iwe nawe.
Mungu akubariki!
ππ Neema za Mungu zisikose
ππ Nakusihi Mungu
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
ππ Mbarikiwe sana
πππ Mungu akufunike na upendo
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
ππβ€οΈ Nakuombea heri
πβ€οΈ Mungu akubariki
πβ€οΈ Mungu ni mkombozi
Rehema zake hudumu milele
πβ¨ Neema ya Mungu iwe nawe
Mungu ni mwema, wakati wote!
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
ππ Mungu akujalie amani
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Katika imani, yote yanawezekana
ππ Asante kwa neema zako Mungu
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πβ€οΈπ Bwana akujalie baraka
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
ππβ¨ Neema yako ni ya kutosha
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
ππ Mungu wetu asifiwe
πβ€οΈ Mungu ni mwaminifu