- Bwana utuhurumie
- Bwana utuhurumie
- Kristo utuhurumie
- Bwana utuhurumie
- Bwana utuhurumie
- Kristo utusikie
- Kristo utusikilize
- Mungu Baba wa Mbinguni,…… Utuhurumie
- Mungu Mwana Mkombozi wa dunia ……… Utuhurumie
- Mungu Roho Mtakatifu …….. Utuhurumie
- Utatu Mtakatifu Mungu Mmoja …….. Utuhurumie
- Maria Mtakatifu ………. utuombee
- Mzazi Mtakatifu wa Mungu …….. utuombee
- Bikira Mtakatifu Mkuu wa Mabikira …….. utuombee
- Mama wa Kristo ……… utuombee
- Mama wa Neema ya Mungu ………….. utuombee
- Mama Mtakatifu sana ……… utuombee
- Mama mwenye usafi wa Moyo ……….. utuombee
- Mama mwenye ubikira ……….. utuombee
- Mama usiye na doa ……….. utuombee
- Mama mpendelevu ………. utuombee
- Mama mstajabivu ………. utuombee
- Mama wa Muumba ………. utuombee
- Mama wa Mkombozi ………….. utuombee
- Mama wa Kanisa……….. utuombee
- Bikira mwenye utaratibu ………….. utuombee
- Bikira mwenye heshima ………….. utuombee
- Bikira mwenye sifa ………….. utuombee
- Bikira mwenye uwezo ………….. utuombee
- Bikra mweye huruma ………….. utuombee
- Bikra mwaminifu………….. utuombee
- Kioo cha haki ………….. utuombee
- Kikao cha hekima ………….. utuombee
- Sababu ya furaha yetu ………….. utuombee
- Chombo cha neema ………….. utuombee
- Chombo cha kuheshimiwa ………….. utuombee
- Chombo bora cha ibada ………….. utuombee
- Waridi lenye fumbo ………….. utuombee
- Mnara wa Daudi ………….. utuombee
- Mnara wa pembe ………….. utuombee
- Nyumba ya dhahabu ………….. utuombee
- Sanduku la Agano ………….. utuombee
- Mlango wa Mbingu ………….. utuombee
- Nyota ya asubuhi ………….. utuombee
- Afya ya wagonjwa ………….. utuombee
- Kimbilio la wakosefu ………….. utuombee
- Mtuliza wenye huzuni ………….. utuombee
- Msaada wa waKristo ………….. utuombee
- Malkia wa Malaika ………….. utuombee
- Malkia wa Mababu ………….. utuombee
- Malkia wa Manabii ………….. utuombee
- Malkia wa Mitume ………….. utuombee
- Malkia wa Mashahidi ………….. utuombee
- Malkia wa Waungama dini ………….. utuombee
- Malkia wa Mabikira ………….. utuombee
- Malkia wa Watakatifu wote ………….. utuombee
- Malkia uliyepalizwa Mbinguni ………….. utuombee
- Malkia wa Rozari takatifu ………….. utuombee
- Malkia wa amani ………….. utuombee
- Mwanakodoo wa Mungu uondoaye dhambi za dunia,…………..Utusamehe ee Bwana.
- Mwanakondoo wa Mungu uondoaye dhambi za dunia,…………..Utusikilize ee Bwana
- Mwanakondoo wa Mungu uondoaye dhambi za dunia,…………..Utuhurumie.
- Utuombee, Mzazi Mtakatifu wa Mungu,…………..Tujaliwe ahadi za Kristo.
Tuombe
Ee Bwana Mungu, utujalie sisi watumishi wako afya ya roho na mwili siku zote; na kwa maombezi matukufu ya Maria Mtakaatifu Bikira daima, tuopolewe na mashaka ya saa, tupate na furaha za milele. Kwa Kristo Bwana wetu, Amina.
🙏🌟❤️ Nakuombea heri
🙏❤️ Mungu ni mwaminifu
🙏❤️🌟 Asante Mungu kwa uhai
Neema na amani iwe nawe.
Sifa kwa Bwana!
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
🙏✨ Mungu asikie maombi yetu
🙏❤️💖 Bwana akujalie baraka
Rehema hushinda hukumu
Mungu ni mwema, wakati wote!
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
🙏❤️💖 Baraka za Mungu ziwe nawe
🙏💖🙏 Mungu akufunike na upendo
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
🙏🙏🙏
🙏✨❤️ Tumwombe Mungu kila siku
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
🙏🌟 Namuomba Mungu akupiganie
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Nguvu hutoka kwa Bwana
🙏🌟 Neema za Mungu zisikose
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Imani inaweza kusogeza milima
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Mungu akubariki!
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Wakati wa Mungu ni kamilifu
🙏✨ Mungu atakuinua
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Neema ya Mungu inatosha kwako
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Tumaini ni nanga ya roho
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Rehema zake hudumu milele
🙏✨ Mungu atupe nguvu
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Baraka kwako na familia yako.
Endelea kuwa na imani!
🙏💖 Nakushukuru Mungu
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
🙏❤️ Mungu ni mlinzi wetu
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
🙏✨💖 Mungu atajibu maombi yako
Mwamini katika mpango wake.
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
🙏✨❤️ Neema za Mungu zikufunike
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Katika imani, yote yanawezekana
🙏❤️ Mungu ni mkombozi
Nakuombea 🙏
🙏❤️💖 Tumshukuru Mungu kwa yote
🙏❤️ Mungu akubariki
🙏🌟 Mbarikiwe sana
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
🙏💖💫 Mungu ni mwema
🙏💖 Asante kwa neema zako Mungu
Amina
🙏🙏🙏
🙏💖 Mungu wetu asifiwe
🙏💖✨ Neema yako ni ya kutosha
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Dumu katika Bwana.
🙏✨ Neema ya Mungu iwe nawe
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
🙏🌟 Mungu alete amani
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Mwamini Bwana; anajua njia
🙏❤️✨ Mungu akujalie furaha
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
🙏💖 Nakusihi Mungu
🙏❤️✨ Asante Mungu kwa kila kitu
🙏🌟 Mungu akujalie amani