1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na sending items hufutwa kila wakati.
3.Ukimuomba simu yake ghafla lazima akwambie hebu kwanza…….
4. Kamwe haiiti always vaibration.
5. Namba nyingi ha save.
6. Kuna simu hapokei hata iweje….anapenda sms zaidi
7.Majina mengi kwenye simu yameseviwa kwa majina ya kufikirika.
8.Muda mwingi ni mtu wakujihami.
9.Anapenda password na anabadili mara kwa mara.
10.Akiazima simu yako, akitumia tu anafuta deal no haraka.
11.Always yuko na simu…..hadi bafuni ikibidi.
12. Anajazba ukimuuliza chochote kuhusu simu….anajishtukia.
13. Akiwa anachati anakuangalia mara kwa mara kiwiziwizi
14. Hana jeuri ya kukuweka profile picture na akikuweka humalizi masaa anakudampu huko Hapa kuna ukweli asilimia millioni moja kabisa Share na washikaji zako😜😜i
Download Kitabu hiki Kifuatacho cha SIRI ZA MWANAMKE kuwafahamu zaidi Wanawake
-
Familia, Mapenzi na Mahusiano
📕Kitabu cha SIRI ZA MWANAMKE👧👗👠
Original price was: Sh7,500.Sh3,000Current price is: Sh3,000. Download Now
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Ushauri kuhusu mwanamke wa kufaa kuoa
Kufanya Mapenzi ya Asubuhi au Jioni: Upendeleo Wa wengi ni Upi?
Jinsi ya Kusaidiana na mke wako katika Kutimiza Malengo ya Kibinafsi
Jinsi ya Kusaidiana na mpenzi wako katika kujenga na kudumisha uhusiano na jamaa
Jinsi ya Kuelewa na kukabiliana na mabadiliko ya kijamii na kitamaduni na mpenzi wako
Njia za Kudumisha Mapenzi katika Uhusiano wako na Msichana
Jinsi ya Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu masuala ya elimu na mafunzo
Jinsi ya Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu masuala ya kisheria na mikataba