Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua wewe, kama mwombezi wangu kwa Mungu Mwenyezi, na pia kama mfano wangu, na mlinzi wangu, na baba yangu, katika bonde hili la ugenini.
Ee Mt. Yosefu, ambaye Bwana alikufanya mlinzi wa Familia yake, ninakuomba uwe mlinzi wangu mwema katika mambo yangu yote. Uniwashie moyoni mwangu moto wa mapendo makuu kwa Yesu, na uniwezeshe kumtumikia kwa bidii na kwa uaminifu kwa mfano wako. Nisaidie katika udhaifu wangu katika kumheshimu Mama Maria kama Mwombezi wangu.
Daima uwe kiongozi wangu katika njia ya fadhila na ibada, na unijalie, baada ya kukufuasa kwa uaminifu katika njia ya haki, nipate ulinzi wako wenye nguvu katika saa ya kufa kwangu.
Amina
Joyce Nkya (Guest) on April 19, 2017
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Janet Sumari (Guest) on March 6, 2017
Sifa kwa Bwana!
George Tenga (Guest) on February 15, 2017
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Margaret Mahiga (Guest) on February 12, 2017
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Raphael Okoth (Guest) on December 11, 2016
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Michael Mboya (Guest) on October 23, 2016
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Joseph Mallya (Guest) on October 22, 2016
Rehema zake hudumu milele
Francis Mrope (Guest) on October 1, 2016
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Michael Mboya (Guest) on June 20, 2016
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Patrick Akech (Guest) on June 15, 2016
πππ Mungu akufunike na upendo
Sarah Mbise (Guest) on March 27, 2016
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Mariam Kawawa (Guest) on February 25, 2016
Dumu katika Bwana.
Jane Muthoni (Guest) on February 10, 2016
πβ€οΈπ Asante Mungu kwa uhai
Alice Wanjiru (Guest) on January 18, 2016
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Violet Mumo (Guest) on January 10, 2016
Endelea kuwa na imani!
Anna Sumari (Guest) on January 7, 2016
πβ¨ Mungu atupe nguvu
Alice Wanjiru (Guest) on December 27, 2015
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Joyce Aoko (Guest) on November 17, 2015
Neema na amani iwe nawe.
Lydia Mzindakaya (Guest) on November 16, 2015
Nguvu hutoka kwa Bwana
Violet Mumo (Guest) on October 27, 2015
ππ Nakusihi Mungu
Janet Mwikali (Guest) on October 2, 2015
Nakuombea π
Chris Okello (Guest) on September 20, 2015
πππ« Mungu ni mwema
Agnes Lowassa (Guest) on August 10, 2015
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Lucy Mushi (Guest) on May 5, 2015
ππ Asante kwa neema zako Mungu