Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Sala fupi ya Asubuhi

Featured Image

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina.

Ee Utatu Mtakatifu wa Mwenyezi Mungu, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, nasadiki kuwa upo hapa na mahali pote. Ee Mungu wangu, umeniumba, umenikomboa, umenifanya mkristo, umenizidishia neema zako hapa duniani, umenitayarishia makao yangu mbinguni, umenijalia na siku hii nikutumikie. Ee Mungu wangu! Nakuabudu, nakushukuru, nakuomba toba, nakupenda! Ee Mungu wangu, nakutolea roho yangu, na mawazo, na maneno, na kazi, na furaha, na mateso yangu: uyapokee unipe neema yako nisikutende leo dhambi!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Agnes Njeri (Guest) on February 25, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Irene Makena (Guest) on December 11, 2017

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

James Mduma (Guest) on November 20, 2017

Amina

Mary Kidata (Guest) on June 2, 2017

Mungu akubariki!

Janet Sumaye (Guest) on May 31, 2017

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Patrick Mutua (Guest) on March 12, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Paul Ndomba (Guest) on March 10, 2017

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Chris Okello (Guest) on December 27, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Faith Kariuki (Guest) on December 13, 2016

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Frank Sokoine (Guest) on October 9, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Samuel Omondi (Guest) on June 26, 2016

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Henry Sokoine (Guest) on March 27, 2016

Imani inaweza kusogeza milima

Agnes Njeri (Guest) on March 24, 2016

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

David Musyoka (Guest) on February 2, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Mary Njeri (Guest) on January 17, 2016

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Carol Nyakio (Guest) on November 28, 2015

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Jacob Kiplangat (Guest) on November 18, 2015

Katika imani, yote yanawezekana

Edwin Ndambuki (Guest) on November 11, 2015

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Mary Kendi (Guest) on October 4, 2015

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

David Sokoine (Guest) on October 3, 2015

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Diana Mallya (Guest) on August 2, 2015

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Chris Okello (Guest) on July 13, 2015

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Irene Akoth (Guest) on May 16, 2015

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Related Posts

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

Utukuzwe ee Bwana wangu Yesu Kristo./ Uliagua kifo chako./ Katika karamu ya mwisho ulitumia mkate... Read More

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

Yesu, Mungu wangu mpenzi,/ upo hapa katika Altare mbele yangu;/ na mimi napiga magoti mbele yako.... Read More

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
... Read More

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

SALA YA MAPENDO

SALA YA MAPENDO

Mungu wangu,

nakupenda zaidi ya cho chote,

kwani ndiwe mwema,

ndiwe mwenye kupe... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

Sala ya Saa Tisa

Sala ya Saa Tisa

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.... Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo ... Read More