Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Featured Image

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sala, matendo, kazi, masumbuko, na furaha zangu zote za siku hii ya leo, kwa ajili ya nia za Moyo wako Mtakatifu, Ee Yesu ufalme wako utufikie!

Baba Yetu….
Salamu Maria, …..
Nasadiki …….
Amri za Mungu ……
Amri za Kanisa ……

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

John Mwangi (Guest) on January 11, 2018

Rehema hushinda hukumu

Nora Lowassa (Guest) on November 7, 2017

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

John Malisa (Guest) on September 8, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Lucy Mushi (Guest) on July 20, 2017

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Patrick Kidata (Guest) on April 21, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Sharon Kibiru (Guest) on April 18, 2017

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Stephen Kangethe (Guest) on March 3, 2017

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Grace Wairimu (Guest) on February 12, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Edith Cherotich (Guest) on December 11, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Peter Mwambui (Guest) on November 24, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Catherine Naliaka (Guest) on November 16, 2016

Rehema zake hudumu milele

Simon Kiprono (Guest) on November 9, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Lucy Mahiga (Guest) on October 14, 2016

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 28, 2016

Mwamini katika mpango wake.

Susan Wangari (Guest) on June 5, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Robert Okello (Guest) on April 27, 2016

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Jane Malecela (Guest) on April 1, 2016

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Tabitha Okumu (Guest) on March 31, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

John Mushi (Guest) on December 24, 2015

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Edith Cherotich (Guest) on November 14, 2015

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Francis Njeru (Guest) on November 2, 2015

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Nora Lowassa (Guest) on June 1, 2015

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Martin Otieno (Guest) on May 18, 2015

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Related Posts

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik... Read More

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa... Read More

SALA YA IMANI

SALA YA IMANI

Mungu wangu,

nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;Read More

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa... Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na ... Read More

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)