Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Featured Image

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya shetani, Mungu amtiishe, tunaomba sana, nawe Mkuu wa Majeshi ya Mbinguni kwa nguvu ya Mungu uwaangushe motoni shetani na pepo wabaya wengine wote, wanaozunguka duniani, ili kuzipoteza roho za watu.Β Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Peter Mbise (Guest) on December 26, 2017

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Samson Tibaijuka (Guest) on October 9, 2017

Sifa kwa Bwana!

Elizabeth Mrope (Guest) on July 21, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Lydia Mutheu (Guest) on May 26, 2017

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Josephine Nduta (Guest) on May 10, 2017

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Victor Malima (Guest) on March 24, 2017

Mwamini Bwana; anajua njia

Peter Otieno (Guest) on January 25, 2017

Mungu akubariki!

Francis Njeru (Guest) on January 10, 2017

Mwamini katika mpango wake.

Anna Mchome (Guest) on November 4, 2016

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Edith Cherotich (Guest) on September 30, 2016

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Nancy Kawawa (Guest) on September 28, 2016

Neema na amani iwe nawe.

Jane Muthoni (Guest) on September 12, 2016

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Charles Wafula (Guest) on March 8, 2016

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Jane Muthui (Guest) on February 2, 2016

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Kahina (Guest) on January 20, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Agnes Sumaye (Guest) on January 20, 2016

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Grace Wairimu (Guest) on December 12, 2015

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Mary Sokoine (Guest) on December 2, 2015

Baraka kwako na familia yako.

Lucy Mahiga (Guest) on November 16, 2015

Mungu ni mwema, wakati wote!

Vincent Mwangangi (Guest) on November 1, 2015

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Betty Kimaro (Guest) on September 4, 2015

Rehema zake hudumu milele

Paul Ndomba (Guest) on June 10, 2015

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

David Kawawa (Guest) on May 9, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Susan Wangari (Guest) on May 1, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Related Posts

Sala ya Saa Tisa

Sala ya Saa Tisa

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.... Read More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

SALA YA JIONI

SALA YA JIONI

TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA


BABA YETU…………β... Read More

SALA YA KUTUBU

SALA YA KUTUBU

Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)