Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya shetani, Mungu amtiishe, tunaomba sana, nawe Mkuu wa Majeshi ya Mbinguni kwa nguvu ya Mungu uwaangushe motoni shetani na pepo wabaya wengine wote, wanaozunguka duniani, ili kuzipoteza roho za watu.Β Amina.

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Peter Mbise (Guest) on December 26, 2017
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Samson Tibaijuka (Guest) on October 9, 2017
Sifa kwa Bwana!
Elizabeth Mrope (Guest) on July 21, 2017
πβ€οΈ Mungu ni mwaminifu
Lydia Mutheu (Guest) on May 26, 2017
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Josephine Nduta (Guest) on May 10, 2017
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Victor Malima (Guest) on March 24, 2017
Mwamini Bwana; anajua njia
Peter Otieno (Guest) on January 25, 2017
Mungu akubariki!
Francis Njeru (Guest) on January 10, 2017
Mwamini katika mpango wake.
Anna Mchome (Guest) on November 4, 2016
πβ¨ Neema ya Mungu iwe nawe
Edith Cherotich (Guest) on September 30, 2016
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Nancy Kawawa (Guest) on September 28, 2016
Neema na amani iwe nawe.
Jane Muthoni (Guest) on September 12, 2016
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Charles Wafula (Guest) on March 8, 2016
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Jane Muthui (Guest) on February 2, 2016
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Kahina (Guest) on January 20, 2016
πππ
Agnes Sumaye (Guest) on January 20, 2016
ππ Nakusihi Mungu
Grace Wairimu (Guest) on December 12, 2015
ππβ€οΈ Nakuombea heri
Mary Sokoine (Guest) on December 2, 2015
Baraka kwako na familia yako.
Lucy Mahiga (Guest) on November 16, 2015
Mungu ni mwema, wakati wote!
Vincent Mwangangi (Guest) on November 1, 2015
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Betty Kimaro (Guest) on September 4, 2015
Rehema zake hudumu milele
Paul Ndomba (Guest) on June 10, 2015
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
David Kawawa (Guest) on May 9, 2015
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Susan Wangari (Guest) on May 1, 2015
πβ€οΈ Mungu ni mlinzi wetu