Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji mwema
Kwa ajili ya makardinali na maaskofu wakuu; Uwape moyo wa kichungaji ee Bwana
Kwa ajili ya mapadre wa majimbo; Uwajaze na Roho wako ee Bwana
Kwa ajili ya mapadre watawa; Wakamilishe katika wito wao ee Bwana
Kwa ajili ya mapadre walioko hatarini; Uwaokoe ee Bwana
Kwa ajili ya mapadre wenye udhaifu; Uwatie nguvu ee Bwana
Kwa ajili ya mapadre wenye hofu; Uwape amani ee Bwana
Kwa ajili ya mapadre waliokata tamaa; Uwavuvie upya ee Bwana
Kwa ajili ya mapadre wakaao upweke; Uwasindikize ee Bwana
Kwa ajili ya mapadre wamisionari; Uwalinde ee Bwana
Kwa ajili ya mapadre wanaohubiri; Uwaangazie ee Bwana
Kwa ajili ya mapadre na watawa waliokufa; Uwafikishe kwenye utukufu wako ee Bwana
Kwa ajili ya mapadre wote; Wajalie hekima na ufahamu wako ee Bwana
Kwa ajili ya mapadre wote; Uwajalie elimu na shauri lako
Kwa ajili ya mapadre wako; wajalie wakuheshimu na wakuogope
Kwa ajili ya mapadre wote; Wajalie subira na upendo
Kwa ajili ya mapadre wote; wajalie utii na upole
Kwa ajili ya mapadre wote; uwajalie hamu kuu ya kuokoa roho za watu
Kwa ajili ya mapadre wote; wape fadhila za imani, matumaini na mapendo
Kwa ajili ya mapadre wote; Wajalie upendo mkuu kwa Ekaristi
Tunakuomba uwajalie mapadre wote; Waheshimu uhai na hadhi ya mtu ee Bwana
Tunakuomba uwajalie mapadre wote nguvu na bidii katika kazi zao ee Bwana
Tunakuomba uwajalie mapadre wote amani katika mahangaiko yao ee Bwana
Tunakuomba uwajalie mapadre wote upendo mkuu kwa Utatu Mtakatifu ee Bwana
Tunakuomba uwajalie mapadre wote upendo mkuu kwa Bikira Maria ee Bwana
Uwajalie mapadre wote wawe mwanga wa Kristo ee Bwana
Uwajalie mapadre wote, wawe chumvi kwa ulimwengu ee Bwana
Uwajalie mapadre wote, wajizoeze kujitoa sadaka na kujinyima ee Bwana
Uwajalie mapadre wote, wawe watakatifu kimwili, kiakili na kiroho ee Bwana
Uwajalie mapadre wote wawe watu wa sala ee Bwana
Uwajalie mapadre wote wawe kioo cha imani kwako ee Bwana
Uwajalie mapadre wote wajali sana wongofu wetu ee Bwana
Uwajalie mapadre wote wawe waaminifu kwa wito wao wa kikuhani ee Bwana
Uwajalie mapadre wote, ili mikono yao ibariki na kuponya ee Bwana
Uwajalie mapadre wote wawake moto wa mapendo yako ee Bwana
Uwajalie mapadre wote hatua zao zote ziwe kwa ajili ya utukufu wa Mungu ee Bwana
Uwajalie mapadre wote wajazwe na Roho Mtakatifu na uwajalie karama zake kwa wingi ee Bwana.
Tuombe.
Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, usikie sala tunazokutolea kwa ajili ya mapadre wetu. Uwajalie wafahamu waziwazi kazi uliyowaitia kuifanya, uwape neema zote wanazohitaji ili waitikie wito wako kwa ushujaa, kwa upendo, na majitoleo yenye udumifu katika mapenzi yako matakatifu. Amina.
Elizabeth Mtei (Guest) on June 6, 2024
πβ¨π Mungu atajibu maombi yako
Lydia Mahiga (Guest) on April 20, 2024
πβ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike
Janet Mwikali (Guest) on March 28, 2024
ππ Mbarikiwe sana
Joseph Kitine (Guest) on February 20, 2024
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Miriam Mchome (Guest) on October 26, 2023
Mwamini Bwana; anajua njia
Lydia Mahiga (Guest) on October 8, 2023
ππ Nakushukuru Mungu
Edward Lowassa (Guest) on July 19, 2023
ππ Asante kwa neema zako Mungu
Grace Njuguna (Guest) on June 22, 2023
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Nicholas Wanjohi (Guest) on May 16, 2023
πβ€οΈ Mungu ni mkombozi
Andrew Odhiambo (Guest) on May 13, 2023
ππ Namuomba Mungu akupiganie
Ruth Wanjiku (Guest) on March 15, 2023
Baraka kwako na familia yako.
Paul Kamau (Guest) on November 11, 2022
πβ€οΈ Mungu ni mlinzi wetu
Josephine Nduta (Guest) on October 30, 2022
πβ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku
Patrick Kidata (Guest) on September 28, 2022
ππ Neema za Mungu zisikose
Edith Cherotich (Guest) on August 4, 2022
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Jane Muthui (Guest) on February 28, 2022
πβ¨ Mungu atupe nguvu
Andrew Odhiambo (Guest) on January 24, 2022
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Sarah Mbise (Guest) on November 21, 2021
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Ruth Kibona (Guest) on October 7, 2021
ππ Mungu wetu asifiwe
Tabitha Okumu (Guest) on August 17, 2021
ππ Nakusihi Mungu
Brian Karanja (Guest) on August 16, 2021
Tumaini ni nanga ya roho
Kevin Maina (Guest) on June 20, 2021
Neema na amani iwe nawe.
Lucy Mushi (Guest) on May 5, 2021
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Irene Akoth (Guest) on March 31, 2021
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Agnes Lowassa (Guest) on March 29, 2021
πβ€οΈβ¨ Mungu akujalie furaha
Joyce Mussa (Guest) on March 25, 2021
ππβ¨ Neema yako ni ya kutosha
Rose Waithera (Guest) on March 1, 2021
ππβ€οΈ Nakuombea heri
Anthony Kariuki (Guest) on February 25, 2021
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Patrick Kidata (Guest) on February 19, 2021
πβ€οΈ Mungu ni mwaminifu
Edward Lowassa (Guest) on January 4, 2021
Neema ya Mungu inatosha kwako
Michael Onyango (Guest) on September 5, 2020
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Anthony Kariuki (Guest) on August 12, 2020
Nakuombea π
Victor Kamau (Guest) on June 8, 2020
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Edward Chepkoech (Guest) on April 14, 2020
πβ€οΈβ¨ Asante Mungu kwa kila kitu
Anna Sumari (Guest) on January 6, 2020
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Alex Nyamweya (Guest) on December 4, 2019
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Linda Karimi (Guest) on November 21, 2019
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Anna Kibwana (Guest) on September 27, 2019
Mungu ni mwema, wakati wote!
Nicholas Wanjohi (Guest) on August 18, 2019
Endelea kuwa na imani!
Victor Sokoine (Guest) on July 18, 2019
Sifa kwa Bwana!
Victor Mwalimu (Guest) on May 11, 2019
πβ¨ Mungu atakuinua
David Kawawa (Guest) on January 10, 2019
Amina
James Mduma (Guest) on November 27, 2018
Rehema hushinda hukumu
Betty Cheruiyot (Guest) on November 13, 2018
Nguvu hutoka kwa Bwana
Benjamin Kibicho (Guest) on October 21, 2018
πππ
Moses Kipkemboi (Guest) on October 1, 2018
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Wilson Ombati (Guest) on August 12, 2018
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Samson Tibaijuka (Guest) on July 4, 2018
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Alice Mrema (Guest) on May 20, 2018
ππ Mungu alete amani
Josephine Nduta (Guest) on May 7, 2018
πβ€οΈπ Asante Mungu kwa uhai
Charles Mrope (Guest) on May 5, 2018
Mungu akubariki!
Stephen Kangethe (Guest) on March 13, 2018
πβ€οΈ Mungu akubariki
Samson Tibaijuka (Guest) on March 12, 2018
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Stephen Kikwete (Guest) on January 21, 2018
πβ€οΈπ Bwana akujalie baraka
Lydia Mahiga (Guest) on January 14, 2018
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Fredrick Mutiso (Guest) on January 12, 2018
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Ann Awino (Guest) on January 9, 2018
πβ€οΈπ Tumshukuru Mungu kwa yote
Agnes Njeri (Guest) on November 23, 2017
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Joseph Kawawa (Guest) on October 11, 2017
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Janet Sumari (Guest) on September 30, 2017
πππ« Mungu ni mwema