Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Sala ya Malaika wa Bwana

Featured Image

Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu Maria,….

Ndimi Mtumishi wa Bwana, nitendewe ulivyonena. Salamu Maria, ……
Neno wa Bwana akatwaa Mwili, akakaa kwetu. Salamu Maria, …..

Utuombee, ee Mzazi Mtakatifu wa Mungu, tujaliwe ahadi za Kristo.

Tuombe:

Tunakuomba ee Bwana, utie neema yako mioyoni mwetu, ili sisi tuliojua kwa maelezo ya Malaika, kwamba, Kristo Mwanao amejifanya mtu: kwa mateso na Msalaba wake, utufikishe kwenye utukufu wa ufufuko. Tunaomba hayo kwa njia ya Kristo Bwana wetu, Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lydia Mutheu (Guest) on July 11, 2024

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Joyce Aoko (Guest) on June 3, 2024

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Sarah Mbise (Guest) on May 29, 2024

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Alice Mwikali (Guest) on April 24, 2024

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Andrew Mahiga (Guest) on February 27, 2024

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Peter Mbise (Guest) on February 22, 2024

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Elizabeth Mrope (Guest) on January 26, 2024

Amina

James Malima (Guest) on January 23, 2024

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Mercy Atieno (Guest) on November 30, 2023

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Richard Mulwa (Guest) on November 19, 2023

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Grace Wairimu (Guest) on October 2, 2023

Katika imani, yote yanawezekana

Kenneth Murithi (Guest) on August 27, 2023

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Nora Kidata (Guest) on August 24, 2023

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Elizabeth Mrema (Guest) on August 14, 2023

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Peter Otieno (Guest) on July 15, 2023

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Andrew Odhiambo (Guest) on February 26, 2023

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Monica Nyalandu (Guest) on January 31, 2023

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

John Malisa (Guest) on December 22, 2022

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Andrew Mahiga (Guest) on December 6, 2022

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Anna Malela (Guest) on December 1, 2022

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Irene Makena (Guest) on November 13, 2022

Rehema zake hudumu milele

Grace Wairimu (Guest) on October 22, 2022

Nakuombea πŸ™

Michael Mboya (Guest) on September 18, 2022

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Stephen Amollo (Guest) on September 18, 2022

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Margaret Anyango (Guest) on September 17, 2022

Endelea kuwa na imani!

Elizabeth Mtei (Guest) on July 7, 2022

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Violet Mumo (Guest) on June 13, 2022

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Jane Malecela (Guest) on April 5, 2022

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Francis Mrope (Guest) on August 29, 2021

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Janet Mbithe (Guest) on July 16, 2021

Mwamini katika mpango wake.

Alex Nakitare (Guest) on June 2, 2021

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Lucy Mahiga (Guest) on May 17, 2021

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Elizabeth Malima (Guest) on January 26, 2021

Imani inaweza kusogeza milima

Janet Mbithe (Guest) on December 10, 2020

Mwamini Bwana; anajua njia

Charles Mrope (Guest) on September 16, 2020

Neema na amani iwe nawe.

John Lissu (Guest) on September 12, 2020

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Betty Akinyi (Guest) on August 13, 2020

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Anthony Kariuki (Guest) on July 13, 2020

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Lydia Mutheu (Guest) on April 26, 2020

Nguvu hutoka kwa Bwana

Mary Sokoine (Guest) on April 22, 2020

Dumu katika Bwana.

Simon Kiprono (Guest) on March 1, 2020

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Joseph Kawawa (Guest) on February 25, 2020

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Frank Macha (Guest) on December 17, 2019

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Sarah Achieng (Guest) on December 6, 2019

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Benjamin Masanja (Guest) on December 3, 2019

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Lydia Wanyama (Guest) on November 28, 2019

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

David Kawawa (Guest) on July 24, 2019

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Miriam Mchome (Guest) on May 19, 2019

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Dorothy Nkya (Guest) on April 17, 2019

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Victor Malima (Guest) on March 30, 2019

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Ruth Kibona (Guest) on October 15, 2018

Tumaini ni nanga ya roho

Mary Kidata (Guest) on September 6, 2018

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Jane Malecela (Guest) on August 6, 2018

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Christopher Oloo (Guest) on May 3, 2018

Rehema hushinda hukumu

Patrick Akech (Guest) on March 23, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

David Chacha (Guest) on March 21, 2018

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Francis Mtangi (Guest) on March 7, 2018

Neema ya Mungu inatosha kwako

Peter Tibaijuka (Guest) on November 24, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Bernard Oduor (Guest) on November 20, 2017

Sifa kwa Bwana!

Lucy Kimotho (Guest) on July 13, 2017

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Related Posts

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok... Read More

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu, ulistahili kuitwa Msimamizi wa misioni katoliki za dunia yote... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More