Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Featured Image

Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakukimbilia, ninakuja kwako katika mikono yako yenye huruma. Ndiwe tegemeo langu na tumaini langu dhabiti. Ndiwe mwenye dawa ya maovu yangu yote, malipizi ya makosa yangu yote. Waweza kunipatia haja zangu na neema ninazoziomba mimi na wengine. Wewe uko ili kutusaidia sote, ndiwe mwanga mkuu usiozimika, ndiwe chanzo cha nguvu, uvumilivu, amani na faraja. Nina hakika kuwa maombi yangu hayatakuchosha, nawe hutaacha kunisaidia, kunilinda, kunipenda, kwani, ee Moyo Mtakatifu , upendo wako hauna mwisho. Ee Moyo Mtakatifu, unihurumie, kwa ajili ya maombi yangu, kadiri ya huruma yako. Nawe katika sisi, na kwa ajili yetu, ufanye lolote unalolihitaji, kwani tunajitoa kwako kwa imani na uhakika thabiti kwamba kamwe hautatuacha, kwa milele. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Emily Chepngeno (Guest) on July 14, 2024

Mwamini Bwana; anajua njia

David Chacha (Guest) on May 6, 2024

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Janet Sumari (Guest) on April 30, 2024

πŸ™πŸ™πŸ™

Dorothy Majaliwa (Guest) on April 29, 2024

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Edwin Ndambuki (Guest) on April 11, 2024

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Janet Sumaye (Guest) on March 20, 2024

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Paul Ndomba (Guest) on January 17, 2024

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Raphael Okoth (Guest) on January 16, 2024

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Victor Sokoine (Guest) on December 17, 2023

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Monica Lissu (Guest) on November 11, 2023

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Nora Kidata (Guest) on November 5, 2023

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Mary Kendi (Guest) on October 26, 2023

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Janet Mwikali (Guest) on October 13, 2023

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Alex Nakitare (Guest) on August 9, 2023

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

David Ochieng (Guest) on April 23, 2023

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Stephen Kangethe (Guest) on November 20, 2022

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Anna Kibwana (Guest) on October 21, 2022

Baraka kwako na familia yako.

Elizabeth Mtei (Guest) on September 29, 2022

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Edith Cherotich (Guest) on July 3, 2022

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Nancy Kabura (Guest) on May 10, 2022

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Elizabeth Mrema (Guest) on May 2, 2022

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Anna Kibwana (Guest) on April 29, 2022

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Mary Kidata (Guest) on March 14, 2022

Tumaini ni nanga ya roho

Stephen Kangethe (Guest) on February 21, 2022

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Rose Waithera (Guest) on January 19, 2022

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Jane Muthoni (Guest) on November 15, 2021

Imani inaweza kusogeza milima

Elizabeth Mrema (Guest) on September 26, 2021

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Alex Nyamweya (Guest) on September 23, 2021

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Charles Mrope (Guest) on August 13, 2021

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Charles Mrope (Guest) on May 22, 2021

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Francis Mtangi (Guest) on April 27, 2021

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Mary Sokoine (Guest) on January 9, 2021

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Lydia Wanyama (Guest) on December 22, 2020

Rehema hushinda hukumu

Esther Cheruiyot (Guest) on November 11, 2020

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

John Lissu (Guest) on November 9, 2020

Mwamini katika mpango wake.

Mary Kidata (Guest) on September 27, 2020

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Mary Njeri (Guest) on August 31, 2020

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Rose Amukowa (Guest) on July 29, 2020

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Mary Kidata (Guest) on March 19, 2020

Neema na amani iwe nawe.

Raphael Okoth (Guest) on March 13, 2020

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Grace Mushi (Guest) on January 20, 2020

Mungu akubariki!

Peter Tibaijuka (Guest) on January 12, 2020

Katika imani, yote yanawezekana

Raphael Okoth (Guest) on November 2, 2019

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Robert Okello (Guest) on September 19, 2019

Endelea kuwa na imani!

Janet Mwikali (Guest) on May 15, 2019

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Chiku (Guest) on April 18, 2019

πŸ™πŸ™πŸ™

Carol Nyakio (Guest) on March 19, 2019

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

James Kimani (Guest) on January 1, 2019

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

David Sokoine (Guest) on November 1, 2018

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Ann Wambui (Guest) on October 22, 2018

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Janet Mwikali (Guest) on June 8, 2018

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Edward Lowassa (Guest) on May 9, 2018

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Stephen Kikwete (Guest) on April 16, 2018

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Linda Karimi (Guest) on February 23, 2018

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Fredrick Mutiso (Guest) on January 14, 2018

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

John Lissu (Guest) on January 2, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Stephen Malecela (Guest) on December 4, 2017

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Samuel Were (Guest) on November 28, 2017

Nguvu hutoka kwa Bwana

Betty Kimaro (Guest) on November 25, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Ruth Mtangi (Guest) on October 29, 2017

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Related Posts

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
... Read More

Litani ya Bikira Maria

Litani ya Bikira Maria

  • Bwana utuhurumie
  • Bwana utuhurumie
  • Kristo utuhurumie
  • Bwana utuhurumie... Read More
Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa... Read More

Sala ya Malaika wa Bwana

Sala ya Malaika wa Bwana

Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu M... Read More

Sala fupi ya Asubuhi

Sala fupi ya Asubuhi

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kut... Read More