Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wako Mtakatifu, tunaomba pia kwa matumaini usimamizi wako. Kwa ajili ya mapendo uliyompenda nayo Bikira Mtakatifu, Mzazi wa Mungu, na kwa ajili ya tunza ya Baba, uliyomtunza nayo Mtoto Yesu, tunakuomba sana, utuangalie kwa wema, sisi tuliokuwa fungu lake Yesu Kristo, tuliokombolewa kwa damu yake, utusimamie katika masumbuko yetu, kwa enzi na shime yako.
Ee Mlinzi amini wa Jamaa Takatifu, uwakinge watoto wateule wa Yesu Kristo, ee Baba uliyetupenda mno, utuepusha na kilema chochote cha madanganyo na upotevu. Ee kinga yetu mwezaji,utusimamie huko juu mbinguni ulipo, tunaposhindana na wenye nguvu wakaao gizani. Kama vile siku za kale ukamwokoa Mtoto Yesu katika hatari ya kuuawa, na leo hivi, ulikinge Kanisa Takatifu la Mungu katika mitego ya adui, na katika shida yote, mtunze daima kila mmoja wetu, tupate mfano wako, tusaidie kwa msaada wako, kukaa na utakatifu maisha, kufa kifo chema, na kupokelewa mbinguni makao ya raha milele. Amina
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
๐โจโค๏ธ Neema za Mungu zikufunike
๐๐ Asante kwa neema zako Mungu
Neema na amani iwe nawe.
Katika imani, yote yanawezekana
Rehema hushinda hukumu
Nguvu hutoka kwa Bwana
Mungu ni mwema, wakati wote!
Tumaini ni nanga ya roho
Baraka kwako na familia yako.
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Mwamini Bwana; anajua njia
๐๐ Mbarikiwe sana
๐๐ Namuomba Mungu akupiganie
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
๐โจ Mungu asikie maombi yetu
๐๐๐ Mungu akufunike na upendo
๐โจโค๏ธ Tumwombe Mungu kila siku
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
๐โค๏ธโจ Asante Mungu kwa kila kitu
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
๐โค๏ธ๐ Tumshukuru Mungu kwa yote
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
๐๐ Neema za Mungu zisikose
Neema ya Mungu inatosha kwako
Nakuombea ๐
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
๐โค๏ธ Mungu akubariki
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
๐๐ Mungu akujalie amani
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
๐โค๏ธโจ Mungu akujalie furaha
Mwamini katika mpango wake.
๐๐๐ซ Mungu ni mwema
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
๐๐โค๏ธ Nakuombea heri
๐โจ Mungu atakuinua
๐๐๐
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
๐โค๏ธ๐ Asante Mungu kwa uhai
Imani inaweza kusogeza milima
๐๐ Mungu alete amani
๐๐ Mungu wetu asifiwe
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
๐โจ Neema ya Mungu iwe nawe
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
๐๐โจ Neema yako ni ya kutosha
Dumu katika Bwana.
๐โค๏ธ๐ Bwana akujalie baraka
๐๐๐
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
๐๐ Nakushukuru Mungu
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
๐โจ๐ Mungu atajibu maombi yako
๐โค๏ธ Mungu ni mlinzi wetu
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Rehema zake hudumu milele
Amina
Endelea kuwa na imani!
๐โค๏ธ Mungu ni mkombozi
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Sifa kwa Bwana!
๐โจ Mungu atupe nguvu
๐โค๏ธ๐ Baraka za Mungu ziwe nawe
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Mungu akubariki!
๐๐ Nakusihi Mungu
๐โค๏ธ Mungu ni mwaminifu
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi